Tuliwaambieni siyo kila mmoja anasujudia Kiingereza kama ninyi. Oneni EU wanachofanya baada ya BrExit

Ukienda Ufaransa utapata wafaransa wengi wanaoongea kiingereza. Vile vile Ukienda Ujerumani utapata situation hiyo hiyo. Huwezi kutudanganya. Wao Europeans wanaongeleshana lugha ipi? Hata wakisema wakifanye ufaransa kuwa lugha ya EU, itawachukua muda mwingi kujifunza lugha hio maana wengi wamejifunza Kiingereza.
Watapinga hyo, wakati mtu ukienda uhispanyola utakuta mkalimani atangangan kukutafsiria kw kingereza
 
Kingereza sio lugha ya wazungu
Safi sana. Kuna watu wanajua eti Kiingereza ndio Lugha ya wazungu wote.

Kwa Ulaya lugha yenye native speaker wengi ni Kijerumani ambao wanachukua 20%. Ulaya nzima native speaker wa kiingereza ni 1%.

Kiingereza wengi wanakiongea kama additional language.
 
Sijui huyu Mlazy anapinga nini na hata huyo beberu kwenye hio article aliyopost anakiri wazi kwamba wao wanaongea broken english. Yaani beberu mwenyewe anakiri kwamba wanaongea kiingereza na huyu Mlazy anataka kupinga. Halafu anatuita watu wa Kibera.
Huyo ni wa kupuuzwa
 
Hayo unayasema wewe, yani usomee ujerumani mtaala mzima alafu umerudi kwenu buza hata ripoti hujui kuandika kw kijerumani..

Watu watakuonaje km wewe sio mburula, yani hapo hamna kitu ulichoelewa hko shule..
Ni sawa na nyie hko bongo part 2 ya elimu yenu ni kingereza lkn hata barua mtu hajui kuandika kisha mtu anasingizia eti lugha ya mabeberu wakati yeye ndio kilaza

Hamna kitu ulichoandika hapo.
Nenda kajipange tena.
 
Nionyeshe ni wapi nimesema nilienda Ujerumani. Nimesema nilienda Europe. Nilienda kwa nchi ambayo ni jirani ya Ujerumani. Na sio lazima uniamini. Maana huko kwenu hamutembei nje ya nchi. Zaidi ya kuzunguka ndani ya nchi yenu. Halafu Europeans wengi wanakifahamu kiingereza hata kama ni kidogo tu. Hio ndio fact na haitobadilika.

Enda kasimulie kijiwe za kibera hizo uongo.
 
Safi sana. Kuna watu wanajua eti Kiingereza ndio Lugha ya wazungu wote.

Kwa Ulaya lugha yenye native speaker wengi ni Kijerumani ambao wanachukua 20%. Ulaya nzima native speaker wa kiingereza ni 1%.

Kiingereza wengi wanakiongea kama additional language.
Kabisa, tena sana sana katika biashara za kuvuka mipaka
 
Kwa akili yako wewe unafikiri wakijadili watasema kiingereza kiendelee kama kilugha cha EU?
Nimewahi sema hapa mara nyingi ya kuwa ukiwa ulaya, kiingereza ni kwa ajili ya waingereza tu. wengine wanaenzi lugha zao kama sisi tunavyoenzi lugha ya kiswahili.
Nyie endeleeni kukiabudu kilugha cha malkia mkongwe.
Kwahiyo Mjerumani akikutana na Mfaransa wataongea lugha gani !!
 
Umechanganyikiwa sana mleta mada, unawashutumu wakenya, wakati EU wenyewe ndio 'wametuiga', kama mnavopenda kusema? Wakenya huwa tunazungumza na kuzitambua lugha zetu za asili kwanza, kimaasai, kikikuyu, kiembu, kikisii, kindorobo n.k, n.k. Kabla ya lugha za kigeni kama kiswahili, kiingereza, kiarabu, kifaransa, kijerumani n.k. Sasa wewe mswahili 'bonoko' endelea kushangaa kwamba hao 'wazungu' wako wamekuzidi kwa kuzienzi lugha zao za asili.
 
Nimefika Finland, Ujerumani, Korea Kusini, Msumbiji, Angola, Guinea ya Ikweta na Gabon na English ndio yalikuwa mawasiliano yangu. Sijataja nchi zinazotumia English nilizofika ambazo hiyo ni official language yao. Whenever you are in this world English ndo mawasiliano muhimu zaidi
 
nilijua washapitisha azimio... kumbe ni Matamko kama yale ya Bashite.... English haikwepeki huko kwao Wakiandika utambulisho wa eneo kwa lugha zao chini translation ya english.. wajinga wasiopenda elimu watashangilia... ila nilichomuelewa anawaponda baadhi ya mamember wanaongea kiingereza kibovu
 
Nimefika Finland, Ujerumani, Korea Kusini, Msumbiji, Angola, Guinea ya Ikweta na Gabon na English ndio yalikuwa mawasiliano yangu. Sijataja nchi zinazotumia English nilizofika ambazo hiyo ni official language yao. Whenever you are in this world English ndo mawasiliano muhimu zaidi

Ulivyofika Finland na Germany ulivyoingia kwenye ATM zao au sehemu yoyote ile, ulikuta sign board ya lugha gani?
 
Option ya English ipo. Usikariri hata gates za airport wana English pia

Don't talk about getaways to countries. Talk about the local contents of those countries.
Au ndo nyie mnatoka airport, mnafikia hotelini, halafu baadaye mnatoka hotelini mnarudi uwanjani kwa ajili ya safari ya kurudi bongo.
 
Nimefika Finland, Ujerumani, Korea Kusini, Msumbiji, Angola, Guinea ya Ikweta na Gabon na English ndio yalikuwa mawasiliano yangu. Sijataja nchi zinazotumia English nilizofika ambazo hiyo ni official language yao. Whenever you are in this world English ndo mawasiliano muhimu zaidi
Kabisa bro. Nimejaribu kusema hivyo lakini muanzisha uzi akakasirika. Anafikiria kwamba itakuja kutokea siku ambapo watu wa dunia watakosa kuzungumza kiingereza. Hio ndio lugha ya dunia. Hata wazungu ambao wanatokea nchi ambazo kiingereza sio lugha yao ya asili bado wengi wao wanakifahamu hata kama ni kidogo tu.
 
Option ya English ipo. Usikariri hata gates za airport wana English pia
Huyo eliakeem sidhani kama amewahi kufika nchi yoyote ya Europe. Maana kama angekuwa amefika huko angefahamu kuwa kiingereza kinatumika sana hata kwenye mahoteli. Kati ya kila waiters kumi, takriban wanne au watano wanaweza kuzungumza kiingereza hata kama ni kidogo tu. Halafu baadhi ya signage yameandikwa kwa lugha ya mama na pia yameandikwa kwa kiingereza
 
Huyo eliakeem sidhani kama amewahi kufika nchi yoyote ya Europe. Maana kama angekuwa amefika huko angefahamu kuwa kiingereza kinatumika sana hata kwenye mahoteli. Kati ya kila waiters kumi, takriban wanne au watano wanaweza kuzungumza kiingereza hata kama ni kidogo tu. Halafu baadhi ya signage yameandikwa kwa lugha ya mama na pia yameandikwa kwa kiingereza

🤣🤣🤣
Wewe bana mdogo nisikilize, sehemu zote zenye options za lugha ni zile ambazo wanafika watalii. Lkn zile ambazo wageni hufika mara chache wanatumia lugha zao za asili. Ukitaka ujionee tembelea super market, ATM machine, subways, metro etc za Scandinavia na continental Europe. Utaelewa ninachoongea.
 
Safi sana. Kuna watu wanajua eti Kiingereza ndio Lugha ya wazungu wote.

Kwa Ulaya lugha yenye native speaker wengi ni Kijerumani ambao wanachukua 20%. Ulaya nzima native speaker wa kiingereza ni 1%.

Kiingereza wengi wanakiongea kama additional language.

You are very right, most Kenyans think every mzungu, blonde with blue eyes is the English speaker. Kumbe kuna good number of them from eastern Europe, continental Europe, Scandinavia, southern Europe hawajui kiingereza. Hii makala inawafungua macho watu wengi ya kuwa kumbe nao wanangea broken English.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom