GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,847
Wanafunzi wa Shule ya Upili ( Secondary ) ya Usenge huko nchini Kenya wamechoma moto Mabweni na Mali nyingi katika kile kinachotajwa kuwa ni kuchukizwa na kutosikilizwa na madai yao kwa muda mrefu na Uongozi wa Shule.
Nasisitiza tena tuliza kabisa akili zako irudierudie kuisoma hii taarifa kisha niambie unadhani tatizo la awali kabisa au kama ni ' nuksi ' kwa hiyo Shule itakuwa imeanzia wapi au nini itakuwa ni sababu hasa.
Source: BBC Swahili
Nawasilisha.
Nasisitiza tena tuliza kabisa akili zako irudierudie kuisoma hii taarifa kisha niambie unadhani tatizo la awali kabisa au kama ni ' nuksi ' kwa hiyo Shule itakuwa imeanzia wapi au nini itakuwa ni sababu hasa.
Source: BBC Swahili
Nawasilisha.