kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Katika tangazo la kuita waombaji wa nafasi za kazi kwenye mahojiano kwa nafasi zilizotangazwa tarehe 28/05/2012 ,Tume ya ajira imeorodhesha nafasi mbalimbali lakini baadhi ya nafasi na kwa taasisi moja hazikuonyewshwa .Mfano MAKTABA YA TAIFA, OSHA (OCCUPATION,SAFETY AND HEALTH AGENCY..
Ni wajibu wa Tume kuwaeleza waombaji sababu za kwa nini nafasi hizo orodha ya waombaji na tarehe ya usahili haoneshwi?AU kama tarehe ya usahili itafanyika wakati mwingine baada ya mchakato wa kuchuja waombaji kukamilika. Ni vema uwazi ukatawala katika ajira na kuondoa maswali mengi yanayojitokeza.
Kama kuna orodha nyingine tofauti iliyotolewa kwenye wavuti wa www.ajira.go kwa tarehe 15,17,21/11/2012 naomba kufahamishwa. Mara nyingi wapambe wa tume uonekana kwenye jf kutoa majibu na ufafanuzi naomba pia ufafanuzi wa kina kutoka kwenu.ASANTENI
Ni wajibu wa Tume kuwaeleza waombaji sababu za kwa nini nafasi hizo orodha ya waombaji na tarehe ya usahili haoneshwi?AU kama tarehe ya usahili itafanyika wakati mwingine baada ya mchakato wa kuchuja waombaji kukamilika. Ni vema uwazi ukatawala katika ajira na kuondoa maswali mengi yanayojitokeza.
Kama kuna orodha nyingine tofauti iliyotolewa kwenye wavuti wa www.ajira.go kwa tarehe 15,17,21/11/2012 naomba kufahamishwa. Mara nyingi wapambe wa tume uonekana kwenye jf kutoa majibu na ufafanuzi naomba pia ufafanuzi wa kina kutoka kwenu.ASANTENI