Tuliowahi kukopesha watu pesa na tukazimwa tukutane hapa

Daah mi sikukopesha bwana... Ila nilikuwa na pikipiki boda ... Nikawa nimeenda Kenya one time kwa mshikaji tulipiga naye chuo SAUT .... nilipofika kule nikapata mbishe moja halafu kipato sina... Nikamwambia jamaaa msela tunapiga naye kazi oyaa sukuma hiyo tuku 1.5M nitumie 1.3 M , laki2 mpe maza house ili tupige gap la kodi halafu 100 baki nayo daaah..... Nilitumiwa 1M tu... Oooh mwanangu aliumwa kikaenda kikarudi nitakutoa tu babu ..... Heeee kidogo jamaa kapata uhamisho wa kujiombea ndio nitoleeee aseeee
hahhahahhahhaha mkuu nakuona hapo kwenye avatar ndio unalia hadi leo... pole sana kwa matatizo yako
 
Me niliwahi kopa penzi na sikumlipa sio ufahari ni ujinga ila aliyataka mwenyewe nilivokuta mchafu
 
Aaaah hizi mambo za kukopesha pasua kichwa sana jamaa. Nakumbuka 2007 nilimkopesha jamaa aiseee huezi amini jamaa alinizungusha hatari.

Kipindi hicho kila nikikumbushia alipe napigwa sound, mwisho nikaamua kufanya kitu wanaita "unthinkable" alilipa kwa masikitiko. Dawa ya deni ni kulipa no way
Nipe mbinu mkuu,
Kesho kuna mtu kaniahidi pesa yangu ni mwaka sasa ananizungusha tu.... Ili kesho nikienda nipate mbinu mpya maana uwaga nikienda na hasira sound zinakuwa nyingi napita hivi, sasa sitaki kumuacha sasa... Ulifanyaje?
 
Nipe mbinu mkuu,
Kesho kuna mtu kaniahidi pesa yangu ni mwaka sasa ananizungusha tu.... Ili kesho nikienda nipate mbinu mpya maana uwaga nikienda na hasira sound zinakuwa nyingi napita hivi, sasa sitaki kumuacha sasa... Ulifanyaje?
Nishasema nilichofanya chief, cheki post #59 juu kidogo utaona.
 
Kuna bwana mmoja hivi anagereji yamagari alikuwa mteja wangu sana, akahitaji nimkopeshe elfu 60, nikawa nimemkopesha ilipofika wakati wakulipa akaanza kunizungusha.... Kiukweli alinisumbua sana.

Kuna siku nilimforce anilipe lasivyo sibanduki kijiweni kwake ila alichonijibu kuwa ninaushahidi kuwa namdai? Aiseee roho iliniuma kinoma ila nilichomuuliza2 kwahiyo unamaanisha me sikudai akajibu ndio unidai..... Duh nikasepa zangu kiroho Safi yaani ndio ishazurumiwa hivyo nauteja ukawa umeisha kihivyo ila nilimwaga chozi.

Elfu 60 nihela ndogo sana ila dharau alizonionyesha kunizurumu kibabe kwasababu yeye nimkubwa kwangu nahata vihela pia kanizidi ila2 aliamua kunizurumu kwakujua siwezi mfanya lolote. Nikawaza niende polisi nikajisemea uzembe huu yaani niende polisi wakati kishaniambia ninaushahidi gani kama namdai alafu kingine siwezi kwenda polisi kwahela ndogo kama ile.

Nikalala siku mbili sina raha nawaza nimfanyaje ili nayeye roho imuume au apate hasara.

Chakwanza nikawaza nimvizie usiku nipasue kioo chagari yake ila asijue nani kapasua. Ila hii niliona ningumu kwangu maana naweza tambulika.

Chapili ambacho nilikiwaza naambacho nilikifanya nanikafanikiwa kwaasilimia 100 nikuichoma moto gereji yake pamoja namagari mabovu yaliyomo hapo gereji. Nikachora ramani yangu fresh nakwasababu pale gereji napafahamu vzr. Nikachunguza mlinzi huwa anakaa mara nyingi usiku upande gani nikawa nimepata picha kamili.

Siku yatukio kama kawaida mzee baba mida yamapema sana saa mbili usiku nikaanda zana zangu petrol yakutosha. Kwasababu hiyo gereji ilikuwa nafensi nanyuma yefensi palikuwa nanyumba zawatu namimi ramani yangu ilinionesha natakiwa niruke ukuta kwanyuma ambapo ndio kuna nyumba zawatu, mida saa mbili nilipoenda kuangalia mazingira nilikuta watu wanaoishi kwenye nyumba zanyuma yafensi bado hawajalala so nikapiga chimbo mpaka mida yasaa6 usiku ndio niliponyata nakupalamia ukuta nakumwaga oil maeneo mengi ambayo nirahisi kushika moto nakuambukizana ili usambae haraka. Nikarudi juu yaukuta wafensi nakiberiti changu nikalala kama vile nyoka juu yaukuta nikaripua mambo nikasepa zangu.

Kiukweli moto uliwaka sana nahakuna kilichotoka salama yaani niliteketeza kila kitu maana zima moto walifika ila kwakuchelewa sana. Kesho yake asubuhi ndio habari hiyo maana gereji ilipo namimi napofanyia mishe zangu sio mbali tupo karibu sana so mimi nikawa nimejikausha tuliii. Polisi walipima pima ili kujua chanzo chamoto naikibidi wampate namuhusika ila ndio basi tena mpaka leo hii hakuna kilichoendelea namuhusika nimechili.

Baada yamwezi mmoja toka tukio litokee alinifata nakuniomba msamaha nakunilipa pesa yangu ila niligoma kuichukua nikamwambia me sikudai kama alivyosema mwanzo. Nalile tukio toka litokee anahisi kama ndio mwanzo wayeye kufirisika maana hata lile eneo alifukuzwa nahata wateja wengi wamemuhama.

Hii safi sana,
 
Jamaa kaja. Kuna dili twende tukapge faida tukipata na uhakika tungawana 50/50.
Dili kwisha anajidai anaharaka. Sikumpgia simu wala nini.

Baada ya wiki 5 mbele, alikuwa anadalalia uuzaji wa gari. Mnunuzi muhaya anataka kulipa kwa benk na yeye account namba yake kasahau, mie nkamwambia si ufanye kesho? Mnunuzi muhaya akasema yani wote wawili hamna account, nkamjibu andika yangu.
Wakati anasema jina nani na kiasi nkajifanya nafungua wallet huku nasoma kwa uhakika, nakutiksa kichwa.
Kesho yake nkachukua 100% ya hela yangu na gharama ya kutunza hela kuanzia usiku sa 5 mpaka asubuhi sa 5.
 
Kuna jamaa nimemkopesha laki 3 toka 2015, hadi leo hajanipa na tukionana anajifanya kama nothing happened. Yaani marafiki ni shida ukiwanyima wanalalamika dunia nzima kuwa wewe ni mbaya. Ukimkopesha umetoa sadaka
 
Mimi nilimkopesha jamaa yangu
Akawa halipi Nasi nilimuendea kwa kasi kwake
Kila mara kila siku ikiwa ni kero Sana kwake
Siku moja akaniambia nikulipe kwa njia nyingine
Sikujua njia gnyingine nilikubali kusikia hiyo njia
Tulitoka nje ya Nyumbani kwake ili aaaniambie
Duuh jamaa aniambia nimle mkewe tumalizane Deni
Niliamua kusamehe tu hela Hana na njia aliyotumia sikuikubali
Nimesamehe
 
Mimi nilimkopesha jamaa yangu
Akawa halipi Nasi nilimuendea kwa kasi kwake
Kila mara kila siku ikiwa ni kero Sana kwake
Siku moja akaniambia nikulipe kwa njia nyingine
Sikujua njia gnyingine nilikubali kusikia hiyo njia
Tulitoka nje ya Nyumbani kwake ili aaaniambie
Duuh jamaa aniambia nimle mkewe tumalizane Deni
Niliamua kusamehe tu hela Hana na njia aliyotumia sikuikubali
Nimesamehe
mkewe analipa???
 
Mimi nilimkopesha jamaa yangu
Akawa halipi Nasi nilimuendea kwa kasi kwake
Kila mara kila siku ikiwa ni kero Sana kwake
Siku moja akaniambia nikulipe kwa njia nyingine
Sikujua njia gnyingine nilikubali kusikia hiyo njia
Tulitoka nje ya Nyumbani kwake ili aaaniambie
Duuh jamaa aniambia nimle mkewe tumalizane Deni
Niliamua kusamehe tu hela Hana na njia aliyotumia sikuikubali
Nimesamehe
Hii ni hadithi ama
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom