Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,780
- Thread starter
- #1,021
Nimeipanda sana hii gari tangu huduma zikiwa bora kabisa, kuyumba mpaka kufa.. Safari yake ya mwisho gari ilitufia Same Makanya.. Baada ya hapo hakuweza tena kupeleka gari hukoDar Kampala via NairobiView attachment 2074516