Elgibo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 1,067
- 1,518
Unatumiaga maneno ya hisia kali sanaNijirekebishe kipi naomba ukiseme
Unatumiaga maneno ya hisia kali sanaNijirekebishe kipi naomba ukiseme
Mkuu wazima mitaa ya shigamba hukoYaani namuwazia sana siku nikimbahatisha !
Kwa hiyo nikitumia maneno ya hisia kali ndio naonyesha upopoma??Unatumiaga maneno ya hisia kali sana
Jina ni sahihi isipokuwa tu avatarUngeanza wewe mkuu ingependeza zaidi
Hata mie nahisi hivyoSakayo=Zakayo
Una punje za kidume weww
Nakutania tu kipenzi, uwe na amani na nisameheHata mie nahisi hivyo
Mimi nipo kwenye listMara nyingi saaana wanadhani mie ni mwanaume!!! Ila hainisumbui kabisa
UsijaliNakutania tu kipenzi, uwe na amani na nisamehe
Asante kipenzi dadaUsijali
Nina amani kabisa
HahaMimi nipo kwenye list
Mara nyingi saaana wanadhani mie ni mwanaume!!! Ila hainisumbui kabisa
Hahahaaa
Na wewe una visa ...mara shunie akusakizie viben 10
KumbeHahahaaa
Yaani wewe??!!! Ila niko na sura ya baba ndo maana!!
Na viniogope kabisa maana naweza chukua kiboko niwachapeKumbe
Ndo maana viben 10 vinakuogopa
Unasema tu hapa ...ndo unatoka job unakuta kishaosha vyombo deki swafiii kimetandika kitanda utakumbuka kiboko kweli au chenyewe kikugaragazeeNa viniogope kabisa maana naweza chukua kiboko niwachape
DahhMpaka uingie Pm ya jamiiforums, useme kwanini unataka kubidili. Lakini unaweza kutuma jumbe 1000000000000 hawajibu, usichoke uendelee tu kuwatumia ukiomba kubadili jina na pendekezo la jina jipya.
Ila nimeipenda hii avatar yako hahahahahahahahahaah
mmmhNa viniogope kabisa maana naweza chukua kiboko niwachape