N vyema kujipa matumaini lakini sidhani km kutakuwa na jipya sana. Nasema hvyo kwa sababu mabadiliko ya nyanja mbali mbali kama uchumi sidhani km anaweza kuubadili kwa muda mfupi alionao.
 
Siwezi kuchanga karata mapema hivi kwa kusikiliza tu maneno. Watizii especially wanasiasa ni wazuri sana wa kuongea ila vitendo zii.
 
Asije akarudia makosa kama yale ya kuongoza bunge la katiba mpya na majina yao tukaambiwa yame andikwa kwa wino wa dhahabu kumbe hata penseli haikutumika

Mimi nina choweza kumhakikishia ni kumkumbuka katika maombi yangu. Maombi ambayo msingi wake ni Neno la Mungu ambalo ni upanga ukatao kuwili.
 
Kabla marehemu hajafa mlisema hatuwezi kupata mbadala wake leo mnasema una matumaini na XXXX jamani!
Mataga wanacho angalia ni sehemu moja tu 'wapi kuna mnuso?' Hawajawahi kuwa na msimamo.

Ingawa kwa sasa wanapata shida kumpamba Rais mpya, ila subiria wiki chache tu zijazo! Kila Mataga atakuwa anamsifia Rais mpya kana kwamba hakuwepo huyu mtukufu wao waliye mwabudu usiku na mchana.
 
Mataga wanacho angalia ni sehemu moja tu 'wapi kuna mnuso?' Hawajawahi kuwa na msimamo.

Ingawa kwa sasa wanapata shida kumpamba Rais mpya, ila subiria wiki chache tu zijazo! Kila Mataga atakuwa anamsifia Rais mpya kana kwamba hakuwepo huyu mtukufu wao waliye mwabudu usiku na mchana.
Ni watu wa hovyo sn sijui hawaoni hata aibu
 
Wasiwasi wangu,kuna ile timu ya wapinzani wa ndani wale waliokaa kama hawapo.
Akiendelea kuwaacha bila ya kuwakumbuka ,wanaweza kumuyumbisha hapo baadae.
 
Huu ni ujumbe kwa watanzania na wanaCCM wanaopenda maendeleo.
tisichoke kuwakwamisha mafisadi tusimame imara
 
Ni bora kuwa na mafisadi wengi kuliko kuwa na fisadi mmoja kama alivyokuwa Magufuli
 
Sasa ni wakati wa kuukabili ukweli. Kwetu sisi wengine, inapendeza kupata hewa mpya ya ukweli, kuachana na UNAFIKI, PROPAGANDA, MAPAMBIO na ujinga mwingi unaotia kichefuchefu...
Lakini kumbuka, wakati huo ndipo:-
(1)Twiga walipoibwa na kupakiwa kwenye ndege.

(2) Majambazi, watekaji magari na wapiga nondo huku kwetu walipotapakaa kila sehemu.

(3)Wizi katika taasisi za umma ulipochukua nafasi kwa speed ya 5G.

(4)Ajali barabarani zilipokuwa sehemu ya maisha ya wasafiri kwa kukosa usimamizi madhubuti.

Kwa ujumla, kulikuwa na madudu mengi ya ajabu kana kwamba Nchi haikuwa na mwenyewe.
 
Lakini kumbuka, wakati huo ndipo:-
(1)Twiga walipoibwa na kupakiwa kwenye ndege.

(2) Majambazi, watekaji magari na wapiga nondo huku kwetu walipotapakaa kila sehemu.

(3)Wizi katika taasisi za umma ulipochukua nafasi kwa speed ya 5G.

(4)Ajali barabarani zilipokuwa sehemu ya maisha ya wasafiri kwa kukosa usimamizi madhubuti.

Kwa ujumla, kulikuwa na madudu mengi ya ajabu kana kwamba Nchi haikuwa na mwenyewe.
Yaani mkuu nikwambie, mimi pia baada ya JK nilitamani mtu wa vitendo. Lakini siyo wa aina ya Magu.
1) Sekta binafsi iliyokuwa inachipua, akaivunjilia mbali. Sawa kulikuwa na wapiga dili. Alitakiwa kuwanyoosha na siyo kuwaua.
2) Demokrasia ya vyama vingi ilikuwa ndio inakomaa. Akaididimiza. Mwenyewe aliahidi kuiua kabisa. Kashindwa.
3) Kwa kisingizio cha kuleta 'maendeleo' amevuruga utaifa wetu na kututenga katika makundi.
4) Amevuruga kabisa dhana nzima ya uchaguzi.
Na mengine mengi.

Tunataka uthabiti na siyo sifa za kijinga na mapambio. Rais Samia ameanza vizuri
 
😂😂😂😂😂 mnusoooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mataga wanacho angalia ni sehemu moja tu 'wapi kuna mnuso?' Hawajawahi kuwa na msimamo.

Ingawa kwa sasa wanapata shida kumpamba Rais mpya, ila subiria wiki chache tu zijazo! Kila Mataga atakuwa anamsifia Rais mpya kana kwamba hakuwepo huyu mtukufu wao waliye mwabudu usiku na mchana.
 
Tanzania sasa ina MPANGO baada ya kupata SULUHU kutokana matatizo yaliyobabishwa na POMBE.
 
Ukweli wa hili bado upo; mabadiliko ni lazima na mabadiliko ndio kukua (to grow is to change); na ni muhimu tujue ni nini kinabadilika.
 
Back
Top Bottom