Unaikumbuka gari hiyo hapo ilikuwa mwaka 1989 nilikiwa namiliki mchuma huo (sio mimi) hapo Ni mission kota Kama unaelekea Kariakoo ukitokea Kigogo upande wa kulia Ni Msimbazi Mission nilipaki barabarani nikaweza kupigwa hiyo picha jaribu leo honi kibao!! Zamani wenye hizo Ford Cortina GT mark-,II tulijuana kwa majina, Mwananyamala alikuwa nayo jamaa mmoja fundi magari marehemu Sasa hivi alikuwa anaitwa Sefu Senge Kinondoni ndiyo mm Ilala Jamaa mmoja mtaalam wa chips Balafaa mjini walikuwa nazo wahindi
Nikiwa na marehemu Aisha Madinda katika moja ya show za Twanga pepeta ndani ya ukumbi wa JJ club kule Tarime. Ilikuwa ni burudani mwanzo mwisho miaka hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.