Tuliwaambia kuwa bila kuchanja Afrika inaenda kutengwa.

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Kirusi kipya kikali kimeibuka huko SA. Nchi nyingi zimepiga marufuku safari za wanaotoka Africa, hasa huku kusini.

Kwa kiasi kikubwa Variants hizi hatari huzaliwa ndani ya wale ambao hawajachanja. Ili kupambana na korona kikamilifu inatakiwa wote wachanjwe, kuchanja kuwe lazima. Bila ya hivyo, wale ambao hawajachanja watafanya variants zizaliwe ambazo hazisikii hata chanjo zilizopo.

Kuchanja kunatakiwa kuwa lazima.
 
Munamnadi sana corona wakati ni kurusi mfu. Imeshakuwa chanjo chanjo kila siku wakati utendaji kazi wa chanjo mshatuqmbia na tukaona hauna maana kwa mwanadam.

Kama utengenezaji wa chanjo ni kuunda kirusi fek kiufundishe mwili kupambana na kirusi harisi basi si tunamsubiri kirusi harisi ndo aifundishe miili yetu kupambana nae. Nasiyo huyo fek wa chanjo
 
Kirusi kipya kikali kimeibuka huko SA. Nchi nyingi zimepiga marufuku safari za wanaotoka Africa, hasa huku kusini.

Kwa kiasi kikubwa Variants hizi hatari huzaliwa ndani ya wale ambao hawajachanja. Ili kupambana na korona kikamilifu inatakiwa wote wachanjwe, kuchanja kuwe lazima. Bila ya hivyo, wale ambao hawajachanja watafanya variants zizaliwe ambazo hazisikii hata chanjo zilizopo.

Kuchanja kunatakiwa kuwa lazima.
Hiki ni kirusi kipya. Unazungumzia watu wachanjwe chanjo ya kirusi cha zamani. Fafanua vizuri Mkuu.

Chanjo ya kirusi Cha zamani inafanya kazi vipi na kwa kiwango gani kwa hiki mnaita "kirusi kipya kikali??" Red Giant
 
Hiki ni kirusi kipya. Unazungumzia watu wachanjwe chanjo ya kirusi cha zamani. Fafanua vizuri Mkuu.

Chanjo ya kirusi Cha zamani inafanya kazi vipi na kwa kiwango gani kwa hiki mnaita "kirusi kipya kikali??" Red Giant
Sisemi wachanjwe ya zamani, maana inaweza kuwa haipo active kwa kirusi hiki. Ila wale wasiochanjwa ndiyo huwa mazalia ya aina mpya za virusi. So ilitakiwa iwe lazima kuchanja toka zamani, na ikipatikana chanjo ambayo ni active kwa hii strain mpya inabidi wote wachanje. Kama hawachanji wengi itakuwa ni kazi ya kutwanga maji kwenye kinu. Kila siku itaibuka strain mpya.
 
"Sio kazi ya asiyechanja kumlinda aliyechanjwa,ni kazi ya chanjo kumlinda aliyechanja" ukichanjwa ukae kimya usisumbue wasiochanja. Jiamini kwa kuwa umechagua kwa hiari,ruhusu wenzako wawe na hiari pia.
Hiari yao inahatarisha wengine. Unaifahamu hospitali ya kibong'oto? Kule huwekwa wagonjwa wenye TB sugu, lengo ni ili wasiambukize wengine. Hawapewi eti hiari ya waishi watakavyo huku wakihatarisha wengine.

Ndivyo ilivyo kwa wasiochanja, ni kiwanda cha kuzalisha virusi vipya kilichoachwa kuvisambaza.
 
Sisemi wachanjwe ya zamani, maana inaweza kuwa haipo active kwa kirusi hiki. Ila wale wasiochanjwa ndiyo huwa mazalia ya aina mpya za virusi. So ilitakiwa iwe lazima kuchanja toka zamani, na ikipatikana chanjo ambayo ni active kwa hii strain mpya inabidi wote wachanje. Kama hawachanji wengi itakuwa ni kazi ya kutwanga maji kwenye kinu. Kila siku itaibuka strain mpya.
Chanjo ni HIARI na so far hakuna chanjo mpya kwa ajili ya "kirusi kipya kikali"

Plan B ya HARAKA ni ipi Mkuu?? Red Giant
 
Munamnadi sana corona wakati ni kurusi mfu. Imeshakuwa chanjo chanjo kila siku wakati utendaji kazi wa chanjo mshatuqmbia na tukaona hauna maana kwa mwanadam.

Kama utengenezaji wa chanjo ni kuunda kirusi fek kiufundishe mwili kupambana na kirusi harisi basi si tunamsubiri kirusi harisi ndo aifundishe miili yetu kupambana nae. Nasiyo huyo fek wa chanjo
Hapa shida ni elimu yetu, walau mtu aliyemaliza form 4 angekuwa na ABC za chanjo.
 
Kirusi kipya kikali kimeibuka huko SA. Nchi nyingi zimepiga marufuku safari za wanaotoka Africa, hasa huku kusini.

Kwa kiasi kikubwa Variants hizi hatari huzaliwa ndani ya wale ambao hawajachanja. Ili kupambana na korona kikamilifu inatakiwa wote wachanjwe, kuchanja kuwe lazima. Bila ya hivyo, wale ambao hawajachanja watafanya variants zizaliwe ambazo hazisikii hata chanjo zilizopo.

Kuchanja kunatakiwa kuwa lazima.

Ujinga umetamalaki sana ndugu yangu.
 
Chanjo ni HIARI na so far hakuna chanjo mpya kwa ajili ya "kirusi kipya kikali"

Plan B ni ipi Mkuu?? Red Giant
Kusema chanjo ni hiari ni sawa na kusema mgonjwa wa kipindupindu ana haki ya kukaa kambini au kuendelea na mambo yake. Au wagonjwa wa ukoma wajichanganye na watu kawaida. Kwanini chanjo ya manjano siyo hiari kwa wanaotaka kusafiri? Suala la kusema chanjo ni hiari ni habari za kisiasa.

Hapa plan B way forward ni kusubiri chanjo mpya aku kuangalia kati ya chanjo zilizopo ambayo ni effective kwa hiki kirusi kipya na kufanya kuchoma iwe lazima. Ni muhimu pia tukapata uwezo wa kuzalisha chanjo, hata hizo kopi za wazungu.
 
Sisemi wachanjwe ya zamani, maana inaweza kuwa haipo active kwa kirusi hiki. Ila wale wasiochanjwa ndiyo huwa mazalia ya aina mpya za virusi. So ilitakiwa iwe lazima kuchanja toka zamani, na ikipatikana chanjo ambayo ni active kwa hii strain mpya inabidi wote wachanje. Kama hawachanji wengi itakuwa ni kazi ya kutwanga maji kwenye kinu. Kila siku itaibuka strain mpya.
Kwa hiyo Hoja yako bado haujanishawishi mkuu
 
Kirusi kipya kikali kimeibuka huko SA. Nchi nyingi zimepiga marufuku safari za wanaotoka Africa, hasa huku kusini.

Kwa kiasi kikubwa Variants hizi hatari huzaliwa ndani ya wale ambao hawajachanja. Ili kupambana na korona kikamilifu inatakiwa wote wachanjwe, kuchanja kuwe lazima. Bila ya hivyo, wale ambao hawajachanja watafanya variants zizaliwe ambazo hazisikii hata chanjo zilizopo.

Kuchanja kunatakiwa kuwa lazima.
chanjo zenyewe ziko wapi?
 
Kusema chanjo ni hiari ni sawa na kusema mgonjwa wa kipindupindu ana haki ya kukaa kambini au kuendelea na mambo yake. Au wagonjwa wa ukoma wajichanganye na watu kawaida. Kwanini chanjo ya manjano siyo hiari kwa wanaotaka kusafiri? Suala la kusema chanjo ni hiari ni habari za kisiasa.

Hapa plan B way forward ni kusubiri chanjo mpya aku kuangalia kati ya chanjo zilizopo ambayo ni effective kwa hiki kirusi kipya na kufanya kuchoma iwe lazima. Ni muhimu pia tukapata uwezo wa kuzalisha chanjo, hata hizo kopi za wazungu.
Ni lini kirusi kitaacha kujibadilsha....au chanjo zilizopo zina uwezo wa kujikinga na hiki kirusi kipya...?
Je...? Ni sawa kuchanja chanjo iliyokusudiwa kwa kirusi 'A' at the same time kuna kirusi 'D'.
Au tuendelee kusubiria chanjo ambayo ni effective kwa aina zote za kirusi.
Elimu yangu kuhusu chanjo ni ndogo sana....nisaidie kitu hapa....
Hivi inakuwaje nimepata chanjo kamili ya corona alafu bado nakuwa hatarini kuambukizwa corona.

Au nimeandika Utumbo
 
Acha kupotosha .
Kirusi kipya kikali kimeibuka huko SA. Nchi nyingi zimepiga marufuku safari za wanaotoka Africa, hasa huku kusini.

Kwa kiasi kikubwa Variants hizi hatari huzaliwa ndani ya wale ambao hawajachanja. Ili kupambana na korona kikamilifu inatakiwa wote wachanjwe, kuchanja kuwe lazima. Bila ya hivyo, wale ambao hawajachanja watafanya variants zizaliwe ambazo hazisikii hata chanjo zilizopo.

Kuchanja kunatakiwa kuwa lazima.
 
Kirusi kipya kikali kimeibuka huko SA. Nchi nyingi zimepiga marufuku safari za wanaotoka Africa, hasa huku kusini.

Kwa kiasi kikubwa Variants hizi hatari huzaliwa ndani ya wale ambao hawajachanja. Ili kupambana na korona kikamilifu inatakiwa wote wachanjwe, kuchanja kuwe lazima. Bila ya hivyo, wale ambao hawajachanja watafanya variants zizaliwe ambazo hazisikii hata chanjo zilizopo.

Kuchanja kunatakiwa kuwa lazima.

Ni rahisi sana kutupa lawama. Ni rahisi sana kusema tunachotaka kusema.
Ila sidhani kama hali iko hivyo unavyosema. Germany na Netherlands mbona wanapambana na maambukizi mapya ambayo sio ya huyo variant wa SA.
Huu ugonjwa umetoka wapi? Nini chanzo chake? Na unamsaidia nani kifedha sasa hivi?
 
Sisemi wachanjwe ya zamani, maana inaweza kuwa haipo active kwa kirusi hiki. Ila wale wasiochanjwa ndiyo huwa mazalia ya aina mpya za virusi. So ilitakiwa iwe lazima kuchanja toka zamani, na ikipatikana chanjo ambayo ni active kwa hii strain mpya inabidi wote wachanje. Kama hawachanji wengi itakuwa ni kazi ya kutwanga maji kwenye kinu. Kila siku itaibuka strain mpya.

"..... Ila wale wasiochanjwa ndiyo huwa mazalia ya aina mpya za virusi. So ilitakiwa iwe lazima kuchanja toka zamani, na ikipatikana chanjo ambayo ni active kwa hii strain mpya inabidi wote wachanje....."

Red Giant Naomba hapa utufafanulie zaidi tuelewe vizuri with evidence based researches
 
Kirusi kipya kikali kimeibuka huko SA. Nchi nyingi zimepiga marufuku safari za wanaotoka Africa, hasa huku kusini.

Kwa kiasi kikubwa Variants hizi hatari huzaliwa ndani ya wale ambao hawajachanja. Ili kupambana na korona kikamilifu inatakiwa wote wachanjwe, kuchanja kuwe lazima. Bila ya hivyo, wale ambao hawajachanja watafanya variants zizaliwe ambazo hazisikii hata chanjo zilizopo.

Kuchanja kunatakiwa kuwa lazima.
Kirusi kipya kinawezaje kuzuiliwa na chanjo ya zamani
 
"Tell em"
Ni rahisi sana kutupa lawama. Ni rahisi sana kusema tunachotaka kusema.
Ila sidhani kama hali iko hivyo unavyosema. Germany na Netherlands mbona wanapambana na maambukizi mapya ambayo sio ya huyo variant wa SA.
Huu ugonjwa umetoka wapi? Nini chanzo chake? Na unamsaidia nani kifedha sasa hivi?
 
Back
Top Bottom