Tuliowahi kuwa matime keeper shule ya msingi tukutane hapa

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,669
40,917
Hili jukumu la ku keep time nilipewa rasmi nikiwa darasa la tano.

Ilikuwa kwa mwaka mmoja tu kabla ya kuwa kiranja wa elimu toka darasa la 6 mpaka namaliza la Saba.

Changamoto kubwa ilikua ni kuamka asubuhi kugonga kengele ya kushikisha namba.

Kengele za kumaliza vipindi inakufanya kila Mara uangalie muda.

Kipindi hicho nakumbuka nilikua na saa moja matata sana zile za kubonyeza

Sasa baada ya kupata Hilo jukumu mzee baba akaona aniunge mkono kwa kunipatia zile saa zenye kutumia mshale.

Sikuhiyo ya Tukio nakumbuka niliivua saa na kuiweka mfukoni; ile naitoa kumbe ilikua ipo juu chini nikahamaki nikajua ni saa 8 mchana kumbe ilikua saa sita; nikagonga kengele ya kwenda nyumbani ; watu wote wakatoka madarasani wakati vipindi vikiendelea ilikua taharuki ya aina yake.

Changamoto za Utime keeper hizo.
 
Niliwahi kugonga kengele ya mapumziko saa tano na robo badala ya saa sita na robo!
Kilichonishangaza cku hiyo, kawaida nikigonga, 'nge' wanafunzi hushangiliia 'eeeeeh'. Sasa siku hiyo naona kimya.
Wacha nipate kazi ya kuwarudisha watu darasani.
 
Niliwahi kugonga kengele ya mapumziko saa tano na robo badala ya saa sita na robo!
Kilichonishangaza cku hiyo, kawaida nikigonga, 'nge' wanafunzi hushangiliia 'eeeeeh'. Sasa siku hiyo naona kimya.
Wacha nipate kazi ya kuwarudisha watu darasani.
Pole sana mkuu
 
tiririka tu mkuu maana kazi ya kuandika wasumbufu haikua ndogo..
na kukusanya madaftari na kuyapeleka ofisini kwa waalimu.. bahati nzuri ukipeleka muda walimu wanakula mwalimu anakupa nyama unatoka ukitafuna.. ndo marupurupu yenyewe hayo
 
Nilikuwa time keeper na monitor pia,Mtendeni Primary School.Kipindi hiko shule zilikuwa vizuri sana kitaaluma.
 
Niliwahi kuwa time keeper Primary Kwa miezi kadhaa darasa la saba. Kengele ya alfajiri kukimbia mchakamchaka niliigonga siku 2 tu. Kuamka alfajiri ni mtihani, wale wapenda mchakamchaka ndo walikuwa wanatake cover kwa kuigonga.
 
Hahahaaaa, unanikumbusha std v tulikuwa tukionyeshana vyupi vile VIP vya mistari hv. Enzi hizo wanaovaa wachache sana, wengi walikuwa wakivaa kaptula mbili HD NNE kwani bakora ilikuwa lazima, ukikosa UKAGUZI, chawa, nywele, basi kelele au namba. Daily lazima uchezee kadhaa. Wachelewaji na masela kituo ni chooni. Utawakuta wengi tu. Nilikuwa mdogo wa mwili lkn kichwa sana so nilikuwa karibu sana na wababe. Niliwahi pata demu kwa kumuonyesha chupi yangu akibishia kuwa sina, tukachepuka kwenye marejea aone nikamla. Pia wachelewaji NAO nikimpata mmoja chooni huko nikaoata raha. Enzi zetu 1985-92 tulianza Shule kwa Kupima mkono kushika sikio l upande wa pili, wengi tulikuwa kuanzia 20 yrs. Std vi tayari unajua test ya naniliuuu!!! Samahan kwa kuwachosha, mmenikumbusha mbali sana. Dah, niligongewa kengele ya dharula kwa kufumania BARUA yangu kwa demu, tukasimamishwa MBELE ya wanafunzi wote na kuchezea bakora, black buk nilisaini Mara 2. Saizi nipo tuli na wife. Nikikutana na maclasmate hufurahi sana. Siku njema.
 
Back
Top Bottom