GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,418
- 108,517
1. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) ni wazima?
2. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tungetokewa na hiyo hali tungejisikiaje?
3. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tuna uhakika wa 100% na Afya zetu?
4. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) huyo fulani angetokewa na mabaya hali yetu ya Kimaisha ingebadilika?
5. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tumeshaingia mkataba na Mungu kuwa hatutokufa na tutaishi Milele?
6. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tuna Hofu ya Mungu kweli?
7. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tumeshajiandaa kwa Adhabu Kali ya Mungu inayotungojea Mbinguni ?
Bado ( Mimi na Wewe ) hatujachelewa kutubu na kubadilika.
Asubuhi njema nyote na Mwenyezi Mungu atusamehe sote.
2. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tungetokewa na hiyo hali tungejisikiaje?
3. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tuna uhakika wa 100% na Afya zetu?
4. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) huyo fulani angetokewa na mabaya hali yetu ya Kimaisha ingebadilika?
5. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tumeshaingia mkataba na Mungu kuwa hatutokufa na tutaishi Milele?
6. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tuna Hofu ya Mungu kweli?
7. Je, Sisi ( Mimi na Wewe ) tumeshajiandaa kwa Adhabu Kali ya Mungu inayotungojea Mbinguni ?
Bado ( Mimi na Wewe ) hatujachelewa kutubu na kubadilika.
Asubuhi njema nyote na Mwenyezi Mungu atusamehe sote.