Tulivunja mahusiano na Israel, we gained nothing, then we lost all

Manelezu

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
1,907
2,768
  • Tulivunja mahusiano na Israel due to political differences na hatukuangalia zaidi athari za kiuchumi, its time to promote the economic delpomacy, ni mda wa kuangalia interests zetu kama nchi, ni mda wa kuwa na mahusiano mazuri ya kibalozi na Israel , mda umefika wa kuangalia faida za kiuchumi zaidi kama taifa.






 
  • Tulivunja mahusiano na Israel due to political differences na hatukuangalia zaidi athari za kiuchumi, its time to promote the economic delpomacy, ni mda wa kuangalia interests zetu kama nchi, ni mda wa kuwa na mahusiano mazuri ya kibalozi na Israel , mda umefika wa kuangalia faida za kiuchumi zaidi kama taifa.





una uhakika na usemalo? unazungumzia imani ya dini yako au objective reality ya taifa kunufaika kutokana na uhusiano wa kidiplomasia na nchi ya Israel? Wengine tungeshukuru ukitoa mfano wa nchi hata moja ya kiafrika iliyoendelea kutokana na kuwa na uhusiano wa kibalozi na nchi ya Israel! Kama hakuna tafadhali usipotoshe umma wa JF.
 
Hata wakati ule Afrika Kusini ilipokuwa chini ya utawala WA makaburu tungekuwa na uhusiano nao mzuri tungepata manufaa makubwa ya kiuchumi
Swali kwako ;Kwa nini hatukufanya hivyo?
Kwa nini tulivunja uhusiano na Uingereza juu ya Rhodesia (Zimbabwe)
Kuielewa falsafa ya Mwalimu yataka upeo wa juu,ungaliielewa ungejua kwa nini tulivunja uhusiano na dola la Mayahudi
 
Hebu tutajie Taifa moja tu lililofaidika na uhusiano wake na Israel,
Nadhani mleta uzi ameegemea kwenye upande wa mmoja tu,
Nyerere alikuwa mkatoliki safi na ndio alikuwa mtu wa kwanza asieitaka Israel kabisa, je wakatoliki mnaweza kutuambia sababu ya nyerere kutoitaka Israel?

nyerere alikuwa kafiri na syo mkatoliki bana,alikuwa rafiki wa mafirauni
 
Dunia imebadilika, historia ya miaka mingi iliyopita isitunyime fursa za kujenga uhusiano na taifa makini. Hizi dini ambazo mara nyingi zinatumika kama kigezo cha kuwa na uhusiano wa kidiplomasia na nchi fulani, zililetwa Afrika na watu waliokuja na majahazi, leo hii katika dunia ya facebook na mitandao mingi ya habari wenye akili hawajifanyi kuzijua sana hizi dini. Kuna watu wanajifanya wanaujua sana ukristo kuna watu wanajifanya wanaujua sana uslamu, wote hao hawana msaada wowote kwa ukuaji wa uchumi wa Tanzania, wanayoyasema yaingilie sikio la kushoto na yatokee sikio la kulia.
 
Hebu tutajie Taifa moja tu lililofaidika na uhusiano wake na Israel,
Nadhani mleta uzi ameegemea kwenye upande wa mmoja tu,
Nyerere alikuwa mkatoliki safi na ndio alikuwa mtu wa kwanza asieitaka Israel kabisa, je wakatoliki mnaweza kutuambia sababu ya nyerere kutoitaka Israel?
Wewe unaijua historia ya wakatoliki(Rumi) na Israeli (wayahudi au Jews).kasome vizuri historia ya mauaji ya mamilioni ya wayahudi alafu uje hapa useme kwa nini Nyerere aliikataa Israel pamoja na ukatoliki wake
 
una uhakika na usemalo? unazungumzia imani ya dini yako au objective reality ya taifa kunufaika kutokana na uhusiano wa kidiplomasia na nchi ya Israel? Wengine tungeshukuru ukitoa mfano wa nchi hata moja ya kiafrika iliyoendelea kutokana na kuwa na uhusiano wa kibalozi na nchi ya Israel! Kama hakuna tafadhali usipotoshe umma wa JF.
Israel ndio waliosaidia kuanzishwa kwa JKT,ndio waliostructure mfumo wa nyumba kumi kipindi cha Mwalimu....vipi kuliko na faida zozote hapo,nadhani jibu unalo
 
Hebu tutajie Taifa moja tu lililofaidika na uhusiano wake na Israel,
Nadhani mleta uzi ameegemea kwenye upande wa mmoja tu,
Nyerere alikuwa mkatoliki safi na ndio alikuwa mtu wa kwanza asieitaka Israel kabisa, je wakatoliki mnaweza kutuambia sababu ya nyerere kutoitaka Israel?
kwa Afrika mfano mzuri ni Ethiopia. .waisrael wamewekeza sana na kiuchumi inakuwa kwa kasi..plus waisrael wapo kwenye vyombo vyote muhimu vya maamuzi duniani. Hata hiyo marekani inayo influence economical political policies of the world waisrael ndio wanaiongoza.
 
Dunia imebadilika, historia ya miaka mingi iliyopita isitunyime fursa za kujenga uhusiano na taifa makini. Hizi dini ambazo mara nyingi zinatumika kama kigezo cha kuwa na uhusiano wa kidiplomasia na nchi fulani, zililetwa Afrika na watu waliokuja na majahazi, leo hii katika dunia ya facebook na mitandao mingi ya habari wenye akili hawajifanyi kuzijua sana hizi dini. Kuna watu wanajifanya wanaujua sana ukristo kuna watu wanajifanya wanaujua sana uslamu, wote hao hawana msaada wowote kwa ukuaji wa uchumi wa Tanzania, wanayoyasema yaingilie sikio la kushoto na yatokee sikio la kulia.
.....salute kamanda...nikikuunga mkono mia kwa mia kwenye hoja ya bandiko lako, niongezee tu kusema, tatizo kubwa ni unafiki wa waumini wengi kuwa wanadini, bila ya kuwa wachamungu.....zuga tupu!
 
kwa Afrika mfano mzuri ni Ethiopia. .waisrael wamewekeza sana na kiuchumi inakuwa kwa kasi..plus waisrael wapo kwenye vyombo vyote muhimu vya maamuzi duniani. Hata hiyo marekani inayo influence economical political policies of the world waisrael ndio wanaiongoza.
Una hakika waethiopia wananufaika na hayo maendeleo?
Na wanaokufa na njaa ni raia wa wapi katika hiyo nchi
 
Dunia imebadilika, historia ya miaka mingi iliyopita isitunyime fursa za kujenga uhusiano na taifa makini. Hizi dini ambazo mara nyingi zinatumika kama kigezo cha kuwa na uhusiano wa kidiplomasia na nchi fulani, zililetwa Afrika na watu waliokuja na majahazi, leo hii katika dunia ya facebook na mitandao mingi ya habari wenye akili hawajifanyi kuzijua sana hizi dini. Kuna watu wanajifanya wanaujua sana ukristo kuna watu wanajifanya wanaujua sana uslamu, wote hao hawana msaada wowote kwa ukuaji wa uchumi wa Tanzania, wanayoyasema yaingilie sikio la kushoto na yatokee sikio la kulia.


Nimeshindwa kuvumilia imebidi niseme chochote kwa hii post yako nzuri na yenye tija kwetu. Kwani tumekuwa wanafk kujidai tunazijua dini zaidi ya hao waliotuletea hizo dini.., tumekua tukididimia kila kukicha katika maendeleo yetu kwa kuukumbatia huu unafik
 
On a visit to Africa in 1958,
Foreign Minister Golda Meir
pledged Israeli help to find
solutions for severe challenges in
food security, water safety and
sanitation, healthcare, economic
growth, community building, the
empowerment of women and
education.
In the years since then, the
Foreign Ministry’s MASHAV,
Israel’s Agency for International
Development Cooperation, has not
only kept that promise, with
myriad projects primarily in
Ethiopia, Ghana, Kenya, Rwanda,
Senegal, South Sudan and Uganda,
but private Israeli companies and
nonprofit organizations have also
pitched in.
As ISRAEL21c has reported,
companies and organizations of
all shapes and sizes have lent
their expertise and people-power
to improve life in Africa. To top
this off, Israeli agencies such as
IsraAID consistently send relief
teams to alleviate food and
medical emergencies in countries
including Kenya and South Sudan.
MASHAV Director of Policy
Planning Ilan Fluss tells
ISRAEL21c that as a small country
of only eight million people, Israel
can’t invest as much in African
aid as larger countries can.
However, measuring impact in
terms of results puts Israel in a
singularly impressive light. “We
are constantly making more
programs and more partnerships,”
he says.
Two new projects were announced
this year: Grand Challenges Israel
(GCI) and the Israeli-German
Africa Initiative.
GCI is part of a global program to
support technological and
innovative approaches to public
health and food security in
developing countries. Israeli
researchers, innovators and
entrepreneurs can apply for GCI
grants to tackle problems in
public health and food security,
and introduce their innovations to
this growing market.
Africa Initiative involves an Israeli
investment of $7 million and a
German investment of $70 million
for a joint mission to aid Kenya,
Ghana and Ethiopia in agriculture,
water management, food security
and health.
The volume of projects is too vast
to cover in one article, so here we
focus on some of the most
notable Israeli aid programs for
Africa in recent years, grouped
into categories to illustrate just
how extensive the impact is.
Better health
1.
Malaria, the most devastating
disease in sub-Saharan Africa,
claims the life of a child every 30
seconds. Researchers at the Kuvin
Center for the Study of Infectious
and Tropical Diseases at the
Hebrew University of Jerusalem
are dedicated to helping Africa
wipe out this disease just as Israel
did in the 1940s.
In December 2013, the
university’s Hadassah Braun
School of Public Health hosted an
international conference of malaria
experts to formulate a new
strategy for African nations.
Representatives from Gabon and
Zanzibar were there to see what
conclusions they could bring back
home, where anti-malaria efforts
have been only partially
successful.
 
una uhakika na usemalo? unazungumzia imani ya dini yako au objective reality ya taifa kunufaika kutokana na uhusiano wa kidiplomasia na nchi ya Israel? Wengine tungeshukuru ukitoa mfano wa nchi hata moja ya kiafrika iliyoendelea kutokana na kuwa na uhusiano wa kibalozi na nchi ya Israel! Kama hakuna tafadhali usipotoshe umma wa JF.
Wewe Ni kenge kweli, hebu tazama Nabia, Botswana, kenya na viwanda vyao yote ni kwa ajili ya Israel, hata Marekani ni Israel.
 
una uhakika na usemalo? unazungumzia imani ya dini yako au objective reality ya taifa kunufaika kutokana na uhusiano wa kidiplomasia na nchi ya Israel? Wengine tungeshukuru ukitoa mfano wa nchi hata moja ya kiafrika iliyoendelea kutokana na kuwa na uhusiano wa kibalozi na nchi ya Israel! Kama hakuna tafadhali usipotoshe umma wa JF.
Hivi uhusiano na saudi arabia umetunufaisha nini cha maana saaana kama taifa?
 
Hata mimi binafsi sioni sababu hasa ya msingi ya sisi kuendelea kutokuwa na uhusiano na israel.....naamini tungejifunza na kunufaika mengi na hao jamaa kuliko hayo machina yaliyojjazana kariakoo yakiuza mpaka karanga....hatuna faida nao zaidi ya kutunyonya tu...
 
Israel ndio waliosaidia kuanzishwa kwa JKT,ndio waliostructure mfumo wa nyumba kumi kipindi cha Mwalimu....vipi kuliko na faida zozote hapo,nadhani jibu unalo
Kama si vita ya 73, Mwalimu asingefanya alokifanya. Sidhani alisukumwa na dini bali uafrika kuona Misri inavamiwa akaona inatosha sababu Uafrika kwake ulikuwa zaidi ya urafiki. Wayahudi walitufundisha mengi kwa kipindi kifupi walichosaidia JKT zetu. Nenda kwenye kambi kubwa kwama Burombora utakuta Mustin imeandikwa made in Israel. Why kwa sababu waanzilishi wa jkt ni wao. Mwl. alijua ili kujenge nidhamu na ulinzi imara alihitaji jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu, ndo maana akajenga jeshi lililofananana na israel. Akajenga nyumba kumi kumi ndo kibutz kule watu wanaishi kwa kujuananani ni nani na nani kaingia. To minimise to be invaded why sababu tulikuwa tunahifadhi wakimbizi na wapigania uhuru toka bara lote la Afrika. Je Israel ingependa kumpiga Samora kule \moro ingeshindwa? Wangesema waende Mazimbu wangeshindwa, Kinguruira au \kongwa? Walijua kila kitu lakini hata baada ya kupigana na waarabu na mzee kuwafurumisha hawakusema ngoja tuuze siri za nchi wakati ndo waliokuwa wanafundisha jeshi.

Jadiri na useme kwa sababu naongea kulingana na kumbu kumbu zangu na wewe jadiri ila sipeindi vijana wa sasa ambao wamezaliwa bila kujua tulikopitia wanaanza kutukana kitu ambacho si jadi yetu. Kama ulienda Jkt 75 -80 nikosoe. nawasilisha
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom