I mean unapata ufahamu na kujielewa kabisa kuwa hapa nilipo ni ndani ya ulimwengu wa ndoto wala si uhalisia
Unafanya unachotaka, unakwenda unapotaka, pia unadumu ndani ya ndoto hiyo kwa muda mrefu zaidi
Jamani, mliowahi kupata hizo ndoto mlifanyaje fanyaje? Natamani ila nashindwa. Tupeni mbinu basi
Msisahau na namna ya kujitoa ndani ya hizo ndoto. Tunahitaji maujuzi kutoka kwa waliowahi kupitia hii situation na wala sio wasomaji wa kwenye blogs
Nisaidieni mwenzenu
Unafanya unachotaka, unakwenda unapotaka, pia unadumu ndani ya ndoto hiyo kwa muda mrefu zaidi
Jamani, mliowahi kupata hizo ndoto mlifanyaje fanyaje? Natamani ila nashindwa. Tupeni mbinu basi
Msisahau na namna ya kujitoa ndani ya hizo ndoto. Tunahitaji maujuzi kutoka kwa waliowahi kupitia hii situation na wala sio wasomaji wa kwenye blogs
Nisaidieni mwenzenu