Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
- Thread starter
- #21
USHINDI WA BARA NI NINI? TUNAZUNGUMZIA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA AKA NBC PREMIER LEAGUEKuanzia 1965 mpaka 1982 ilikuwa ni ushindi wa bara na siyo Kombe.
USHINDI WA BARA NI NINI? TUNAZUNGUMZIA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA AKA NBC PREMIER LEAGUEKuanzia 1965 mpaka 1982 ilikuwa ni ushindi wa bara na siyo Kombe.
INAHESABIWA NA NANI?Usitake kulazimisha mawazo yako. Mwaka 2000 ligi iliyokuwa inahesabiwa ni ya Muungano.
Kipi hicho hakukua na NBC mfumo huo umekuja baada ya TFF. Ndio maana Yanga hawajaweka hivyo vitu unavyovisema maana havikuwa na makombe. Rejea hapa:-USHINDI WA BARA NI NINI? TUNAZUNGUMZIA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA AKA NBC PREMIER LEAGUE
Ligi yenye kombe.INAHESABIWA NA NANI?