Hiv vilabu vya Simba na yanga vitakuwa haviendelei kwa sababu zimekuwa zikitegemea wafadhili kuliko kutengeneza timu kuwa na vitega uchumi ndo maana nilisikia haji manara akisema Simba timu tajili ila ukimwambia ataje vitega uchumi wanavyomiliki vinavyowafanya wawe matajiri sizani km atakutajia.wafadhili wakiondoka na timu zao zinafanya vibaya sio kitu kibaya kuwa na mwekezaji lkn pia team nazo zinatakiwa zijimudu kuliko kumtegemea mwekezaji kwa Kila kitu ndo tunaona kwa Simba na mo,mo hawezi kuwa mwekezaji wakudumu Simba lazima ijiandae kuishi Bila mo