Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,789
Uko busy na jambo la muhimu mno, unaingia ujumbe wa maneno kwenye simu yako..! Unafikiri pengine ni pesa imetumwa au unaitiwa dili njema au kuna jambo la dharura
...!unaacha unachokifanya , unachukua simu yako unakutana na msg hii
Tuma msg hii kwa watu kumi utapata baraka miaka kumi au puuzia utapata laana miaka kumi...!
Aaaaaghhhh nani kakwambia baraka au laana zinapatikana kwa kutuma ujumbe? Lala kwako usiende kazini uone kama hizo baraka zitakufata kitandani
Fanya kazi kwa bidii mche Mola, tenda yaliyo mema saidia wenye uhitaji kuwa na malengo utafanikiwa , puuza kufanya haya itakula kwako...!
USIPUUZE...!TUMA UJUMBE HUU KWA WATU KUMI
...!unaacha unachokifanya , unachukua simu yako unakutana na msg hii
Tuma msg hii kwa watu kumi utapata baraka miaka kumi au puuzia utapata laana miaka kumi...!
Aaaaaghhhh nani kakwambia baraka au laana zinapatikana kwa kutuma ujumbe? Lala kwako usiende kazini uone kama hizo baraka zitakufata kitandani
Fanya kazi kwa bidii mche Mola, tenda yaliyo mema saidia wenye uhitaji kuwa na malengo utafanikiwa , puuza kufanya haya itakula kwako...!
USIPUUZE...!TUMA UJUMBE HUU KWA WATU KUMI