Tuliwalaumu sana hawa watu walipoandamana

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,278
6,673
gesiDSC01547.JPG



3.jpg
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    8 KB · Views: 26
  • 406598_10151197880048947_240761081_n.jpg
    406598_10151197880048947_240761081_n.jpg
    69 KB · Views: 23
"Gesi Kwanza, Vyama baadae" huku wamebeba bendere za Vyama.
Hii inabeba Ujumbe mbaya sana kwa mtu mwenye ufahamu mdogo.

Ila yote tisa Kikwete alikosea sana kuwanyanyasa wana Mtwara.
Natumai tu huko aliko atakuwa ameyatubia aliyoyafanya.
Maana wamama walibakwa na wengine walipoteza maisha, inasikitisha kwa kweli.
 
Hahahahahahaha kesho aje mpuuzi aseme tumuunge mkono na juhudi zake kisha anawaita wezi wanaume kwahyo sisi wanawake? Nchi hii inavituko sana
 
  • Thanks
Reactions: 314
"Gesi Kwanza, Vyama baadae" huku wamebeba bendere za Vyama.
Hii inabeba Ujumbe mbaya sana kwa mtu mwenye ufahamu mdogo.

Ila yote tisa Kikwete alikosea sana kuwanyanyasa wana Mtwara.
Natumai tu huko aliko atakuwa ameyatubia aliyoyafanya.
Maana wamama walibakwa na wengine walipoteza maisha, inasikitisha kwa kweli.
bendera ya chama ipo wapi au mwenzetu una macho manne...
 
Back
Top Bottom