Tuliowahi kutuma SMS kimakosa kisha zikatutia aibu na kashikashi tuje hapa

mi nakumbuka nilipambana kutoa betrii nikasahau simu hata haina mfuniko,
batan ya power nayo haishikikiiii, msg icon n km inaterezaa, sijakaa vizur naambiwa msg derivered,
nilichofanya ni kuendelea kujichatisha maneno km yale yalee,
halaf mwishoni nikamwambia...
'nijibu haraka hamna umeme nimeomba tuu simu nikaweka laini kwa rafk yangu hapa anataka aichukue'.

Ujinga mwingne ni wasap, ile ku set popup msg, unatype unamjib huyu kwenye ku send ishaingia nyingnee inaungaaaa,
haya mambo hayaaa banaa, waweza umuombe dingi yako papuchuu, tena unafanya kumbembelezaa, unamwambia usiogopeee hawatajuaaa, nitakununulia chipsi na gauni, aloooo hio kesi hata hakimu haingilii, umnunulie dingi yako chipsi na gauni?

usiombee uwe unasubiria akutumie ada au pocket money, alooo mpk aje kukuelewa ushakula vyakula vyote vya mifugo.
 
Siku moja tulikua sebuleni tunacheki movie,nilikua mimi,sister angu kanizidi miaka kama miwili hivi alaf na mshua sasa,,Movie yenyewe ni Spartacus kila muda ni sexy scene,,Ile imefikia Scene watu wananyanduana nikamcheki mshua anajifanya haoni eti anaangalia simu yake,kumcheki Dada nae akanicheki mimi uku akinionesha ishara ya kuipeleka movie mbele..Nikamwandikia sms sister kuwa'Mcheki mshua anazuga yuko bize na simu'Asalaaleh.!!kumbe nilikosea nikamtumia Dingilii!!Nashangaa dingi ananikata jicho kali hadi nikaenda kulala.
 
Siku moja tulikua sebuleni tunacheki movie,nilikua mimi,sister angu kanizidi miaka kama miwili hivi alaf na mshua sasa,,Movie yenyewe ni Spartacus kila muda ni sexy scene,,Ile imefikia Scene watu wananyanduana nikamcheki mshua anajifanya haoni eti anaangalia simu yake,kumcheki Dada nae akanicheki mimi uku akinionesha ishara ya kuipeleka movie mbele..Nikamwandikia sms sister kuwa'Mcheki mshua anazuga yuko bize na simu'Asalaaleh.!!kumbe nilikosea nikamtumia Dingilii!!Nashangaa dingi ananikata jicho kali hadi nikaenda kulala.
Ukamuacha na sistaa ako wanaangakia spartacas.
Astaghafullilah!!!

Kwa kifupi wote hapo mlikua zero brain.Ww sista ako na dingi ako
 
Na mshua kuna siku alinizingua nikamsave “ndezi” mwanzoni kabisa hizi apps zilikuwa zinakuletea option ya ku re commend kutuma kwa wengine wajiunge mimi nikaselect contact zote, kumbe ile app ina copy hadi jina kwenye simu linaunganisha kwenye text, mfano nimesave jina lako megapixel inakutumia meseji “megapixel flani invite you”. Daah siku ilikuwa ndefu maana mshua alinitext nani ndezi
 
Siku moja tulikua sebuleni tunacheki movie,nilikua mimi,sister angu kanizidi miaka kama miwili hivi alaf na mshua sasa,,Movie yenyewe ni Spartacus kila muda ni sexy scene,,Ile imefikia Scene watu wananyanduana nikamcheki mshua anajifanya haoni eti anaangalia simu yake,kumcheki Dada nae akanicheki mimi uku akinionesha ishara ya kuipeleka movie mbele..Nikamwandikia sms sister kuwa'Mcheki mshua anazuga yuko bize na simu'Asalaaleh.!!kumbe nilikosea nikamtumia Dingilii!!Nashangaa dingi ananikata jicho kali hadi nikaenda kulala.
Ngareroooooo ume kill the killer, nimecheka boya ww
 
R.i.p bi mkubwa,moja ya matukio ambayo Maza aliniokoa ni hili kukosea msg halafu ikaenda kwenda mzee bahati nzur mda huo Maza alikuwa na simu ya mumewe anacheza game akaisoma coz namba yangu ni nyepesi akawa na uhakika imetoka kwangu akifuta bila mshua kujua.huwezi Amin ilikuwa nimetoka kupewa ada ya chuo usiku huo nikawa nampanga demu nyumba ya jirani twende kigamboni eti niliekuwa namdai kanilipa.kwa ninavyomjua mzee wangu siku ile ndio ingekuwa mwisho wa chuo...nilipewa risala Kali na asubuh tukaongozana na bimkubwa Hadi crdb azikiwe branch kuweka ile hela.

🤣🤣nimecheka aisee
 
Huu uzi bwana. Msg za kwenda kwa msichana zimeenda kwa mzee au bi mdashi....robo tatu ya comments
Yaah hizo ndiyo zinasisimua zaidi tulizokosea zikaenda kwa washkaji tu
Ni kiasi tu cha kumplease muhuni kwa sms na mambo yanaisha
Hatuwezi kuziandika hapa kama hizo
 
Kuna siku manzi angu alikua anachat na kabishoo kake kanaitwa ka Rahim sijui!!Si akatuma kwangu et"Raheem nakupenda sana naomba usiniumize plz"Nikajua tu uyu boya kazama chakiume,nikamjibu"Duh.!Ilo jina la Raheem umenibatiza lini mamiloo?"akajichekesha kinafiki uku ana vibrate et analipenda tu ilo jina anapenda awe ananiita ivo au tukizaa mtoto tumuite Raheem,Nilichofanya ni kumualika ahudhurie geto anibatize rasmi ilo jina,Nilimhondomola kinyama alaf nikamtema apo apo.
 
Miaka kadhaa nilivyokuwa mvulana, jpili lazima twende church familia nzima, dingi akaenda kuoga akaacha simu yake dinning alipo kuwa anakunywa chai, koz najua passwords zake za mpesa, mjanja nikaenda kujihamishia credit Kama ya buku 8, daah hela imeshaingia kwenye simu yangu, naiskilizia sms irudi kwenye simu ya mzee ili nifute, twende sawa. Dah sms haikurudi Hadi nikasahau. Tuko kwenye gari tunaenda church mara sms ikaingia kuwa namba ya mzee imenitumia hela, baba kuusoma tu, yaliyo nikuta acheni tu, mpesa mungu anawaona
 
Dah mi juzi nimetoka kwa mchepuko nikawa nautumia meseji ya kumshukuru kwa kunikatia kiuno vizuri...dah mara ile msg naona inaenda kwa wife, alipoisoma jicho alilonikata nlitamani kufa yaliyoendelea ni siri yangu
 
Miaka kadhaa nilivyokuwa mvulana, jpili lazima twende church familia nzima, dingi akaenda kuoga akaacha simu yake dinning alipo kuwa anakunywa chai, koz najua passwords zake za mpesa, mjanja nikaenda kujihamishia credit Kama ya buku 8, daah hela imeshaingia kwenye simu yangu, naiskilizia sms irudi kwenye simu ya mzee ili nifute, twende sawa. Dah sms haikurudi Hadi nikasahau. Tuko kwenye gari tunaenda church mara sms ikaingia kuwa namba ya mzee imenitumia hela, baba kuusoma tu, yaliyo nikuta acheni tu, mpesa mungu anawaona
Nini kilitokea mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom