Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Katika hali ya kawaida,Wakati mchakato wa kubadilisha katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania ukiwa ukingoni mwake,Watu wengi bado hawajangamua ni kwa namna gani Chaguzi huru zitafanyika, "(""Rasimu ya katiba inasema kutakuwepo na Tume huru ya uchaguzi,) Lakini rasimu hii hii haisemi ni kwa namna gani tume hii itaundwa, Hivyo kuna uwezekano wa kuja kulia 2015, wapenda demekrasia Ni lazma Tufanye kazi ya Ziada kuhakikisha Tume huru ya Uchaguzi inakuwepo.
Vinginevyo Demokrasia haitatendewa haki , Demokrasia kama inavyofahamika na utekelezaji wake unaanza na Tume Ritz MSALANI Mungi Molemo Mhamedi Mtoi@PISTO LERO Ben Saa nane.
Vinginevyo Demokrasia haitatendewa haki , Demokrasia kama inavyofahamika na utekelezaji wake unaanza na Tume Ritz MSALANI Mungi Molemo Mhamedi Mtoi@PISTO LERO Ben Saa nane.