Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,506
- 1,627
Pole sana mkuu, hii thread yako inanikumbusha ndugu na jamaa waliofilisika, nami kupitia wao nimejifunza vitu vingi sana katika maisha, kwanza nnaamini hakuna ajuaye kesho yake, pili kufilisika haina kesho, tatu usijivune ukiwa navyo(usiwadharau wengine), nne kuwa na nidhamu ya pesa(kimatumizi), tano epuka kukopa kiwango kikubwa cha mkopo na pia usiwe mwepesi kukopesha na n.k