Tuliowahi kukopesha watu pesa na tukazimwa tukutane hapa

Kuna bwana mmoja hivi anagereji yamagari alikuwa mteja wangu sana, akahitaji nimkopeshe elfu 60, nikawa nimemkopesha ilipofika wakati wakulipa akaanza kunizungusha.... Kiukweli alinisumbua sana.

Kuna siku nilimforce anilipe lasivyo sibanduki kijiweni kwake ila alichonijibu kuwa ninaushahidi kuwa namdai? Aiseee roho iliniuma kinoma ila nilichomuuliza2 kwahiyo unamaanisha me sikudai akajibu ndio unidai..... Duh nikasepa zangu kiroho Safi yaani ndio ishazurumiwa hivyo nauteja ukawa umeisha kihivyo ila nilimwaga chozi.

Elfu 60 nihela ndogo sana ila dharau alizonionyesha kunizurumu kibabe kwasababu yeye nimkubwa kwangu nahata vihela pia kanizidi ila2 aliamua kunizurumu kwakujua siwezi mfanya lolote. Nikawaza niende polisi nikajisemea uzembe huu yaani niende polisi wakati kishaniambia ninaushahidi gani kama namdai alafu kingine siwezi kwenda polisi kwahela ndogo kama ile.

Nikalala siku mbili sina raha nawaza nimfanyaje ili nayeye roho imuume au apate hasara.

Chakwanza nikawaza nimvizie usiku nipasue kioo chagari yake ila asijue nani kapasua. Ila hii niliona ningumu kwangu maana naweza tambulika.

Chapili ambacho nilikiwaza naambacho nilikifanya nanikafanikiwa kwaasilimia 100 nikuichoma moto gereji yake pamoja namagari mabovu yaliyomo hapo gereji. Nikachora ramani yangu fresh nakwasababu pale gereji napafahamu vzr. Nikachunguza mlinzi huwa anakaa mara nyingi usiku upande gani nikawa nimepata picha kamili.

Siku yatukio kama kawaida mzee baba mida yamapema sana saa mbili usiku nikaanda zana zangu petrol yakutosha. Kwasababu hiyo gereji ilikuwa nafensi nanyuma yefensi palikuwa nanyumba zawatu namimi ramani yangu ilinionesha natakiwa niruke ukuta kwanyuma ambapo ndio kuna nyumba zawatu, mida saa mbili nilipoenda kuangalia mazingira nilikuta watu wanaoishi kwenye nyumba zanyuma yafensi bado hawajalala so nikapiga chimbo mpaka mida yasaa6 usiku ndio niliponyata nakupalamia ukuta nakumwaga oil maeneo mengi ambayo nirahisi kushika moto nakuambukizana ili usambae haraka. Nikarudi juu yaukuta wafensi nakiberiti changu nikalala kama vile nyoka juu yaukuta nikaripua mambo nikasepa zangu.

Kiukweli moto uliwaka sana nahakuna kilichotoka salama yaani niliteketeza kila kitu maana zima moto walifika ila kwakuchelewa sana. Kesho yake asubuhi ndio habari hiyo maana gereji ilipo namimi napofanyia mishe zangu sio mbali tupo karibu sana so mimi nikawa nimejikausha tuliii. Polisi walipima pima ili kujua chanzo chamoto naikibidi wampate namuhusika ila ndio basi tena mpaka leo hii hakuna kilichoendelea namuhusika nimechili.

Baada yamwezi mmoja toka tukio litokee alinifata nakuniomba msamaha nakunilipa pesa yangu ila niligoma kuichukua nikamwambia me sikudai kama alivyosema mwanzo. Nalile tukio toka litokee anahisi kama ndio mwanzo wayeye kufirisika maana hata lile eneo alifukuzwa nahata wateja wengi wamemuhama.
Undava undavu
 
Aaha hapo sawaa...nkasema hio hasara si mzee wa watu angefungwaa!! Sema nae alikuwa mkorofi unamdai alafu anajibu shit
Acha mkuu jamaa nindez sana maana nilichukia sana mpaka ikafikia hatua nikasema nailipua gereji naendapo nikifahamika basi nipo tayari kufungwa ila lazima nayeye aonje faida yadharau zake
 
Kuna bwana mmoja hivi anagereji yamagari alikuwa mteja wangu sana, akahitaji nimkopeshe elfu 60, nikawa nimemkopesha ilipofika wakati wakulipa akaanza kunizungusha.... Kiukweli alinisumbua sana.

Kuna siku nilimforce anilipe lasivyo sibanduki kijiweni kwake ila alichonijibu kuwa ninaushahidi kuwa namdai? Aiseee roho iliniuma kinoma ila nilichomuuliza2 kwahiyo unamaanisha me sikudai akajibu ndio unidai..... Duh nikasepa zangu kiroho Safi yaani ndio ishazurumiwa hivyo nauteja ukawa umeisha kihivyo ila nilimwaga chozi.

Elfu 60 nihela ndogo sana ila dharau alizonionyesha kunizurumu kibabe kwasababu yeye nimkubwa kwangu nahata vihela pia kanizidi ila2 aliamua kunizurumu kwakujua siwezi mfanya lolote. Nikawaza niende polisi nikajisemea uzembe huu yaani niende polisi wakati kishaniambia ninaushahidi gani kama namdai alafu kingine siwezi kwenda polisi kwahela ndogo kama ile.

Nikalala siku mbili sina raha nawaza nimfanyaje ili nayeye roho imuume au apate hasara.

Chakwanza nikawaza nimvizie usiku nipasue kioo chagari yake ila asijue nani kapasua. Ila hii niliona ningumu kwangu maana naweza tambulika.

Chapili ambacho nilikiwaza naambacho nilikifanya nanikafanikiwa kwaasilimia 100 nikuichoma moto gereji yake pamoja namagari mabovu yaliyomo hapo gereji. Nikachora ramani yangu fresh nakwasababu pale gereji napafahamu vzr. Nikachunguza mlinzi huwa anakaa mara nyingi usiku upande gani nikawa nimepata picha kamili.

Siku yatukio kama kawaida mzee baba mida yamapema sana saa mbili usiku nikaanda zana zangu petrol yakutosha. Kwasababu hiyo gereji ilikuwa nafensi nanyuma yefensi palikuwa nanyumba zawatu namimi ramani yangu ilinionesha natakiwa niruke ukuta kwanyuma ambapo ndio kuna nyumba zawatu, mida saa mbili nilipoenda kuangalia mazingira nilikuta watu wanaoishi kwenye nyumba zanyuma yafensi bado hawajalala so nikapiga chimbo mpaka mida yasaa6 usiku ndio niliponyata nakupalamia ukuta nakumwaga oil maeneo mengi ambayo nirahisi kushika moto nakuambukizana ili usambae haraka. Nikarudi juu yaukuta wafensi nakiberiti changu nikalala kama vile nyoka juu yaukuta nikaripua mambo nikasepa zangu.

Kiukweli moto uliwaka sana nahakuna kilichotoka salama yaani niliteketeza kila kitu maana zima moto walifika ila kwakuchelewa sana. Kesho yake asubuhi ndio habari hiyo maana gereji ilipo namimi napofanyia mishe zangu sio mbali tupo karibu sana so mimi nikawa nimejikausha tuliii. Polisi walipima pima ili kujua chanzo chamoto naikibidi wampate namuhusika ila ndio basi tena mpaka leo hii hakuna kilichoendelea namuhusika nimechili.

Baada yamwezi mmoja toka tukio litokee alinifata nakuniomba msamaha nakunilipa pesa yangu ila niligoma kuichukua nikamwambia me sikudai kama alivyosema mwanzo. Nalile tukio toka litokee anahisi kama ndio mwanzo wayeye kufirisika maana hata lile eneo alifukuzwa nahata wateja wengi wamemuhama.
We jamaa komandoo safi sana
 
Mimi nilimkopesha mshikaji wangu laki1 alafu kila nikimuona sound. Kuna Siku nikafumiana nae anananua simu ya laki 3 dukani, nilichofanya baada ya kumsalimu nikaisifia ile simu nzuri sana, alafu nikamuomba niicheki. Nilichotokea ni kusepa nayo alinifuata kwangu baada ya nusu saa na pesa yangu yote huku kanuna.
Zingatia deni lilikuwa limefikisha mwaka na miezi 4
 
Ulichomfanyia awezi kusahau yanii ni fundisho na matapeli wengine wanaosoma huu uzii
Mkuu nilifikia hatua mbaya nikajiambia hili tukio nafanya mwenyewe nanisiri yangu naendapo kama nikigunduliwa basi nifungwe ila kamwe nisingekubali kama nimimi
 
Mkuu nilifikia hatua mbaya nikajiambia hili tukio nafanya mwenyewe nanisiri yangu naendapo kama nikigunduliwa basi nifungwe ila kamwe nisingekubali kama nimimi
yeah kwenye mission za hatari kama hizi hutakiwi kumshirikisha mtu
 
Mbona jamaa aliishajua hadi akajiludi kwenda kulipa deni
Yap alinihisia ila hakujua kama mimi mwenyewe ndio niliingia mchezoni yeye alikuwa anahisi labda nilituma mateja ndiomana hata chakueleza hakuwa nacho
 
Ningependa kufahamishwa hata kwa ufupi hicho ulichofanya.
Huyu bwana mkubwa alikua na biashara zake safi tu sasa nilichofanya ile siku nilikwenda straight kwenye moja ya biashara zake ni ghala la kuhifadhi nafaka.

Sikumkuta yeye nilikuta kijana wake wake wa kazi ambae ananifaham a-z, nikachukua mchele ule super nikapakia kwenye canter gunia kama kumi na moja hivi ambazo thamani yake ilinizidi kidogo pesa niliyomkopesha.

Huku na kule jamaa akaambiwa kua nilifika ofisini kwake kapiga simu yangu kama mara nne sipokei wala nini akatuma text kuuliza nilipo tuyamalize sikujibu wala nini.

Basi jamaa kuona hapati majibu yeyote kesho yake asubuhi sana kadamkia kwenye mishe zangu, ooohh unajua ulichonifanyia sio kizuri yani kaongea mengi sana. Jibu langu lilikua moja na nililitoa nikiwa very aggresive nilimuuliza umekuja na pesa yangu au maneno?

Jamaa alilipa pesa na gharama ya zaida juu hakuamini nilichomfanyia, nasema dawa ya deni ni kulipa sio kubadilisha njia ni hayo tu wakuu.
 
mimi hapa nadai watu wanne, kila deni sio chini ya 50,000 na sioni dalili za kulipwa ila walivyoomba waliniita majina yote sijui brother, ndugu, nk... ila sahivi naona wananilia bati, ila sio mbaya ukishamkopesha mtu af akazingua kulipa hapo ashajifukuzisha mwenyewe
 
Back
Top Bottom