CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,503
- 25,466
Jamaa mmoja alikuwa na tumbo kubwa sana mpaka mikono ikawa haifiki kujikuna hasa maeneo ya kwenye kitovu na kwingineko, hivyo ikawa tabu kumuelekeza msaidizi wake ni sehemu ipi hasa inayomuwasha ili amsaidie kumkuna.
Siku moja akaamua kuchora ramani ya dunia tumboni mwake ili iwe rahisi kumfahamisha msaidizi wake amkune wapi, basi ikawa akiwashwa chini ya kitovu utasikia "South afrika panawashaa" juu kidogo "Tafadhali nikune Ujerumani" kushoto kidogo "Argentina please!!
Siku moja akaamua kuchora ramani ya dunia tumboni mwake ili iwe rahisi kumfahamisha msaidizi wake amkune wapi, basi ikawa akiwashwa chini ya kitovu utasikia "South afrika panawashaa" juu kidogo "Tafadhali nikune Ujerumani" kushoto kidogo "Argentina please!!