Tuliowahi kutoka kimapenzi na walimu wetu tukatane hapa

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,874
Wadau amani iwe kwenu.
Nakumbuka kuna mada fulanifulani nilizowahi kuleta humu kuhusu mimi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwalimu wangu wa hesabu.

Sasa ukweli wenyewe ni huu, Je ilikuwaje? Niliendeleaje baada ya hapo?
Nakumbuka kuwa miaka 2000 na niliingia kidato cha kwanza katika shule moja ya bweni.Nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa nane nikiwa kidato cha kwanza (Aisee huenda nina mambo ya ajabu sana) walikuja walimu fulani wa mafunzo kwa njia ya vitendo kutoka vyuo vya ualimu. Walikuwamo wadada fulani waliokuwa wamevalia sare (Uniform za shule) sketi na shati! Sasa siku moja nafanya mtihani wa hesabu nadhani ilikuwa ni wa robo ya tatu ya muhula alikuja mmoja wa wale walimu ambaye naomba nikiri kuwa alikuwa kifaa haswa na wowowo la uhakika. Huyu alikuja kwa ajili ya kutusimamia mtihani.Sasa kumbe alipokuwa amekaa mbele ya darasa alikaa kihasara hasara sana ile kunyanyua kichwa tu na kuangalia nilijikuta mwili ukifa ganza! Nikawa siwezi hata kuandika, kufikiri kukakwama nikajihisi jasho tu likinitiririka! Aisee sitokuja niisahau ile siku. Basi kutokana na hali ile nikashindwa kabisa kufanya mtihani kwa "speed" inayotakiwa na kujikuta nimebaki peke yangu wa mwisho darasani. Dah nikajikongoja hivyohivyo huku mwalimu akinisisitizia kuwa muda umeisha ila akanitia moyo kuwa nimalizie tu maswali. Baada ya mtihani nikawa naanza kumzoea muda mwingine natinga gheto alilokuwa anaishi huku akinifundisha na kwakweli nilikuwa najiweza kiakili....Ule mwezi kilichokuja kutokea imebaki kuwa kumbukumbu kwangu. Nilijifunza jambo kuhusu wanawake na nikawa nalitumia hadi siku hizi.

Nilikuja tena kutoka na mwalimu mmoja wa o-level kipindi nikiwa form five! Kwenye genye huwa hakuna adabu kabisa. Unaweza kufanya lolote lile bila kuogopa daaah!
 
wawili tu mkuu? hahaaah mi walikuwa wakinivujishia mitihani hadi mmoja alivuka mipaka akanifanyia mtihani flani wakati huo mimi nipo mkoani nafanya biashara flani sio, wanafunzi wakaandamana huyu jamaa hakuwepo siku ya pepa iweje atuongoze, upendo wa walimu mtamu sana umenikumbusha mbali sana mkuu, ticha anaingia darasani anakuone aibu kumbe mwenzie kisha muhadithia shughuli
 
Wadau amani iwe kwenu.
Nakumbuka kuna mada fulanifulani nilizowahi kuleta humu kuhusu mimi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwalimu wangu wa hesabu.

Sasa ukweli wenyewe ni huu, Je ilikuwaje? Niliendeleaje baada ya hapo?
Nakumbuka kuwa miaka 2000 na niliingia kidato cha kwanza katika shule moja ya bweni.Nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa nane nikiwa kidato cha kwanza (Aisee huenda nina mambo ya ajabu sana) walikuja walimu fulani wa mafunzo kwa njia ya vitendo kutoka vyuo vya ualimu. Walikuwamo wadada fulani waliokuwa wamevalia sare (Uniform za shule) sketi na shati! Sasa siku moja nafanya mtihani wa hesabu nadhani ilikuwa ni wa robo ya tatu ya muhula alikuja mmoja wa wale walimu ambaye naomba nikiri kuwa alikuwa kifaa haswa na wowowo la uhakika. Huyu alikuja kwa ajili ya kutusimamia mtihani.Sasa kumbe alipokuwa amekaa mbele ya darasa alikaa kihasara hasara sana ile kunyanyua kichwa tu na kuangalia nilijikuta mwili ukifa ganza! Nikawa siwezi hata kuandika, kufikiri kukakwama nikajihisi jasho tu likinitiririka! Aisee sitokuja niisahau ile siku. Basi kutokana na hali ile nikashindwa kabisa kufanya mtihani kwa "speed" inayotakiwa na kujikuta nimebaki peke yangu wa mwisho darasani. Dah nikajikongoja hivyohivyo huku mwalimu akinisisitizia kuwa muda umeisha ila akanitia moyo kuwa nimalizie tu maswali. Baada ya mtihani nikawa naanza kumzoea muda mwingine natinga gheto alilokuwa anaishi huku akinifundisha na kwakweli nilikuwa najiweza kiakili....Ule mwezi kilichokuja kutokea imebaki kuwa kumbukumbu kwangu. Nilijifunza jambo kuhusu wanawake na nikawa nalitumia hadi siku hizi.

Nilikuja tena kutoka na mwalimu mmoja wa o-level kipindi nikiwa form five! Kwenye genye huwa hakuna adabu kabisa. Unaweza kufanya lolote lile bila kuogopa daaah!
Umeandika nusu nusu utafikiri umetaja jina la hao waalim,funguka full mkuu,vinginevyo tutaichukulia ya kutunga
 
Wadau amani iwe kwenu.
Nakumbuka kuna mada fulanifulani nilizowahi kuleta humu kuhusu mimi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwalimu wangu wa hesabu.

Sasa ukweli wenyewe ni huu, Je ilikuwaje? Niliendeleaje baada ya hapo?
Nakumbuka kuwa miaka 2000 na niliingia kidato cha kwanza katika shule moja ya bweni.Nakumbuka ilikuwa ni mwezi wa nane nikiwa kidato cha kwanza (Aisee huenda nina mambo ya ajabu sana) walikuja walimu fulani wa mafunzo kwa njia ya vitendo kutoka vyuo vya ualimu. Walikuwamo wadada fulani waliokuwa wamevalia sare (Uniform za shule) sketi na shati! Sasa siku moja nafanya mtihani wa hesabu nadhani ilikuwa ni wa robo ya tatu ya muhula alikuja mmoja wa wale walimu ambaye naomba nikiri kuwa alikuwa kifaa haswa na wowowo la uhakika. Huyu alikuja kwa ajili ya kutusimamia mtihani.Sasa kumbe alipokuwa amekaa mbele ya darasa alikaa kihasara hasara sana ile kunyanyua kichwa tu na kuangalia nilijikuta mwili ukifa ganza! Nikawa siwezi hata kuandika, kufikiri kukakwama nikajihisi jasho tu likinitiririka! Aisee sitokuja niisahau ile siku. Basi kutokana na hali ile nikashindwa kabisa kufanya mtihani kwa "speed" inayotakiwa na kujikuta nimebaki peke yangu wa mwisho darasani. Dah nikajikongoja hivyohivyo huku mwalimu akinisisitizia kuwa muda umeisha ila akanitia moyo kuwa nimalizie tu maswali. Baada ya mtihani nikawa naanza kumzoea muda mwingine natinga gheto alilokuwa anaishi huku akinifundisha na kwakweli nilikuwa najiweza kiakili....Ule mwezi kilichokuja kutokea imebaki kuwa kumbukumbu kwangu. Nilijifunza jambo kuhusu wanawake na nikawa nalitumia hadi siku hizi.

Nilikuja tena kutoka na mwalimu mmoja wa o-level kipindi nikiwa form five! Kwenye genye huwa hakuna adabu kabisa. Unaweza kufanya lolote lile bila kuogopa daaah!
Story haijakamilika, andika kwa ufasaha mpaka mwisho alafu nasisi tulete za kwetu
 
Nilimpa mimba Mwalimu wangu wa biology nikiwa kidato cha nne Shule moja Teule ya vipaji (special school) na sasa kila nikimuangalia huyu dogo nakumbuka tukio zima mpaka anapata mimba mama yake.
 
Nilimpa mimba Mwalimu wangu wa biology nikiwa kidato cha nne Shule moja Teule ya vipaji (special school) na sasa kila nikimuangalia huyu dogo nakumbuka tukio zima mpaka anapata mimba mama yake.
Nikiwa form four ndiyo ilikuwa hatari mkuu. Walimu wengi wa kike nilikuwa nawamezea mate na wengine niliishia kuwatongoza bila woga! Alikuwa akijichanganya kujifanya kunizoea imekula kwake. Yupo mmoja hivi alikuwa kaenda hewani ana mshepu wa maana huyo nilimpa live ila aliendaga masomoni. Baadaye sana nilikuja kukutana naye mitaani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom