Tuliowahi kutuma SMS kimakosa kisha zikatutia aibu na kashikashi tuje hapa

venance7

JF-Expert Member
May 15, 2019
554
1,636
Hili kosa la kutuma sms kimakosa nahakikisha sitalirudia tena.

Nakumbuka niliwahi kumtumia mama yangu mzazi sms ambayo ilikuwa inatakiwa iende kwa demu fulani hivi , bahati mbaya ikaenda kwa B. mkubwa. SMS yenyewe ilikuwa ni zile za kulazimisha kuomba show (sex); niliandika SMS yenye maneno mazuri mno, halafu ile sijaangalia vizuri, nikaituma hapohapo ikaandika "sms delivered". Daah! macho yalinitoka balaa. Haikupita dakika mbili mama anapiga simu na alikuwa mtu wa dini kwelikweli; simu inaita jasho linanivuja nawaza nimdanganye nini.

Kuna SMS zingine hata kama mzazi anajua mwanangu amekua sasa, lazima zitakutia aibu. Nikapokea simu mama anasema "Mwanangu nini sasa hiki na wewe? Maliza masomo yako ya chuo kwanza, mapenzi yapo tu kila siku , ngono zitakuua baba"

Ile fedheha siwezi kuisahau kabisa.
 
Mi nakumbuka nilipambana kutoa betrii nikasahau simu hata haina mfuniko,
batan ya power nayo haishikikiiii, message icon ni kama inatelezaa, sijakaa vizuri naambiwa "message delivered".

Nilichofanya ni kuendelea kujichatisha maneno kama yale yalee,
halafu mwishoni nikamwambia: "nijibu haraka hamna umeme nimeomba tuu simu nikaweka laini kwa rafiki yangu hapa anataka aichukue".

Ujinga mwingne ni WhatsApp, ile ku-set popup message, una-type unamjibu huyu kwenye ku-send ishaingia nyingnee inaunga.

Haya mambo hayaaa bana, waweza umuombe dingi yako papuchuu, tena unafanya kumbembelezaa, unamwambia:
"usiogopeee hawatajuaaa, nitakununulia chipsi na gauni"

Aloooo hiyo kesi hata hakimu haingilii, umnunulie dingi yako chipsi na gauni?

usiombee uwe unasubiria akutumie ada au pocket money, alooo mpk aje kukuelewa ushakula vyakula vyote vya mifugo.
 
shubamiti
mi nakumbuka nilipambana kutoa betrii nikasahau simu hata haina mfuniko,
batan ya power nayo haishikikiiii, msg icon n km inaterezaa, sijakaa vizur naambiwa msg derivered,
nilichofanya ni kuendelea kujichatisha maneno km yale yalee,
halaf mwishoni nikamwambia...
'nijibu haraka hamna umeme nimeomba tuu simu nikaweka laini kwa rafk yangu hapa anataka aichukue'.

Ujinga mwingne ni wasap, ile ku set popup msg, unatype unamjib huyu kwenye ku send ishaingia nyingnee inaungaaaa,
haya mambo hayaaa banaa, waweza umuombe dingi yako papuchuu.
 
R.I.P, Bi. mkubwa. Moja ya matukio ambayo maza aliniokoa ni hili kukosea message halafu ikaenda kwenda mzee bahati nzuri muda huo maza alikuwa na simu ya mumewe anacheza game akaisoma coz namba yangu ni nyepesi akawa na uhakika imetoka kwangu akaifuta bila mshua kujua. Huwezi amini ilikuwa nimetoka kupewa ada ya chuo usiku huo nikawa nampanga demu nyumba ya jirani twende Kigamboni eti niliyekuwa namdai kanilipa. Kwa ninavyomjua mzee wangu siku ile ndio ingekuwa mwisho wa chuo; nilipewa risala kali na asubuhi tukaongozana na Bi mkubwa hadi CRDB Azikiwe branch kuweka ile hela.
 
R.i.p bi mkubwa,moja ya matukio ambayo Maza aliniokoa ni hili kukosea msg halafu ikaenda kwenda mzee bahati nzur mda huo Maza alikuwa na simu ya mumewe anacheza game akaisoma coz namba yangu ni nyepesi akawa na uhakika imetoka kwangu akifuta bila mshua kujua.huwezi Amin ilikuwa nimetoka kupewa ada ya chuo usiku huo nikawa nampanga demu nyumba ya jirani twende kigamboni eti niliekuwa namdai kanilipa.kwa ninavyomjua mzee wangu siku ile ndio ingekuwa mwisho wa chuo...nilipewa risala Kali na asubuh tukaongozana na bimkubwa Hadi crdb azikiwe branch kuweka ile hela.
Aisee kijana ulikanyaga waya wa umeme... Unataka ugongee adaa
 
Baada ya shoo, dem kamtumia jamaa sms

Dem: nilivyokuwa nakuona nilidhani ni >>> kumbe --
Jamaa: na mimi nilidhini ni ( ) au (( )) kumbe ni ((( )))

Sasa hiyo sms nikiwa form four nikiwa nataka kumtuamia rafiki yangu baada ya kununua kasimu kangu ka nokia tochi.; bahati mbaya nikatuma kwa mama mzazi na chumba changu kilikuwa kimepakana na jiko.
Baada ya kuwa derivered nikaisikia na mama akajua tu nimekosea namba baada ya mimi kuanza kuidai simu yake kwa nguvu sana.
Ila aligoma kunipa maana alikuwa akinilaumu sana kwa kuanza kutumia simu nikiwa bado shule. Pia alitaka kujua kwa nini ninalazimisha kupewa simu yake

Baada ya kusoma ile sms, akaishiwa nguvu na kunipa simu. Nilijisikia vibaya sana siku ile na nikaifuta tu ile sms. Ninachoshukuru hakumpa simu mzee ingawa alikuwa pale pale jikoni wakipiga story, maana ningeaibika mara mbili.
 
R.i.p bi mkubwa,moja ya matukio ambayo Maza aliniokoa ni hili kukosea msg halafu ikaenda kwenda mzee bahati nzur mda huo Maza alikuwa na simu ya mumewe anacheza game akaisoma coz namba yangu ni nyepesi akawa na uhakika imetoka kwangu akifuta bila mshua kujua.huwezi Amin ilikuwa nimetoka kupewa ada ya chuo usiku huo nikawa nampanga demu nyumba ya jirani twende kigamboni eti niliekuwa namdai kanilipa.kwa ninavyomjua mzee wangu siku ile ndio ingekuwa mwisho wa chuo...nilipewa risala Kali na asubuh tukaongozana na bimkubwa Hadi crdb azikiwe branch kuweka ile hela.
Watoto mna Mambo
 
Dah, nakumbuka kama story mbili hivi,

Ya kwanza Nilikua namtumia demu wangu sms "mambo mrembo", kumbe nikaituma kwa mshua, dah nilichezea makofi heavy (nilikua o level)

Ya pili Nilikua nachat na mshikaji wangu kinoma noma, Kati Kati ya chatting nikamwandikia "wewe fala nenda ukany*e"" bahati mbaya ikaenda kwa shangazi, alinipigia simu, hila alijua nimekosea,


Mwisho, nilimtumia demu wangu sms "umesumeshakula" kwa haraka zangu nikaandika "umeshakuny*a"??........


Kwa kweli sitasahau.

Opondo ja shirati
 
Hili kosa la kutuma sms kimakosa nahakikisha sitalirudia tena, nakumbuka niliwahi kumtumia mama yangu mzazi sms ambayo ilikuwa inatakiwa iende kwa demu flani hivi ,bahati mbaya ikaenda kwa bi mkubwa,sms yenyewe ilikuwa ni zile za kulazimisha kuomba show(sex),niliandika sms yenye maneno mazuri mno alafu ile sijaangalia vizuri nikaituma hapohapo ikaandika sms derived,daah macho yalinitoka balaa,haikupita dk mbili mama anapiga simu na alikuwa mtu wa dini kwelikweli,simu inaita jasho linanivuja nawaza nimdanganye nini,kuna sms zingine hata kama mzazi anajua mwanangu amekua sasa lazima zitakutia aibu,nikapokea simu mama anasema "mwanangu nini sasa hiki na wewe,maliza masomo yako ya chuo kwanza mapenzi yapo tu kilasiku ngono zitakuua baba " ile fedheha siwezi kuisahau kabisa.
 
Dah mi juzi nimetoka kwa mchepuko nikawa nautumia meseji ya kumshukuru kwa kunikatia kiuno vizuri...dah mara ile msg naona inaenda kwa wife, alipoisoma jicho alilonikata nlitamani kufa yaliyoendelea ni siri yangu
Mbavu zangu
 
Kuna mzee nilikuwa na bargain nae kuhusu kumuuzia bidhaa flan. Sasa huku nikiwa nawasiliana na jamaa kumueleza jinsi nnavyo muingiza huyo mzee king.

Sasa nkawa nmemtajiia bei ya juuu. At the same time nmemtumia jamaa yangu msg kuwa nshamuingiza king mteja nasubiri anipe jib nile bingo.

Dah ile msg ikakosea ikaenda kwa mzee mhusika. Dah nilichokiona ni derivery riport.

Dah nilitaman ardh ipasuke maana mzee alikuwa mteja saana na ananiheshim saana. Akanipigia simu akasema nmpelekee bidhaa. Nilijisikia aibu saama
 
mi nakumbuka nilipambana kutoa betrii nikasahau simu hata haina mfuniko,
batan ya power nayo haishikikiiii, msg icon n km inaterezaa, sijakaa vizur naambiwa msg derivered,
nilichofanya ni kuendelea kujichatisha maneno km yale yalee,
halaf mwishoni nikamwambia...
'nijibu haraka hamna umeme nimeomba tuu simu nikaweka laini kwa rafk yangu hapa anataka aichukue'.

Ujinga mwingne ni wasap, ile ku set popup msg, unatype unamjib huyu kwenye ku send ishaingia nyingnee inaungaaaa,
haya mambo hayaaa banaa, waweza umuombe dingi yako papuchuu.
 
Kuna mzee nilikuwa na bargain nae kuhusu kumuuzia bidhaa flan. Sasa huku nikiwa nawasiliana na jamaa kumueleza jinsi nnavyo muingiza huyo mzee king.

Sasa nkawa nmemtajiia bei ya juuu. At the same time nmemtumia jamaa yangu msg kuwa nshamuingiza king mteja nasubiri anipe jib nile bingo.

Dah ile msg ikakosea ikaenda kwa mzee mhusika. Dah nilichokiona ni derivery riport.

Dah nilitaman ardh ipasuke maana mzee alikuwa mteja saana na ananiheshim saana. Akanipigia simu akasema nmpelekee bidhaa. Nilijisikia aibu saama
aisee uaminifu lazima ulipungua
 
R.i.p bi mkubwa,moja ya matukio ambayo Maza aliniokoa ni hili kukosea msg halafu ikaenda kwenda mzee bahati nzur mda huo Maza alikuwa na simu ya mumewe anacheza game akaisoma coz namba yangu ni nyepesi akawa na uhakika imetoka kwangu akifuta bila mshua kujua.huwezi Amin ilikuwa nimetoka kupewa ada ya chuo usiku huo nikawa nampanga demu nyumba ya jirani twende kigamboni eti niliekuwa namdai kanilipa.kwa ninavyomjua mzee wangu siku ile ndio ingekuwa mwisho wa chuo...nilipewa risala Kali na asubuh tukaongozana na bimkubwa Hadi crdb azikiwe branch kuweka ile hela.
Hahhahaha we jamaa nmecheka kifala sana
 
Mm nilikosea ktk mademu zangu nimpendae zaidi ni miss yani English figure but nina size ya kati na tipwatipwa sasa nilikuwa nachati na wote at the same time si nikakosea nikamwambia yule miss "ebwana fanya mazoezi upunguze huo ubonge juzi umenitoa jasho sana kukugeuza"
Huku huyu modal nna zaidi ya mwezi sijaonana naye ilibidi nifake"baby unajua umekuwa bonge mm napenda uwe vilevile"
Kumbe alishastuka na tunavyoongea hapa imebaki story
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom