- Thread starter
- #41
Mkuu mambo ya wapinzani achana nayo endelea kuchagua hao hao ccm. Kila mtu ashinde mechi zake. Lipa kodi kwanza uache kulalamikaNchi upinzani ni wapinzani wa wananchi sijui watachaguliwa na nani
Mkuu mambo ya wapinzani achana nayo endelea kuchagua hao hao ccm. Kila mtu ashinde mechi zake. Lipa kodi kwanza uache kulalamikaNchi upinzani ni wapinzani wa wananchi sijui watachaguliwa na nani
Viongozi wenu walipofungwa wananchi waliwachangia pesa kibao wakiamini mtakua nao kwenye shida zao, walikuwa wanajidanganya asee, mimi niliwashtukiaga zamani sana na tokea hapo hamtakuja kunidanganyaMkuu mambo ya wapinzani achana nayo endelea kuchagua hao hao ccm. Kila mtu ashinde mechi zake. Lipa kodi kwanza uache kulalamika
Wananchi wakina nani? sio ccm. Walichangiwa na wanachadema wapenda haki na maendeleo. Nyie komaeni hili ni zigo lenu.Viongozi wenu walipofungwa wananchi waliwachangia pesa kibao wakiamini mtakua nao kwenye shida zao, walikuwa wanajidanganya asee, mimi niliwashtukiaga zamani sana na tokea hapo hamtakuja kunidanganya
Mkuu ni mambo mangapi wapinzani wamepigania huku wakiishia kudharaulika na kubezwa?? leo nini kimetokea hadi mnahitaji msaada wao??Unavyojitoa kama unaishi kenya anyway baadhi ya wapinzani ni njaa tu ndio inawasumbua je wewe hulioni hili.
Roho ilikuuma?? sasa umepata nafuu?? anaupiga mwingi sana wala sio uongoWapinzani walisema mama anaupiga mwingi na Kweli akaupiga mwingi
Mikanda ifungwe na wote sio wengine wako exemptedNi mtu mjinga tu anayedhani MAENDELEO hupatikana kirahisi na kwa kupita NJIA ZA MKATO ?!!!!
MAENDELEO binafsi yanapatikana kwa kufunga mkanda......
MAENDELEO ya nchi hupatikana kwa wananchi kuifunga mikanda.....
Dr.Mwigulu yuko sahihi....
Bunge liko sahihi.....
Nakushangaa wewe unaejitoa huko................ tena wewe ambaye ni mbeba mkoba wa hao watu ndio hasara zaidi maana cha kwanza lazima hela yako iingie kwa mobile money............. nina shida gani mimi niko huku Botswana mambo ni yamenyooka peeeewho cares by your statement?
mnaumia tu
mama anaburuza tu na hamna la kusema