chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,490
- 2,574
Ha ha ha ha zari la mentaliNikiwa nakaa geto, nakumbuka nilikuwa nimejilaza nikiwa na ugwadu hatari usiku, nikaamka kwenda choo cha nje kukojoa, Mara ghafla nikaona mama mmoja anakuja mbio anaomba nimuhifadhi kapigwa na mmewe kakimbia, alikuwa kachaniwa nguo kabakiza nguo ya ndani tu!
Akili yangu haikuwa sawa wala sikuhoji sana nikamfungia nikasikilizia kwa mda kama kuna watu wanakuja, nikaona jamaa kapita speed road anakimbia kama anamfukuza mtu; alivyotokomea nikajua hapa salama!
nikarudi kwa bibie ndani nikamwambia usiogope! upo mahali salama!
nikampa juice akanywa, tukapiga story kidogo hadi temper ikamshuka, aisee alikuwa mzuri nikamtafna usiku huo hadi asubuhi , asubuhi nikatengeneza supu tukanywa, nikamtafna tena cha asubuhi then nikaenda dukani kumnunulia kanga, nikampa nauli akadai anaenda kwa ndugu zake! HADI LEO HILO ZARI HUWA NALIKUMBUKA! lilivyowahi kuja wakati mwafaka