666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,688
- 3,816
- Thread starter
- #41
Maumivu yanakuja wakati ambao unaona laki ni pesa nyingi sanaa kumbe, halafu wewe ulikua na milion 10 majuzi tu na leo umebakiwa na elf 30.Huwa nawaonea huruma wazee wastaafu waliofilisika,unakuta alilamba M150.Halafu hazijafika hata miaka miwili zimeisha,kinachofuata n kuongea barabarani.