stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,887
- 4,467
Yah tungeujua jina lake tu tungeenda kuutafuta vibanda umiza mtaani kwa waingiza nyimbo!Hata mie nimeuangalia nimeukosa.
Yah tungeujua jina lake tu tungeenda kuutafuta vibanda umiza mtaani kwa waingiza nyimbo!Hata mie nimeuangalia nimeukosa.
Unaitwa jogwe jwani kaimba kinyakyusa afu kiswahili mbeleYah tungeujua jina lake tu tungeenda kuutafuta vibanda umiza mtaani kwa waingiza nyimbo!
Wow ngj niuchekiUnaitwa jogwe jwani kaimba kinyakyusa afu kiswahili mbele
Mkuu nimecheki YouTube ni kilugha mwanzo mwisho kiswahili hakunaWow ngj niucheki
Umeukosa huu wimbo! Mbona ni maarufu sana huuNimeukosa nimeutafuta sana
Ewaaaa....Raha ya kuwa na wadogo wenye akili Safi ndo hii...
Aisee aliyegundua jamii forum abarikiwe sana hii nyimbo leo nimeitafuta mno hatimae jibu nimelipata hapa 🙏Ewaaaa....Raha ya kuwa na wadogo wenye akili Safi ndo hii...
Dunia hiiMy all time best choir....sidhani kama itakuja tokea kwaya nitakayoisikiliza bila kuichoka kama Hii ya Tumaini hasa album ya shangilieni..sijui ni kwasababu enzi zetu tulikua tukiangalia kanda yake 24/7? sijui ila naamini hizi nyimbo zilikua na Roho mtakatifu ndani yake.