Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,057
- 11,104
Hii ilikuwa kishoju muleba siyoWapo waliokaa mpaka siku tunarudi shule ila wengine wazazi wao waliwaomba waende kwao wakaondoka.
Sent using OPPO Mobile Phone
Form three hiyo na wanangu tumetoroka shule, njian tunakutana na manzi akaomba angalie kitabu nlichoshika, nlivyompa akasema yeye ni mwalimu wa field na kwann tunatoroka turudi wote shule huku yy akitangulia...
EINSTEIN112, Mimi yangu ndefu Sana lakini kufupisha ni kuwa nilipewa suspension o level nikiwa form four ya wiki mbili kisa nasoma tuition nje na shuleni na ilikua shule ya day.
Suspension ya pili nilipewa nikiwa advance kisa nilikuwa mmoja wa waanzisha mgomo,
Na hii nilikula ya wiki 6, na nilipewa barua ya kwenda kuisaini kwa afisa elimu wa mkoa nirudi nayo shule siku suspension ikiisha...
WAJOMBA NIMECHEKA YAANI MMEAFANYA VIBWEKA VYA KUTOSHA SKULI YA KWANGU NI KWAMBA KUNA DEMU NILIKUWA NAFKUZIA KUMBE ANALIWA NA MWL WA NIDHAM NILIMUWINDA TICHA HADI NIKAWAFUMANIA LAIVU,...
Mwaka gani??Mbalizi Sec enzi ya Mwampoma tulikula spa na wana kibao cha kushangaza tulipofika stendi raia wakaomba niende nao home maana hawajui wataambia nini wazazi.
Sent using OPPO Mobile Phone
WAJOMBA NIMECHEKA YAANI MMEAFANYA VIBWEKA VYA KUTOSHA SKULI YA KWANGU NI KWAMBA KUNA DEMU NILIKUWA NAFKUZIA KUMBE ANALIWA NA MWL WA NIDHAM NILIMUWINDA TICHA HADI NIKAWAFUMANIA LAIVU, NDANI YA BONGE DINNING HALL NILIKUWA NAPIGA MSULI PEKE YANGU WATU WALIKUWA WANALIOGOPA JENGO WANASEMA USIKU SIJUI KUNA MAJINI SASA HIYO SIKU KAMA KAWAIDA YANGU NAPIGA MSULI UMEME UKASEPA NIKABAKI HUMO NIKIUSUBIRI YULE TICHA AKAJA NA YULE DEMU WANAKOKOTANA HADI WAKAKWAMIA KWENYE MEZA NILIYOKUA NASOMEA BILA WAO KUGUNDUA KAMA NIPO PALE...
Form three hiyo na wanangu tumetoroka shule, njian tunakutana na manzi akaomba angalie kitabu nlichoshika, nlivyompa akasema yeye ni mwalimu wa field na kwann tunatoroka turudi wote shule huku yy akitangulia...oh tukaona hili soo bahat nzur wakati tunajishaur akatokea mbabe wa shule(damme..sijawahi kuona mtu tukutu kama huyu)
tukamwambia kuna jero hapa katuchukulie kitabu kwa yule manzi kule anayetembea aisee kufumba na kufumbua alienda kwa speed ya umeme kampa kofi ajakaa sawa tama then akachukua kitabu (note: na yy ajui kama yule ni ticha) akaturudshia tukaacha nyoya...
Nakumbuka nilitoroka shule kipindi nipo form four mwezi wa nane hivi, yote yalisababishwa na Rich Dad Poor Dad nikafika home nikaenda kununua hisa na mzazi alikuwa ananisapoti kutoroka kwangu baada ya mda shule kikanuka.
Nilivyojulikana aliniruka balaa msala wote akamuachia maza, Headmaster anamueleza mzee anakuja kunifata home uzuri ni kwamba wanajuana nimepelekwa shule nimepewa suspension ya mwezi mmoja na zaidi nikajikuta nunda nikaacha kila kitu skuli home nikawa sisomi wala nini...
daah umetisha manNakumbuka nilitoroka shule kipindi nipo form four mwezi wa nane hivi, yote yalisababishwa na Rich Dad Poor Dad nikafika home nikaenda kununua hisa na mzazi alikuwa ananisapoti kutoroka kwangu baada ya mda shule kikanuka.
Nilivyojulikana aliniruka balaa msala wote akamuachia maza, Headmaster anamueleza mzee anakuja kunifata home uzuri ni kwamba wanajuana nimepelekwa shule nimepewa suspension ya mwezi mmoja na zaidi nikajikuta nunda nikaacha kila kitu skuli home nikawa sisomi wala nini...
Mimi sio mpole ila ni mtulivu, sins hekaheka. Suspension nilikuwa ya darasa zima haikunilenga mimi moja kwa moja
Aiseeee Dah hii picha imenikumbusha mbali mno.
Hiii story ilitakiwa iwe kwenye uzi pendwaNilipigwa mara 3, form one, form 3, na Form 4 nilipigwa ile suspension isiyo na muda mpaka kikao cha Bodi kikae,
Walikuja kukaa wiki moja kabla ya Necta, nikapiga pepa na kupita hivi,
Uchakataji huu ulinitia hasara sana...
Mm nilikuwa mzee wa kuvuta , mfano tumegunga mwez wa kumi na mbili tunafungua wa kwanza , mm naongeza mmoja mbele. Naingia wapili
Sema nilikuwa nauzuria mapind mwenge.
Nimefika form 6 .Nikaama shule nikaingia shule jirani kukamua ila sikushitukiwa ingawa , wenzangu walipigwa per mm bado nipo hom niliposikia nikaliunga hukohuko hadi susp. ...ikaisha .Niliingia shuleni one week b4 necta
Sent using Jamii Forums mobile app