Wakati Kenya ikiangaika na mambo za BBI, Tanzania tunapiga kazi usiku na mchana

Lwiva

JF-Expert Member
Apr 17, 2015
12,499
17,572
Wakati Kenya zima ikiangaika na mambo za BBI ,Tanzania tunapika kazi usiku na mchana kujenga

JamiiForums-997246720.jpg


 
Unajua mpaka mna-bore mmekosa kabisa ku-stick to the facts? Sasa kama hizo ndo treni zetu mbona zina jina Yapi Merkezi?

Mbona haijaandikwa TRC/TRL kama hii?
ElFTHWuW0AA_2kx


ElGYa0PX0AEA8ia



Kwhyo umekubali km mpka sasa serikali yenu haijui inataka nn
 
Tena si bombardier!!!
Yaani mnachezewa akili kama watoto,
Hata hamjui serikali imeorder Gani,
Mmeskia ni korail mkachanganyikiwa na videos za wenyewe
I can`t wait to see what $60m is going to get them and I won`t be surprised to see Ethiopia-like trains in Tanzania.
 
Kwhyo umekubali km mpka sasa serikali yenu haijui inataka nn
Yani wewe umeona treni tu hiyo MBEZI bus terminal ujaiona kuhusu treni tunanunua the best choice sikuizi Kuna mavitu yamewadodea wazungu ukikulupuka wanakubambikia kumbe ni lower efficient licha ya kuwa vipya, mabeberu wanatafuta nchi za kuwabambikia mfano ni ndege za kivita wanazo nyingi zimesha pitwa na wakati zimejaa kwenye storage zao wanatafuta mpuumbavuu wamsukumie hizo product Kama mlivyo fanyiwa WAKENYA kwa Esigiara yenu uchwara MMEPEANA TECHNOLOGY ILIYO PITWA NA WAKATI KWA ,iliyo kuwa imedoda huko China Sasa wamepata slum ya kutupia ndiyo Kenya
 
Kwhyo umekubali km mpka sasa serikali yenu haijui inataka nn
Yaani mnazingua kinoma mnakuwa kama watoto. Mmejikita katika vituko, kejeli na mambo kama hayo.

Hapa JF ni GT lete vitu vyenye facts na vay ukweli.

Zaidi sana mnaonekana kama watu mliochindwa and desperate. Sisi tunaongea vitu vya ukweli, nyie mnaeneza vitu vya uongo vilivyojaa chuki.
 
I can`t wait to see what $60m is going to get them and I won`t be surprised to see Ethiopia-like trains in Tanzania.

ndio utajua mtz ni mtu wa aina gani.

hapo ndio utajua kuwa na akili kubwa ni tofauti na kuwa na akili nzuri.

tsh 130bln hapa bongo ni pesa yenye thamani kubwa sana,sijui nyinyi ksh 6.5 bln kama inaweza hata gharamia safari za uhuru,mtaendelea kupigwa mpaka mtie akili.
 
Yaani mnazingua kinoma mnakuwa kama watoto. Mmejikita katika vituko, kejeli na mambo kama hayo.

Hapa JF ni GT lete vitu vyenye facts na vay ukweli.

Zaidi sana mnaonekana kama watu mliochindwa and desperate. Sisi tunaongea vitu vya ukweli, nyie mnaeneza vitu vya uongo vilivyojaa chuki.

dawa ya nzi huwa ni HIT,rungu,nk.

waache waruke ruke ila dawa zao zipo.piga za uso mpaka wakajifungie wanalia.
 
hivi vichwa vya treni si jiwe alisemaga mwenywe hajulikaniii pale bandarinii!!!!😂😂
kwa maigizo waswahili mko vizuriiiiiiiii!
 
Hivi vitu ni vigeni kwenu kwa vile reli yenu haina fast train options ndo maana mmeshupalia treni ya contractor ndo yetu!
Contractor huleta kitu kulingana na mfumo wa wake, kwhyo inamaana hvyo vyuma vinaweza piga kazi katika hyo reli yenu tena freshy tu..
Ila ukweli ni serikali yenu haijielewi, yani haijui inataka nn mpka sasa
 
Yani wewe umeona treni tu hiyo MBEZI bus terminal ujaiona kuhusu treni tunanunua the best choice sikuizi Kuna mavitu yamewadodea wazungu ukikulupuka wanakubambikia kumbe ni lower efficient licha ya kuwa vipya, mabeberu wanatafuta nchi za kuwabambikia mfano ni ndege za kivita wanazo nyingi zimesha pitwa na wakati zimejaa kwenye storage zao wanatafuta mpuumbavuu wamsukumie hizo product Kama mlivyo fanyiwa WAKENYA kwa Esigiara yenu uchwara MMEPEANA TECHNOLOGY ILIYO PITWA NA WAKATI KWA ,iliyo kuwa imedoda huko China Sasa wamepata slum ya kutupia ndiyo Kenya
Sgr ya kenya pia china zipo na zinafanya kazi km kawaida
 
Yaani mnazingua kinoma mnakuwa kama watoto. Mmejikita katika vituko, kejeli na mambo kama hayo.

Hapa JF ni GT lete vitu vyenye facts na vay ukweli.

Zaidi sana mnaonekana kama watu mliochindwa and desperate. Sisi tunaongea vitu vya ukweli, nyie mnaeneza vitu vya uongo vilivyojaa chuki.
Km hamjielewi ndio msiambiwe, mara vichwa bandarini tayri, mara siemens sai mumeibuka na south korea..

Ukweli ni hamjui mnataka nn bali ni kutaka kujimwambafai tu
 
Km hamjielewi ndio msiambiwe, mara vichwa bandarini tayri, mara siemens sai mumeibuka na south korea..

Ukweli ni hamjui mnataka nn bali ni kutaka kujimwambafai tu
Kinachokuuma ni nini sasa!? Unatulisha!?
By the way nani kakuambia tunanunua Siemens!?
 
Back
Top Bottom