popoma
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 2,379
- 3,357
Nije???Chaa
Nije???Chaa
Huyo kwenye avatar ni wewe samahani lakini kiblack beauty ndio ugonjwa wanguMadam B weweee.. kwahiyo kwenye ile thread ulitufunga kamba eeeh??
Hapana mkuu na mie si blackHuyo kwenye avatar ni wewe samahani lakini kiblack beauty ndio ugonjwa wangu
Aiseee naomba huko ulipo unitafutie kiblack beauty natanguliza shukrani zanguHapana mkuu na mie si black
UsijaliAiseee naomba huko ulipo unitafutie kiblack beauty natanguliza shukrani zangu
Popoma kwenye viwango vyakoMimi hata nitoe mchango wenye maana nitabezwa sana sababu ya hili jina
Huyo atakua wa mwambao!We ni ME au KE, samahan mwanzo nilihisi wa kiume hiyo mipasho nayo ikanitia mashaka
Bhita ni bhita muraa!Aisee ata Mimi mkuu ata nitoe point vip raia wanakomaa kwanini naniita Young murrah
Ni kweli mkuu mimi ni Popoma ila hiyo avatar mimi hoi hukuPopoma kwenye viwango vyako
Kwanza unajua kuwa huku kuna majukwaa??Unatumia kifaa gani simu au PC??wakuu naombeni muongozo jinsi ya kutupiaa uzi huku jf napata shida sanaa
Aaah kichwaaa mzima ww?Mimi nipo nipo kama nilivyo nakusalimia wewe unaesoma hapa
Sakayo=ZakayoMara nyingi saaana wanadhani mie ni mwanaume!!! Ila hainisumbui kabisa
Maranyingi unapointi za kipopoma haswaMimi hata nitoe mchango wenye maana nitabezwa sana sababu ya hili jina
Hapana mkuu mimi na michango bora sana ila tatizo ni hili jinaMaranyingi unapointi za kipopoma haswa
Huwezi kugundua udhsifu wako, jaribu kujirekebisha haswa jukwaa la siasaHapana mkuu mimi na michango bora sana ila tatizo ni hili jina
Nasubiria kwa hamu zoteUsijali
Ungeanza wewe mkuu ingependeza zaidiTuwe waungwana tuweke majina na I'd za ukweli itapendeza pia
Nijirekebishe kipi naomba ukisemeHuwezi kugundua udhsifu wako, jaribu kujirekebisha haswa jukwaa la siasa