Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,592
- 29,721
Misuli inaachia ni kawaida hilo kutokea.Ni kweli nilifanya mazoezi Ila nikaacha kwa muda mkuu
Kama hausikii maumivu basi fanya mazoezi madogo madogo itatulia
Misuli inaachia ni kawaida hilo kutokea.Ni kweli nilifanya mazoezi Ila nikaacha kwa muda mkuu
Mhhh basi utakuwa umevimbiwa tu, jaribu kujamba mara kwa mara nahisi una gesi tu tumboniMtu wa Arusha
Utupatie mrejesho hali ikiwa poaAsante Sana kwa ushauri ndugu yangu. Nitaufanyia kazi kwanzia leo
Dagaaa unaokula wanacheza sasa walikua wazima hao hawajafaHabari za wakati huu...
Naombeni ushauri Leo ni siku ya tatu tumbo linanicheza kwa ndani upande wa kushoto chini ya kitovu na sina maomivu yeyote na sijawahi kuugua ugonjwa wowote watumbo, vakula ni navyotumia ni ugali na mboga za majani, matunda na dagaa, Jinsia ni mwanaume..
Asanteni