Tuliowahi kutendwa/kupigwa kibuti tukutane hapa

Ntandaba

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
923
1,465
Naomba nitambue uwepo wa members wote wa ke/me katika suala hili kuntu la kutendwa,itoshe kusema itifaki imezingatiwa.
Moja kwa moja kwenye mada,suala la mahusiano la kimapenzi linapitia katika changamoto nyingi sana.Pamoja na changamoto hizo hakuna maumivu makali yanayouma pale inapotokea mmoja wenu anatendwa bila kutarajia.Hivyo kwa mantiki hii naomba wale wote tuliowahi kupigwa kibuti tupeane kasoro za sababu zetu za kutendwa na nini kifanyike ili tujirekebishe,
Ahsanteni,sasa naomba tuanze kutiririka
 
Naomba nitambue uwepo wa members wote wa ke/me katika suala hili kuntu la kutendwa,itoshe kusema itifaki imezingatiwa.
Moja kwa moja kwenye mada,suala la mahusiano la kimapenzi linapitia katika changamoto nyingi sana.Pamoja na changamoto hizo hakuna maumivu makali yanayouma pale inapotokea mmoja wenu anatendwa bila kutarajia.Hivyo kwa mantiki naomba wale wote tuliowahi kupigwa kibuti tupeana kasoro za sababu zetu za kutendwa na nini kifanyike ili tujirekebishe,
Ahsanteni,sasa naomba tuanze kutiririka
 
Naomba nitambue uwepo wa members wote wa ke/me katika suala hili kuntu la kutendwa,itoshe kusema itifaki imezingatiwa.
Moja kwa moja kwenye mada,suala la mahusiano la kimapenzi linapitia katika changamoto nyingi sana.Pamoja na changamoto hizo hakuna maumivu makali yanayouma pale inapotokea mmoja wenu anatendwa bila kutarajia.Hivyo kwa mantiki hii naomba wale wote tuliowahi kupigwa kibuti tupeane kasoro za sababu zetu za kutendwa na nini kifanyike ili tujirekebishe,
Ahsanteni,sasa naomba tuanze kutiririka

NIPO ,na maisha yanaenda
 
Naomba nitambue uwepo wa members wote wa ke/me katika suala hili kuntu la kutendwa,itoshe kusema itifaki imezingatiwa.
Moja kwa moja kwenye mada,suala la mahusiano la kimapenzi linapitia katika changamoto nyingi sana.Pamoja na changamoto hizo hakuna maumivu makali yanayouma pale inapotokea mmoja wenu anatendwa bila kutarajia.Hivyo kwa mantiki hii naomba wale wote tuliowahi kupigwa kibuti tupeane kasoro za sababu zetu za kutendwa na nini kifanyike ili tujirekebishe,
Ahsanteni,sasa naomba tuanze kutiririka
Napokea simu kutoka kwa washikaji."oya sam dem wako washamtia mimba huku",onhoo my God,simple like that
 
mwanaume kupigwa kibuti ni upumbavu!! mwanaume inabidi ujue kusoma alama za nyakati sio katika mambo ya mkwanja tu hata katika mapenzi. Ukiona mwanamke haeleweki unamchinjia baharini mapema kabla kibao hakija kugeukia!!
Point ..ila inategemeana na manzi yenyew maana nyingine huwa zina weka kona nyng kupima ukomavu wa counter part tuuu..,so unatakiwa umkomalie mpaka aseme..yeye.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom