GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Humprey Polepole na Mimi wote tulikuwa wapiga tarumbeta, Vinanda na vinubi wakati wa JPM
Utofauti wetu ndani ya chama na sisi Yeye Humprey Polepole aliendekeza dharau kwa kuwa ni mtu wa kuja chamani, Sisi wengine na waomba msamaha wote kama Nape tuliogopa usalama wetu na Matumbo yetu
JPM alikuwa Mwamba, Sio Mwamba tu alitengeneza Longrun Leadership ya kuona hakuna mwenye mawazo na akili zaidi yake hapa TZ
Sikuwahi andika habari za Polepole Humprey hapa JF kwani niliona ana IQ ndogo sana enzi za JPM
IQ ndogo hupimwa kwa uwezo wa kufikiri wa Mtu nje ya box hasa Uvumbuzi na uwezo wa kutabiri yajayo
Polepole hana la maana kwenye Press yake na waandishi wa habari, Lengo kuu ilikuwa kutafuta ahueni kwa mkono wa sheria atakaokutana nao TCRA
Sheria za TCRA hizo hizo Bwana Cypirian Musiba alipendelewa kutukana wazee ndani ya chama huku Humprey Polepole akimsaidia Cypirian Musiba kudhalilisha watu wakati wa JPM
Polepole Humphrey kabla ya kuhitaji msamaha wa wananchi lazima atambue mtu akifariki na lake halipo hapa Duniani
Leo JPM alishaoza na hata tukiamua fukua kaburi Lake tutapata mifupa tu na si suti alizozikwa nazo
Nakiri watu wengi tulitumia uhuru vibaya wakati wa JPM hasa wale waliopata access au ukaribu wa moja kwa moja kama Makonda, Sabaya, Polepole Humprey na Genge lake
Ninaunga mkono mbinu zote za kumshughulikia Humprey Polepole ziwe unclassified au Classified kama za TCRA
Hakuna kitu cha bahati mbaya hapa Duniani,
You harvest what you Planted
The higher the Risk the higher the Return or Loss
Pole alijipendekeza sana kwa JPM akijua the Man will last longer lakini Leo anavuna ujinga na upuuzi wake
Kuomba msamaha sio ujinga, Mimi niliomba msamaha hapa JF na hata ndani ya Chama niliwaomba wale niliowakosea
TCRA Futeni Channel ya huyo Humprey Polepole
Utofauti wetu ndani ya chama na sisi Yeye Humprey Polepole aliendekeza dharau kwa kuwa ni mtu wa kuja chamani, Sisi wengine na waomba msamaha wote kama Nape tuliogopa usalama wetu na Matumbo yetu
JPM alikuwa Mwamba, Sio Mwamba tu alitengeneza Longrun Leadership ya kuona hakuna mwenye mawazo na akili zaidi yake hapa TZ
Sikuwahi andika habari za Polepole Humprey hapa JF kwani niliona ana IQ ndogo sana enzi za JPM
IQ ndogo hupimwa kwa uwezo wa kufikiri wa Mtu nje ya box hasa Uvumbuzi na uwezo wa kutabiri yajayo
Polepole hana la maana kwenye Press yake na waandishi wa habari, Lengo kuu ilikuwa kutafuta ahueni kwa mkono wa sheria atakaokutana nao TCRA
Sheria za TCRA hizo hizo Bwana Cypirian Musiba alipendelewa kutukana wazee ndani ya chama huku Humprey Polepole akimsaidia Cypirian Musiba kudhalilisha watu wakati wa JPM
Polepole Humphrey kabla ya kuhitaji msamaha wa wananchi lazima atambue mtu akifariki na lake halipo hapa Duniani
Leo JPM alishaoza na hata tukiamua fukua kaburi Lake tutapata mifupa tu na si suti alizozikwa nazo
Nakiri watu wengi tulitumia uhuru vibaya wakati wa JPM hasa wale waliopata access au ukaribu wa moja kwa moja kama Makonda, Sabaya, Polepole Humprey na Genge lake
Ninaunga mkono mbinu zote za kumshughulikia Humprey Polepole ziwe unclassified au Classified kama za TCRA
Hakuna kitu cha bahati mbaya hapa Duniani,
You harvest what you Planted
The higher the Risk the higher the Return or Loss
Pole alijipendekeza sana kwa JPM akijua the Man will last longer lakini Leo anavuna ujinga na upuuzi wake
Kuomba msamaha sio ujinga, Mimi niliomba msamaha hapa JF na hata ndani ya Chama niliwaomba wale niliowakosea
TCRA Futeni Channel ya huyo Humprey Polepole