Jay47
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 294
- 284
Undava undavuKuna bwana mmoja hivi anagereji yamagari alikuwa mteja wangu sana, akahitaji nimkopeshe elfu 60, nikawa nimemkopesha ilipofika wakati wakulipa akaanza kunizungusha.... Kiukweli alinisumbua sana.
Kuna siku nilimforce anilipe lasivyo sibanduki kijiweni kwake ila alichonijibu kuwa ninaushahidi kuwa namdai? Aiseee roho iliniuma kinoma ila nilichomuuliza2 kwahiyo unamaanisha me sikudai akajibu ndio unidai..... Duh nikasepa zangu kiroho Safi yaani ndio ishazurumiwa hivyo nauteja ukawa umeisha kihivyo ila nilimwaga chozi.
Elfu 60 nihela ndogo sana ila dharau alizonionyesha kunizurumu kibabe kwasababu yeye nimkubwa kwangu nahata vihela pia kanizidi ila2 aliamua kunizurumu kwakujua siwezi mfanya lolote. Nikawaza niende polisi nikajisemea uzembe huu yaani niende polisi wakati kishaniambia ninaushahidi gani kama namdai alafu kingine siwezi kwenda polisi kwahela ndogo kama ile.
Nikalala siku mbili sina raha nawaza nimfanyaje ili nayeye roho imuume au apate hasara.
Chakwanza nikawaza nimvizie usiku nipasue kioo chagari yake ila asijue nani kapasua. Ila hii niliona ningumu kwangu maana naweza tambulika.
Chapili ambacho nilikiwaza naambacho nilikifanya nanikafanikiwa kwaasilimia 100 nikuichoma moto gereji yake pamoja namagari mabovu yaliyomo hapo gereji. Nikachora ramani yangu fresh nakwasababu pale gereji napafahamu vzr. Nikachunguza mlinzi huwa anakaa mara nyingi usiku upande gani nikawa nimepata picha kamili.
Siku yatukio kama kawaida mzee baba mida yamapema sana saa mbili usiku nikaanda zana zangu petrol yakutosha. Kwasababu hiyo gereji ilikuwa nafensi nanyuma yefensi palikuwa nanyumba zawatu namimi ramani yangu ilinionesha natakiwa niruke ukuta kwanyuma ambapo ndio kuna nyumba zawatu, mida saa mbili nilipoenda kuangalia mazingira nilikuta watu wanaoishi kwenye nyumba zanyuma yafensi bado hawajalala so nikapiga chimbo mpaka mida yasaa6 usiku ndio niliponyata nakupalamia ukuta nakumwaga oil maeneo mengi ambayo nirahisi kushika moto nakuambukizana ili usambae haraka. Nikarudi juu yaukuta wafensi nakiberiti changu nikalala kama vile nyoka juu yaukuta nikaripua mambo nikasepa zangu.
Kiukweli moto uliwaka sana nahakuna kilichotoka salama yaani niliteketeza kila kitu maana zima moto walifika ila kwakuchelewa sana. Kesho yake asubuhi ndio habari hiyo maana gereji ilipo namimi napofanyia mishe zangu sio mbali tupo karibu sana so mimi nikawa nimejikausha tuliii. Polisi walipima pima ili kujua chanzo chamoto naikibidi wampate namuhusika ila ndio basi tena mpaka leo hii hakuna kilichoendelea namuhusika nimechili.
Baada yamwezi mmoja toka tukio litokee alinifata nakuniomba msamaha nakunilipa pesa yangu ila niligoma kuichukua nikamwambia me sikudai kama alivyosema mwanzo. Nalile tukio toka litokee anahisi kama ndio mwanzo wayeye kufirisika maana hata lile eneo alifukuzwa nahata wateja wengi wamemuhama.