iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Tulipopata Uhuru Taifa letu lilipandisha mwenge wa Uhuru juu ya mlima Kilimanjaro na tukaweka maazimio ambayo ndio dira yetu.
Moja kati ya maazimio ni kupinga uonevu popote pale ulipo,na dhidi ya mtu yeyote yule
Tuliupandisha mwenge ulete tumaini,upendo mahali penye chuki na heshima palipojaa dharau
Sasa hakuna upendo tena,watu wanawekwa ndani hata nje ya utaratibu,kuna chuki kubwa kwa wale ambao hawana muono mmoja na wao,dharau zimejaa,wanasiasa wanadharau watu na wao kujifananisha na mungu.
Ni mwendo wa kuwawinda tu wale usiokubaliana nao na kuwaweka ndani.
Ule mwenge wa Uhuru ni kiashiria cha uhuru wetu wa kikatiba na ulipandishwa mlima Kilimanjaro kila mtu auone mwanga wake.
Uhuru wetu ni haki yetu
Moja kati ya maazimio ni kupinga uonevu popote pale ulipo,na dhidi ya mtu yeyote yule
Tuliupandisha mwenge ulete tumaini,upendo mahali penye chuki na heshima palipojaa dharau
Sasa hakuna upendo tena,watu wanawekwa ndani hata nje ya utaratibu,kuna chuki kubwa kwa wale ambao hawana muono mmoja na wao,dharau zimejaa,wanasiasa wanadharau watu na wao kujifananisha na mungu.
Ni mwendo wa kuwawinda tu wale usiokubaliana nao na kuwaweka ndani.
Ule mwenge wa Uhuru ni kiashiria cha uhuru wetu wa kikatiba na ulipandishwa mlima Kilimanjaro kila mtu auone mwanga wake.
Uhuru wetu ni haki yetu