mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,666
- 3,453
Hizo sio Jela zinaitwa Camp sizani Kama Bado zipo miaka ya nyuma ilikuwepo moja huko Mwanza wilaya ya sengerema unakuta Askari wawili na wafungwa 10 tu maisha yanaenda!!!Kuna jela ziko friendly sana Tanzania zina wafungwa watano, saba au hata wawili na zingine hazina kabisa.
Na wafungwa wake wana namba ndogondogo tu.