Wana JF, nimejaribu kuwaza sisi Tanzania katika nchi za Africa tunaosemekana kwamba ni "Third World Countries" mara nyingi tumekariri kwamba ili matokeo ya uchaguzi yakubalike na vyama vyote vinavyokuwa vinashiriki uchaguzi, ni lazima kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi
Wenzetu wazungu (USA, U.K etc) waliotuchorea mstari kwamba sisi Africa ni Dunia ya Tatu - Third World Countries wao wakajiweka First World Countries nikafikiri wao issue ya kuheshimu Demokrasia na Uhuru wote katika uchaguzi kwa kuweka hizo Tume za Uchaguzi nikadhani wao wameshafaulu huo mtiani - Exams.
Uchaguzi uliofanyika kule America ukiambatana na mabishano ya wizi wa kura katika wagombea Urais kati ya Donald Trump na Joe Biden, nimegundua kwamba kumbe wote (Africa - Third World Countries na First world Countries) bado hatujaweza kuwa na uhakika kwamba solution ya kuondoa mabishano katika chaguzi zetu ni kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini ngoja tusubiri tuone huko America - US hiyo tarehe 20 January 2020 nani ataapishwa kama Rais halali wa nchi ya First World .
Yetu macho twendelee kujifunza hadi tufikie huko kwa wenzetu walioendelea.
By JF Member
Wenzetu wazungu (USA, U.K etc) waliotuchorea mstari kwamba sisi Africa ni Dunia ya Tatu - Third World Countries wao wakajiweka First World Countries nikafikiri wao issue ya kuheshimu Demokrasia na Uhuru wote katika uchaguzi kwa kuweka hizo Tume za Uchaguzi nikadhani wao wameshafaulu huo mtiani - Exams.
Uchaguzi uliofanyika kule America ukiambatana na mabishano ya wizi wa kura katika wagombea Urais kati ya Donald Trump na Joe Biden, nimegundua kwamba kumbe wote (Africa - Third World Countries na First world Countries) bado hatujaweza kuwa na uhakika kwamba solution ya kuondoa mabishano katika chaguzi zetu ni kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini ngoja tusubiri tuone huko America - US hiyo tarehe 20 January 2020 nani ataapishwa kama Rais halali wa nchi ya First World .
Yetu macho twendelee kujifunza hadi tufikie huko kwa wenzetu walioendelea.
By JF Member