Tume Huru ya Uchaguzi haitoshi kuwapa upinzani ushindi 2020

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,641
22,240
Tumekuwa tukitaka nchi iwe na Tume Huru ya Uchaguzi tukidhani ndiyo itakuwa suluhisho la kudhibiti uporaji wa kura, tume huru inaweza ikamtangaza mshindi halali lakini mahakama ikamtengua kwenye kesi ya kupinga ushindi, hivyo ili uwepo utawala wa sheria tunahitaji mahakama huru isiyopewa maelekezo toka nje kama alivyowahi kusema jaji mkuu mstaafu.

Tunapotaka tume huru tutake pia mahakama huru, hata hivyo tukiwa na mahakama huru unaweza ikaidhibiti tume isiyo huru kwa kutengua ushindi uliyotangazwa na tume kinyume cha matakwa ya wananchi.
 
Nitaamini hakuna tume huru Kama wapinzani hawashiriki uchaguzi, na Kama huwa wanashiriki kila chaguzi naamini tume Ni huru.vinginevyo Ni ile hadithi ya sungura "sizitaki hizi mbichi"
Malawi hawana tume huru na ndiyo iliyomchagua rais ambaye wananchi hawakumpa kura za ushindi, lakini mahakama huru ikautengua ushindi huo na kuagiza uchaguzi urudiwe, matokeo chaguo la swali la tume limeshindwa na chaguo la wananchi lililokataliwa na tume limeshinda.
 
Malawi hawana tume huru na ndiyo iliyomchagua rais ambaye wananchi hawakumpa kura za ushindi, lakini mahakama huru ikautengua ushindi huo na kuagiza uchaguzi urudiwe, matokeo chaguo la swali la tume limeshindwa na chaguo la wananchi lililokataliwa na tume limeshinda.
Mfano mfu huo isome Tena comment ndio ujibu
 
Tume huru haiji km zawadi. Hatuna vyama vya upinzani vyenye kuwashawishi watu kwa maana ya mtazamo chanya na mikakati mizuri. Hao chadema gafla bin vuu wako na lowasa waliyempaka matope miaka mingi eti ndio mgombea raisi wa chama chao.

Vyama vya upinzani vinapapara na kuchukua nchi na itawachukua miaka mingi sn kuichukua nchi. Hata uchaguzi wa 2015 upinzani ulipata nguvu baada ya wananchi kuichoka ccm so ilkua agombee yoyote wapo tayari kumpa kura lkn sio ccm. Sahv ccm ishasimama upya upinzani mtasubiri sn
 
Tume huru haiji km zawadi. Hatuna vyama vya upinzani vyenye kuwashawishi watu kwa maana ya mtazamo chanya na mikakati mizuri. Hao chadema gafla bin vuu wako na lowasa waliyempaka matope miaka mingi eti ndio mgombea raisi wa chama chao.

Vyama vya upinzani vinapapara na kuchukua nchi na itawachukua miaka mingi sn kuichukua nchi. Hata uchaguzi wa 2015 upinzani ulipata nguvu baada ya wananchi kuichoka ccm so ilkua agombee yoyote wapo tayari kumpa kura lkn sio ccm. Sahv ccm ishasimama upya upinzani mtasubiri sn
Hivyo vyama ni akina nani? Uhuru hupatikana pale wananchi wanapokataa utumwa na si kupelekwa malishoni kama ng'ombe. Watanzania tumelala tunasubiri mjomba atuamshe na kutupeleka malishoni. Nchi zenye wananchi wanaojitambua watu wake hudai haki zao kwa umoja wao.
 
Tume huru haiji km zawadi. Hatuna vyama vya upinzani vyenye kuwashawishi watu kwa maana ya mtazamo chanya na mikakati mizuri. Hao chadema gafla bin vuu wako na lowasa waliyempaka matope miaka mingi eti ndio mgombea raisi wa chama chao.

Vyama vya upinzani vinapapara na kuchukua nchi na itawachukua miaka mingi sn kuichukua nchi. Hata uchaguzi wa 2015 upinzani ulipata nguvu baada ya wananchi kuichoka ccm so ilkua agombee yoyote wapo tayari kumpa kura lkn sio ccm. Sahv ccm ishasimama upya upinzani mtasubiri sn
Unayoisifia haitaki kusikia neno katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
 
Nitaamini hakuna Tume Huru kama Wapinzani hawashiriki uchaguzi, na Kama huwa wanashiriki kila chaguzi naamini tume Ni huru. Vinginevyo Ni ile hadithi ya sungura "sizitaki hizi mbichi"

Ni "sizitaki mbichi hizi"
 
Tumekuwa tukitaka nchi iwe na Tume Huru ya Uchaguzi tukidhani ndiyo itakuwa suluhisho la kudhibiti uporaji wa kura, tume huru inaweza ikamtangaza mshindi halali lakini mahakama ikamtengua kwenye kesi ya kupinga ushindi, hivyo ili uwepo utawala wa sheria tunahitaji mahakama huru isiyopewa maelekezo toka nje kama alivyowahi kusema jaji mkuu mstaafu.

Tunapotaka tume huru tutake pia mahakama huru, hata hivyo tukiwa na mahakama huru unaweza ikaidhibiti tume isiyo huru kwa kutengua ushindi uliyotangazwa na tume kinyume cha matakwa ya wananchi.

Wapinzani hawahitaji tume huru ili iwatangaze washindi, bali wanahitaji tume huru ili mshindi halali ndio atangazwe.
 
Tumekuwa tukitaka nchi iwe na Tume Huru ya Uchaguzi tukidhani ndiyo itakuwa suluhisho la kudhibiti uporaji wa kura, tume huru inaweza ikamtangaza mshindi halali lakini mahakama ikamtengua kwenye kesi ya kupinga ushindi, hivyo ili uwepo utawala wa sheria tunahitaji mahakama huru isiyopewa maelekezo toka nje kama alivyowahi kusema jaji mkuu mstaafu.

Tunapotaka tume huru tutake pia mahakama huru, hata hivyo tukiwa na mahakama huru unaweza ikaidhibiti tume isiyo huru kwa kutengua ushindi uliyotangazwa na tume kinyume cha matakwa ya wananchi.
Walijaribu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa,walikipata cha mtema kuni ,hawawezi rudia huo upumbavu ulioshindwa kuzaa matunda chanya
 
Tume huru bila kuwa na mkakati wa sera zinazieleweka kwa wapiga kura ni kazi bure yale mambo ya kutekana ili kupata huruma ya wananchi yamepitwa na wakati
 
Walijaribu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa,walikipata cha mtema kuni ,hawawezi rudia huo upumbavu ulioshindwa kuzaa matunda chanya
Sijakuelewa, uchaguzi ule ulivurugwa na CCM kwa kusudi kwani fomu za wapinzani zilikuwa hazipokelewi, bahati mbaya mahakama nazo hazifuati sheria! Nasi wananchi tunaporwa haki yetu ya kushiriki uchaguzi na kumchagua tumtakaye tunaridhika tu.
 
Wapinzani hawahitaji tume huru ili iwatangaze washindi, bali wanahitaji tume huru ili mshindi halali ndio atangazwe.
Unahitaji utawala wa sheria, hivyo ni lazima tume isimamiwe na mahakama ya katiba ambayo itahakikisha kinachotangazwa ni halali.
 
Back
Top Bottom