Tulitaka kutengenezewa ukame bwawa la Mtera, tupazeni sauti tukiona ndivyo sivyo

"Hata kama tusipopata tone la maji bado tunaweza kuzalisha umeme kwa miezi saba ijayo" - Meneja Bwawa la Mtera.

Inavyoonekana hawa wazito huwa wanaenda field wanapewa taarifa za kweli, lakini wao wakija kwenye majukwaa yao ya twitter wanaingiza siasa zao ili kutimiza malengo yao ovu kwa taifa, na kwa vile hawa mameneja miradi hawana uwezo wa kuwapinga, basi mafisadi wanajifanyia watakavyo.

Ole wao mafisadi wa nchi hii wamshughulikie huyo meneja, ameamua kuwa mkweli kwa nafsi yake na nchi yake, hawa jamaa ni wezi na wanafahamika kwa matendo yao miaka na miaka, kuwatetea kwa kutuletea namba nyingi kwenye long articles ni kupoteza muda tu, haya mambo ni kile kinachotokea field na wala sio kutuletea namba za darasani.

Rais anakurupuka kuleta habari za LNG na wajanja nao wanachukua nafasi hiyo kutengeneza mianya ya kutupiga huku Zitto akiwa mpiga zumari, wanajua pale kuna $ 30 mil. ni nani mwenye akili timamu wakuiamini hii combination ya Zitto na Makamba?

Badala ya kumalizia mradi wa Bwawa la Nyerere wanaenda kutumbukiza mapesa mengi kutengeneza mradi mpya, hivi kwa akili ya kawaida tu hii kitu inaeleweka kweli? tumezungukwa na circle ya wapigaji lazima tuwe makini.
Hiyo ni team Kikwete iliyoingia madarakani. Angalia jinsi biashara za lake oil zilivyoshamiri kwa miezi michache iliyopita. Nasikia mtoto wake wa mwisho kazaa na Mkwere
 
Ndo maana Wabongo ni rahisi sana kudanganywa, kwa sababu HAMSOMI...

Ukisoma taarifa ya TANESCO kuhusu kupungua vina vya maji kwenye mabwawa, hilo Bwawa la Mtera halijatajwa...

Hata wakati Maharage anataja mabwawa yaliyopungua maji, Mtera hakuitaja!!

Matokeo yake, leo hii mnaona kama taarifa ya Meneja wa Bwawa la Mtera ni mpya...

 
Mlianza na kihansi ,kilichotamkwa ni upungufu wa maji kwenye mabawa ya kuzalisha umeme
Mtera.png


Mtera.png


Muwe mnasoma,....
 
Pamoja na mchongo huyu mama japo ana madaraka makubwa ila zile weaknesses za kike zinadhihirika kwake kwamba hii jinsia bila kushauriwa na mwanaume haiwezi kufanya jambo lolote kubwa ikiwa peke yake.

Sometimes akili yake inamwambia kabisa kwamba mgosi hafai ila hana uhakika kama anachowaza ni sahihi mpaka aombe ushauri kutoka kwa wanaume kwanza(japo kikawaida sana inadhihirika ni sahihi mgosi anacheza deal zake pale wizarani) so inabidi aitishe ushauri kutoka kwa wanaume ambao baadhi ni chawa wa Makamba nao wanamjaza kwamba Makamba anafanya vizuri.

Tungekuwa na kiongozi makini mwanaume saizi tungekuwa tunazungumza mengine hapa.
Miaka 59 wameshika wanaume nchi mbona ipo ipo. Mpaka leo tunatembeza bakuli.
 
“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”

- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
 
“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”

- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Wewe ni mchawi loga basi mvua inyeshe
 
Mungu mchukue makamba na zitto na washenzi wengibe wote wenye nia mbaya na nchi hii.
Unadhani hao ndio chanzo cha matatizo? nauliza hivyo kwa sababu kuna waliona Magufuli ndio chanzo cha matatizo yote wakatamani afe, ila sasa bado wanaendelea kulalama matatizo yanaendelea.
 
CCM wametengeneza uvumi wa kutia hofu na mashaka na sintofahamu, kisha wakaja majibu ya mkanganyiko, wameshaspin, wadanganyika wameshajaa!

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Kama hakuna maji kuna haja gani ya kwenda kuyapiga doria? Sijawahi sikia hii kitu. Huwezi kuyapima kwa macho

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Huyo ni mwanasiasa achana na Siasa kwanza. Aende na mtumbwi au helicopter hiyo achana nayo kwanza.

Je, unaamini sababu ya mgao wa umeme ni upungufu wa maji Kidatu, Kihansi na Pangani kama walivyosema Tanesco?
 
Hii nchi ngumu sana kuongoza, mnaweza kuelewa ni jinsi gani JPM na uelewa wa mambo yanayoendelea.

Kuna namna wenye madaraka wanatakiwa kuwekea pembeni waje wengine tuone wao wanaweza nini, same people kila siku miaka nenda rudi sio sawa.
 
Ndo maana Wabongo ni rahisi sana kudanganywa, kwa sababu HAMSOMI...

Ukisoma taarifa ya TANESCO kuhusu kupungua vina vya maji kwenye mabwawa, hilo Bwawa la Mtera halijatajwa...

Hata wakati Maharage anataja mabwawa yaliyopungua maji, Mtera hakuitaja!!

Matokeo yake, leo hii mnaona kama taarifa ya Meneja wa Bwawa la Mtera ni mpya...

Hizi taarifa zinatakiwa kutoka kwa mameneja wa mabwawa ya umeme na sio kutoka kwa mtu mwingine yeyote, na zaidi ikitoka kwa bodi ya Tanesco iliyowekwa na Makamba ndio haiaminiki kabisa.

Meneja wa Mtera kaongea, hao wengine nani ataamini kama kweli mabwawa yao yana upungufu wa maji ikizingatiwa hii tabia ya kutengeneza migao ya umeme sio mara ya kwanza kulikumba taifa? mameneja ndio wanaotakiwa kutoa hizi taarifa, sio wanasiasa wenye malengo yao ya kuusaka urais.

Narudia tena, Makamba hana credibility yoyote ya kuaminika maneno yake kuhusu mgao wa umeme, amekuwa akitoa majibu ya kujichanganya sana na sababu za kitoto kabisa kukwamisha mradi wa bwawa la Nyerere ili kuhalalisha anachokitaka [mradi wa LNG wa $ 30mil] na bado inasemekana mmeshakodi software ya $ 30 mil..!!

Hamjiulizi kwanini kelele zote Tanesco tu tena baada ya Makamba kuingia huko wizarani?!
 
Back
Top Bottom