Tuliposema tukaitwa makuwadi, haya sasa ile kampuni ya Kenya ya kununua korosho ni hewa serikali yatafuta mnunuzi mwingine wa korosho

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,867
IMG-20190509-WA0020.jpg
IMG-20190509-WA0032.jpg
 
Very true ukitaka kuwatawala wafanye masikini, angalia mahind, tetemeko, mishahara, korosho, mbaazi, wanyonge kodi usiwape kitu
Mimi niliukataa unyonge huu wa kutengeneza na nikaandika thread ya kuukataa unyonge lakini moderators wakaupotezea. Moderators leteni uzi wangu hapa wadau wausome.
 
Shamba la bibi masela wamejikusanya hapo Nairobi kuja kututapeli, hakika kitengo kimelala.
 
Shida ni kuwa wanunuzi wakubwa wa korosho huwa ni wachache duniani na huwa wananunua kwa reliable source zao tu. Ukitaka wanunue kwako inabidi upitie kwa mtuwao. Wazungu sio watu wa kurupuka hats kidogo wala hawayumbishwi. Wamepitia mengi ndio maana wanamisimamo yao sio sisi tunaendeshwa kwa utashi wa mtu Bali tunatakiwa tuongozwe na kanuni na sheria. Tumejifunza lakini, hatuna wa kumlaumu nahisi hatutarudia tena
 
Shida ni kuwa wanunuzi wakubwa wa korosho huwa ni wachache duniani na huwa wananunua kwa reliable source zao tu. Ukitaka wanunue kwako inabidi upitie kwa mtuwao. Wazungu sio watu wa kurupuka hats kidogo wala hawayumbishwi. Wamepitia mengi ndio maana wanamisimamo yao sio sisi tunaendeshwa kwa utashi wa mtu Bali tunatakiwa tuongozwe na kanuni na sheria. Tumejifunza lakini, hatuna wa kumlaumu nahisi hatutarudia tena
Umeongea vema sana....ilitokea kwenye tobacco few years ago; similar to korosho, jamaa walilazimisha bei bila kuzingatia pricing kwenye world markets...

plenty of tobacco haikununuliwa, wanasiasa wakahangaika kutafuta soko wakachemsha, wakarudi kwa wazungu wakakubaliana bei ndogo kuliko hata waliyoikataa awali...

Biashara ni maelewano....walisema wahenga.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom