mgomo wa nukia chuo kikuu makumira kutokana na ungozi wa chuo kutaka kuwajeuza wana chuo kuwa mtaji baada ya kuanzisha ulipaji wa lazima wa Tsh 60000 za matibabu kwa kila mwanafunzi kwa mwaka.pesa hii kwanza imekuja kati kati ya mwaka na mbaya zaidi hata wafanya kazi na wategemezi wenye bima ya afya wamelazimishwa kulipa pesa hii.sababu za kugoma kwanza dispensar yao ya chuo haina doctor wala dawa,pili iweje wenye bima walipe sawa na wasio na bima,tatu iweje mwadili asituelimishe juu ya hela hii anacho fanya ni kubandika matangazo...walicho fanya ni kupiga mahesabu ya wanafunzi 2500 mara 60000 ambayo ni Tsh 150000000 milioni.Huu ni ufisadi ambao hatuta ukubali hata iweje.tumeona tulieleze hili mapema ili watu wasije sema nimgomo wa siasa kama wengiwalivyodai katika migomo iliyo pita kuwa viongozi wa chadema ndio walituambia tugome....