hawana imani wala nini bt wanaandaa mazingira ya connection ili waje wapige raslimali zetu kwa mikataba ya kilaghai, huyu mama apaswa kua makini wala asihadaike na hizo pongezi uchwara
 
hawana imani wala nini bt wanaandaa mazingira ya connection ili waje wapige raslimali zetu kwa mikataba ya kilaghai, huyu mama apaswa kua makini wala asihadaike na hizo pongezi uchwara
hakuna dhambi kutuma salamu. maana hata jpm alikuwa akituma salam kwa marais wapya.

kuhusu rasilimali hawawez kabisa.. ila sisi ndio tunawapa tena tunawaita wawekezaji
 
Wanampongeza kwa kuvunja glass ceiling ya siasa za Tanzania. Wanajua tuna ubaguzi wa jinsia kwa hiyo kumkubali raisi mwanamke ni kupiga hatua.
 
Hiyo ni imani yako,hakuna kilichobadilika,ila ni kweli yapo matumaini mapya tele,yenye uelekeo mpya kwa mambo mengi kuelekea Tanzania tunayoitamani.

Naanza kutilia mashaka unapona mtu anaanza kutumia "Mimi ndiye" wakati wote wanajua ndiwe, badala ya kuacha matendo yako na wakati vishuhudie hilo tayari ni tatizo.
 
Binafsi ntamiss sana John Pombe Magufuli

Hivi sasa natazama Dira ya Dunia BBC~Ujeruman Corona inawagonga kichizi hadi wametangaza marufuku kadhaa wakati wa pasaka japo barakoa waneshavaa zaid ya Mwaka, Sanitizer na maji tiririka wametumia sana na Chanjo washachanjwa wengi


Thamani ya kitu utaijua kikipotea

Tunashukuru sana kwa Maisha ya Mwamba huyu
Hatutaki kuruďishwa kwenye mawazo/ na ulimbukeni wa kutambuliwa na kusifiwa, kupongezwa na Wazungu na ule wa kuzurura huko duniani.

Tunataka Rais wa Watanzania Mtumishi wa Watanzania basi. Umeme wengine tumeshaanza kukatiwa Tanesco ukiwapigia wameanza majibu ya mafundi walikùwa mbali sana. Hii ni kabla hata JPM hajazikwa.
 
Binafsi ntamiss sana John Pombe Magufuli

Hivi sasa natazama Dira ya Dunia BBC~Ujeruman Corona inawagonga kichizi hadi wametangaza marufuku kadhaa wakati wa pasaka japo barakoa waneshavaa zaid ya Mwaka, Sanitizer na maji tiririka wametumia sana na Chanjo washachanjwa wengi


Thamani ya kitu utaijua kikipotea

Tunashukuru sana kwa Maisha ya Mwamba huyu

Wajuaji ambao hawajui kuwa hawajui. Wanaacha kuzingatia kwamba hao wanaokufa kwa makumi elfu kwa corona maendeleo yao katika nyanja ya afya yanatuzidi sisi kwa tofauti ya kifo na usingizi. Wanao uwezo wa kuvaa barakoa mbilimbili lakini wapi bwana wee!
 
Wajuaji ambao hawajui kuwa hawajui. Wanaacha kuzingatia kwamba hao wanaokufa kwa makumi elfu kwa corona maendeleo yao katika nyanja ya afya yanatuzidi sisi kwa tofauti ya kifo na usingizi. Wanao uwezo wa kuvaa barakoa mbilimbili lakini wapi bwana wee!
Kuna mwamba alikuwa anaamini katika ushirikina na nyungu, lakini sasa hivi na habari nyingine na mwenzie kashtuka namwona na barakoa sasa.
 
Kuna mwamba alikuwa anaamini katika ushirikina na nyungu, lakini sasa hivi na habari nyingine na mwenzie kashtuka namwona na barakoa sasa.

Amelaniwa na Mungu yeye amtumainie/ tegemeae mwanadamu. Huwezi kujua health status yake siku hiyo lakini. Barakoa zilikuwepo kitambo kama moja wapo ya vitendea kazi za kitabibu. Si kama siku hizi zimekuwa za kuabudiwa na ulimwengu mzima eti zitafanya kazi kwa niaba ya nafasi ya Mungu wa Mbinguni.
 
Baada ya kumsikiliza Rais mama (sielewi kama ni sahihi kumpa heshima ya kumwita mama) nina matumaini makubwa kuwa Tanzania imepita Rais bora atakaetupeleka kwenye utangamano wa kitaifa na maendeleo jumuishi.

Nimefurahia zaidi pale aliposema dawa ya mtu anaekukashifu ni kumdharau mwishowe ataishia kujikashifu mwenyewe. Pia maelezo yake jinsi alivyojenga na kuimarisha NGO yake ni mtu mbunifu. Watanzania wote tumpe nafasi atuongoze atekeleze vision yake ya jinsi anavyotaka taifa hili liwe.
 
Baada ya kumsikiliza Rais mama (sielewi kama ni sahihi kumpa heshima ya kumwita mama) nina matumaini makubwa kuwa Tanzania imepita Rais bora atakaetupeleka kwenye utangamano wa kitaifa na maendeleo jumuishi. Nimefurahia zaidi pale aliposema dawa ya mtu anaekukashifu ni kumdharau mwishowe ataishia kujikashifu mwenyewe. Pia maelezo yake jinsi alivyojenga na kuimarisha NGO yake ni mtu mbunifu. Watanzania wote tumpe nafasi atuongoze atekeleze vision yake ya jinsi anavyotaka taifa hili liwe.

Nitaupima Uongozi wake huu baada ya Miezi 6 tu. Kuanza Kumsifia hivi sasa wakati hana hata Wiki Mbili Ofisini ( Ikulu ) ni matumizi mabaya ya Maarifa ( Akili ) tulizopewa na Maulana / Mola.
 
Nitaupima Uongozi wake huu baada ya Miezi 6 tu. Kuanza Kumsifia hivi sasa wakati hana hata Wiki Mbili Ofisini ( Ikulu ) ni matumizi mabaya ya Maarifa ( Akili ) tulizopewa na Maulana / Mola.
Kweli kabisa tumalize msiba, achague makamu ambaye atakubalika na umma wa watz, aina ya makamu atakayemchagua itatuambia yeye ni kiongozi wa aina gani.
Tujipe matumaini na yeye tumpe grace period ya kuunda serikali yake, ahutubie taifa, atupe vision, tujipe muda miezi 6, mwaka tutajua kama ni neema, ama kilio.
Muda ni mwalimu!

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Back
Top Bottom