Tuliowahi kukamatwa ugoni tukutane hapa

Just for experience na majuto kama yapo.

Mimi sikudakwa ila niliponea chupchup,jamaa alichelewa kama sekunde 50 hivi. Ogopa sana mwanamke mwenye gari.

Huyu dada alikuwa mchepuko kwa takribani mwaka hivi. Alikuwa huru sana muda wowote yupo available na mimi kuona hivyo nikajiongeza kwamba atakuwa single mother. Dada mzuri na mtoto mmoja. Kumbe alikuwa mke wa mtu mumewe akiishi mbali. Hakuwahi kuniambia.

Basi kumbe siku hiyo mumewe siku hiyo alikuja kushiriki pamoja sherehe ya harusi ya rafiki wa familia.

Yule dada alikuwa amekolea mpaka nikawa naogopa,huyu atakuja kuniharibia ndoa yangu. Basi bwana siku hiyo ya harusi akaniambia ameni miss kinyama anataka hata nimkumbatie tu moyo wake utulie (wanawake ni shida).

Saa tano usiku akanitext nitoke nje yupo na bajaji. Haikuwa kawaida yake kuja na bajaji mara zote hutumia gari ananipakia tunabaki humu hata masaa manne. Kumbe gari alimuachia mumewe kwenye harusi akamdanganya amechoka sana atangulie.

Alipofika nikachezwa machale,nikamwambia just a minute sijisikii vizuri,akaelewa nikaingia kwenye bajaji nikampiga kiss dakika 1 akaondoka. Baada ya dakika 2 gari yake ikapita pale tulipokuwa ikapaki kidogo na kuondoka. Kulikuwa na watu wengi maana ni eneo la lodge na bar.

Nikahisi hali ya hatari,baadae ile gari ikarudi ikakaa kama nusu saa hivi mimi nimebana sehemu naicheki.

Baada ya mtiti kutulia anakuja kunipa mkanda mzima. Kumbe siku hiyo aliyefuata nyuma ni mumewe akimfuatilia. Hata gari iliporudi walikuwa wote,walirudi baada ya kula kichapo akiamriwa ataje alikuwa na nani kwenye bajaji. Akanisimulia mumewe ni mtu wa maudhi sana,walivyokuwa kwenye harusi alimuudhi ikabidi aje kupoza machungu kwangu. Kwenye Mapenzi mazito kuna shetani,shetani wa kuwatia upofu

Kwa kweli wanawake ni majasiri sana. Tukae nao kwa akili.

Mliowahi kudakwa ugoni kazi kwenu kutiririka
Ameshare story ili tujifunze na ndo mana akasema na majuto kama yapo. Tlmsijifanye watakatifu wkt mnavua na kuvuliwa pichu daily uko nje ya mahusiano yenu, I see nothing wrong kwa hii post, pole mkuu Ila next tm kus makini
 
Mm nikiendaga lodge na demu(regardless Ni mke wa mtu au la) naendaga na vitu vifuatavyo.

1 kisu Cha kukunja
2 bisibisi
3 lighter (naiset iwake Moto mkubwa Sana)


Ukija vibaya unaacha uhai guest/lodge
Duh we jeshi aseeee
 
Mi nilidakwa live , nikawa mpole kabisa , jamaa akabugi maana mwanamke waliachana mwaka mzima akaja kunivizia uck namla , akataka fidia ya milion 1.3 mzee nikakubali kubali kuandika ...... Nikamwambia asubuhi nitampa ... Pamekucha asubuhi nikaenda mahakamani nikachonga mchongo mwanamke akapata TARAKA halafu ikarudishwa tarehe nyuma ... Nikamyokea jamaa simu sikulipi hela fanya vyovyote akakimbilia kufumgua kesi ya kudai fidia ya uogoni .,. Mbn nilimshinda mahakamani akaonekana alikuja kufanya fujo na alidharirisha na mke akawa kamkosa , na vitu wakagawana rasmi na yule mwanamke !! Nilipanga kumuowa na niliishi naye ila hatukudumu , kwa sasa kaolewa tena na mwanaume mwingine ila nilichojifunza usipokuwa jasiri kwenye ugoni lazima upakwe mafuta matakoni ... Ni heri uahidi uongo halafu mtaenda mahakamani mtayamaliza

sent from HUAWEI
Ujakutana na Mamafia ww wamekukodia mabaunsa
 
Siku hiyo kidume cha mbegu nilikuwa nakula mzigo wa mke wa mtu kwake, Mumewe alikuwa Safari. Baada ya kumaliza kula mzigo mzee nikawa nimejilaza pale kitandani huku mikono yangu nikiwa nimeiweka kwenye kakitambi kangu, nikiangalia feni juu, lililokuwa linanipa upepo. Mpango ulikuwa ni kulala palepale maana ilikuwa ni siku ya tatu nalala pale, mumewe ni dereva wa magari makubwa na alikuwa safarini.

Mke wa Mtu Akiwa kaniwekea mkono kifuani ghafla tukasikia mlio mzito kama bomu!! Mlango wa getini ulipigwa na kitu kizito nahisi ilikuwa ni jiwe fatuma. tukahamaki maana matusi yalianza kuvurumishwa moja kwa moja kutoka getini kuja upande wetu, ndani. mke wa mtu akaniambia kuwa ile ni sauti ya mumewe, ila sauti zilikuwa nyingi yaani kilikuwa ni kikosi cha wanaume, wanawake watoto wazee.

Bahati nzuri lile geti lilikuwa imara muda ambao mimi nilikuwa nafanya majadiliano na mungu wangu kujua nanusurikaje au ndo basi tena narudi kwenye ghetto la kudumu. Nikatoka nje kwa mlango mwingine wa dining ila nyumba ilikuwa na Wigo na vyupa, hivyo kuruka wigo ilikuwa haiwezekani!. kama mnavyojua viwanja kwenye miji mingi hapa tz havijanyooka yaani havina square, mzee nikawa nimejificha kwenye mti wa mlimao ambao ulikuwa nyuma kwenye pembe ya nyumba ile ile, Wale jamaa baada ya kuingia ndani hawakunikuta hivyo wakajua lazima nipo mle mle ndani nimejificha mahali.

Nikiwa juu ya ule mlimao nikasikia kama minong'ono ikisema "yupo hapa hapa huyu hapa hapa" Kidume kuangalia hivi chini nikaona vivuli vinavyoonekana vinakuja upande niliopo, Vivuli vina misuli ya kubeba vyuma, kivuli kimoja kimebeba rungu la mchezo wa baseball, kingine mnyororo, kingine kimepanua mikono kama mzimu vikinyata kuja upande wangu.

Nilipandwa na hofu kuu ila nikajipa ujasiri wa kupambana kiume, nilishika vizuri shati niliyokuwa nimeishika mikononi, kisha kama chui niliruka kutoka pale kwenye mti kuelekea kwenye wigo wa chupa uliokuwa nyuma yangu nikatumia ile shati kama kinga ya vyupa mikononi na kurukia upande wa pili ambako kulikuwa na nyumba nyingine ya watu, nikatoka nduki nikipita kibarazani kuelekea gizani nikiwa na majeraha kadhaa mwilini ya chupa, kwenye ile nyumba hakukua na mtu yoyote ndani, majirani wengi wa karibu walikuwa upande wa ile nyumba niliyotoka kumkamata mgoni. Nilikimbia kama swala baada ya kufika getto nikabeba begi langu na Radio cassete yangu kisha nikatokomea kusikojulikana hadi leo sijarudi mji ule..
Repost from America ninja
 
Siku hiyo kidume cha mbegu nilikuwa nakula mzigo wa mke wa mtu kwake, Mumewe alikuwa Safari. Baada ya kumaliza kula mzigo mzee nikawa nimejilaza pale kitandani huku mikono yangu nikiwa nimeiweka kwenye kakitambi kangu, nikiangalia feni juu, lililokuwa linanipa upepo. Mpango ulikuwa ni kulala palepale maana ilikuwa ni siku ya tatu nalala pale, mumewe ni dereva wa magari makubwa na alikuwa safarini.

Mke wa Mtu Akiwa kaniwekea mkono kifuani ghafla tukasikia mlio mzito kama bomu!! Mlango wa getini ulipigwa na kitu kizito nahisi ilikuwa ni jiwe fatuma. tukahamaki maana matusi yalianza kuvurumishwa moja kwa moja kutoka getini kuja upande wetu, ndani. mke wa mtu akaniambia kuwa ile ni sauti ya mumewe, ila sauti zilikuwa nyingi yaani kilikuwa ni kikosi cha wanaume, wanawake watoto wazee.

Bahati nzuri lile geti lilikuwa imara muda ambao mimi nilikuwa nafanya majadiliano na mungu wangu kujua nanusurikaje au ndo basi tena narudi kwenye ghetto la kudumu. Nikatoka nje kwa mlango mwingine wa dining ila nyumba ilikuwa na Wigo na vyupa, hivyo kuruka wigo ilikuwa haiwezekani!. kama mnavyojua viwanja kwenye miji mingi hapa tz havijanyooka yaani havina square, mzee nikawa nimejificha kwenye mti wa mlimao ambao ulikuwa nyuma kwenye pembe ya nyumba ile ile, Wale jamaa baada ya kuingia ndani hawakunikuta hivyo wakajua lazima nipo mle mle ndani nimejificha mahali.

Nikiwa juu ya ule mlimao nikasikia kama minong'ono ikisema "yupo hapa hapa huyu hapa hapa" Kidume kuangalia hivi chini nikaona vivuli vinavyoonekana vinakuja upande niliopo, Vivuli vina misuli ya kubeba vyuma, kivuli kimoja kimebeba rungu la mchezo wa baseball, kingine mnyororo, kingine kimepanua mikono kama mzimu vikinyata kuja upande wangu.

Nilipandwa na hofu kuu ila nikajipa ujasiri wa kupambana kiume, nilishika vizuri shati niliyokuwa nimeishika mikononi, kisha kama chui niliruka kutoka pale kwenye mti kuelekea kwenye wigo wa chupa uliokuwa nyuma yangu nikatumia ile shati kama kinga ya vyupa mikononi na kurukia upande wa pili ambako kulikuwa na nyumba nyingine ya watu, nikatoka nduki nikipita kibarazani kuelekea gizani nikiwa na majeraha kadhaa mwilini ya chupa, kwenye ile nyumba hakukua na mtu yoyote ndani, majirani wengi wa karibu walikuwa upande wa ile nyumba niliyotoka kumkamata mgoni. Nilikimbia kama swala baada ya kufika getto nikabeba begi langu na Radio cassete yangu kisha nikatokomea kusikojulikana hadi leo sijarudi mji ule..
Repost from America ninja
uzinzi unatesa mno watu hivi unaendaje kuchepuka kwenye nyumba ya mwanaume mwenzakohaki wangekukamata ungekufa
 
Daah hii inanikumbusha mbali kipindi hicho nafukuzia kitoto fulani kizurikizuri cha sekondari. Dogo tulichat vizuri tu mchana akanipanga niende kwao siku hiyo jioni.

Huku na huku mzee kama kawa ile jioni nikajivuta hadi maskani kwa yule mtoto ilikuwa kama saa mbili hivi usiku wa kigiza. Yey alikuwa anaishi na wazee wake. Nimefika nacheki simuoni yule mtoto mzee nikaamua kubana kwenye upeno wao hadi kieleweke.

Baridi linapiga si kawaida hlf hamna dalili ya mtoto kutokea...daah ama kweli wanaume tumeumbiwa mateso. Nmekaa pale mara nikakaona kadogo kake yule manzi nkakaita kakaja kule gizani nkakaagiza kamwite dadake. Kakakubali kakatoka mbio kuingia ndani kwao. Mzee nikajua yes mambo yamenyooka....Sasa bwana kilichofuata ndo kinafurahisha.

Nimengoja kama dakika 6 au 7 hivi nikaona kivuli kikubwa kinakuja upande huku niliko (upande mwingine kulikuwa na mwanga) mzee nikaanza kujiuliza maswali kimoyomoyo kama anayekuja ni yule nayemngoja au ni mtu mwngine.

Nakuja kushtuka kumbe alikuwa ni baba kama sio babu wa yule binti kaja na panga la maana akaliinyoosha mbele yangu....daah aiseee sijawahi kutoka mbio kama siku ile ila kilichonisaidia ni ile giza hlf yule mzee alikuwa pekeeake hakuwa na majanki apo karibu, mzee nikajitoma kwene uchochoro uliokuwa hapo karibu nikatokezea mtaa wa tatu nikawa nshampoteza yule mzee na lile giza sikumwona tena akinifata. Toka siku ile hadi leo navoandika hapa sijawahi kupita mitaa ile wala kuonana na yule mrembo tena.
 
Back
Top Bottom