Tuliowahi kukaa gerezani tupeane uzoefu wa mateso, msoto na vimbwanga

ACHENI IITWE MAGEREZA ISIKIENI TU KWENYE MARADIO NA ISOMENI KWENYE MAGAZETI ILA USIOMBE KUINGIA.

Ilikua kama utani bwana niliingia na kesi 1 hivi,nikajua nitatoka kesho kutwa maana si unajua wazazi maisha si haba,ndugu wako njema halafu nilidakwa mfukoni nikiwa na kama 1m alafu kilichonipa moyo ni GEREZANI ni mkoa huo huo na nyumbani kwetu so nikajua hata iweje mimi ndani simalizi 24hrs ntakua Nshatoka.

Utani utani masaa 24 yakaisha,wiki ikaisha, mara mwezi ukakata Maisha yakaanza hapo nipo gerezani kama MAHABUSU naendelea kwenda mahakamani na kurudishwa,taarifa zikafika kwa ndugu,wazazi,marafiki,wanafunzi wenzangu chuo kizima wakajua LAKINI nilichoambulia ni kuja kuonwa VISITORS DAY j.mosi na j.pili nahiyo ni kwa miezi ya mwanzo tu ambayo badae walikata mguu nikawa naishi kibishi.

Ki ukweli maisha yyake ni mabaya na hatari sana nakumbuka day 1 naingia Nilinyolewa AFRO langu nikawa paraaaaa nikaona fresh tu,usiku wakati wakulala kuna CELL ya RECEPTION/MAPOKEZI huko ndio wageni wote lazima mpite siku ya kwanza kwa ajili ya kufundishwa sheria za JELA na jinsi ya kuishi JELA..na sharti lao ni kila unachoambiwa unatakiwa ujibu NDIO BWANA MKUBWA

wakati wakufundishwa sheria sheria kuna muda nikaulizwa swali nikajibu NDIO
ALITOKEA nyapara mmoja sijui alitokea wapi alikua mbavu vibaya mno alafu alikua anaharufu ya kilevi Alinizaba KOFI moja hatari sana niliskia sikio linalia ng'wiiiiiiiiiiiii kisha akaniuliza tena swali...Nilijibu NDIO BWANA MKUBWAAAAAAAAA. (akasema safi sana)

Baada ya kujua sheria ukafika muda wakulala,style ya kulala inaitwa MCHONGOMA EEEh bwana eeeeh mfano wa mchongoma wenyewe kwa msio jua ni JINSI biskuti zinavyopangwa kwenye kibox chake halafu ni kwa ubavu mnalala basi nikaambiwa haya lala hapa nikapangwa na Jamaa mmoja ananuka,mchafu,ana damu raia walimpiga huko nnje yani full Kinyaa ila siku na jinsi nilijibanza.(kusema ukweli first day hadi week inakata sikuweza kulala) nilikua nakaa macho then tukiamka asubuhi naenda kulala nnje sakafuni maana mkitoka ndani hamna mtu anaebaki wote mnaenda MESSi.

basi asubuhi palivyOkucha siku ya kwanza Wageni wote tukaitwa kwa bwana jela Kuandikisha URITHI..hapa bwana sikua najua urithi ni nini? mimi nikawa najiuliza URITHI gani mimi naenda kuandikisha wakati sina nyumba,gari,wala baiskeli? basi tukaenda kwa bwana jela Kumbe bwana urithi unaoongelewa ni MWILI WAKO UKIFARIKI AKABIDHIWE NANI?? basi nikasema nikaulizwa kabila,elimu,nk nk. Kisha tukatoka.

Akili yangu inawaza sasa nimeandikishwa urithi ina mana humu ndani kufa ni muda wowote? asee nilikua na maswali mengi sana...Baada ya kutoka kwa bwana jela Wageni tukaitwa woteee KWENDA kuchambua marage,wakati tunachambua marage alikuja kiherehere (kiherehere ni cheo kama ilivyo unyapara) akatupoint watu kama 6 hivi kwa ajili ya kwenda kudeki mtaro ule mtaro ambao watu wanaswakia huko,wanatema makohozi,wanatema mate huo mtaro kwa jina lingine kule wanauita kile kiungo cha hawa wadada zetu kinachotumika sana kama TUSI (Ku....) haya tukapewa madekio tukadumbukizwa jaman jaman jaman acheni kabsaaaaa sio kwa kinyaaa kile nakumbuka siku ya kwanza nili tapika.

Basi tukadeki badae kazi zingine za kawaida zikaja KWA ufupi wageni mlioingia JANA siku ya leo huwa mtafanya kazi hadi mkione cha mtema kuniiiii..pona yenu ni wageni wataokuja LEO,maisha yaliendelea na nikiwa naendelea kwenda mahakamani,SIKU MOJA Nikiwa magereza Nikaumwa sana sana ikafikia hatua ya kulazwa basi ikabidi nipelekwe hospitali kulazwa na askari wa magereza so nikawa natibiwa kule nimepgwa dripu huku nina pingu yangu mkononi, askari wanabadilishana zamu tu...nikaendelea kukaa hospitali kama siku 3 siku ya nne kuamka nilikua mzima kabisa kabisa.

Sasa wazo la kutoroka likanijia nikasema leo iwe iwavyo sirudi magereza,,,,nakumbuka hiyo siku nilijitapisha nilijitapisha uongo,nikawa naomba kwenda choooni wakinipeleka wakati wakurudi Najidondosha najifanya nimezimia wananibeba nawaskia wanasema (huyu bado anaumwa sana sana) basi kuna muda nilijizimisha uongo wakanieka kitandani askari akasahau nifunga PINGU...nikawa nimejifanya nimelala sasa nkasubiri usiku uingie kwa kua wodini hospitali taa hazizimwi usiku nikasema usiku ukifika leo naamsha.

Usiku ukafika akapangwa zamu askari mmoja hivi mlokole mlokole nikamuita nikamwomba anipeleke chooni Akanipeleka akaniacha NIKAINGIA nikajifungia ndani..nikapanda juu ya ndoooo nikatokea dirishani NDUKIIIIIIIIIIII....mzeee nilikimbia nikafanikiwa kutoka nnje ya hospitali...Sina hata sh kumi mfukoni nikaita boda boda Nikamwambia nipeleke sehemu flani...Akawasha chombo akanipeleka kufika yale maeneo nikamwambia nisubiri nichukue hela nije tuondoke jamaa akawa ananisubiri pale nnje Eeeh bwana niliingia njia moja nikatokea mtaa wapili NDUKIIIIIIIIII....

Sasa nilivyo mjinga mjinga wakutupa Unakumbuka nilisema mwanzo gereza lipo mkoa ambao ndio nyumbani so usiku mida ya saa nane hivi nikaanza kujirudisha nyumbani mdogo mdogo nikiamini hamna atakae niona,kumbe wakati huo narudi nyumbani Kule hospitali walishajua nimetoroka na kwakua mshua wangu ni famous Walishajua huyu ng'ombe lazima karudi kwao,askari kama 20 hivi waliokua off wakatumwa home wakaulizia hadi wakafika..

Kufika wakamkuta bi mkubwa akawambia Huyu mtu hayupo huku wala hajafika,basi wakawa wanataka kuingia ndani wakanyimwa maana geti lilifungwa so wakawa pale nnje wanasubiri pakuche wafanye utaratbu wa kuingia ndani kunitafuta soo nyumba yetu nzima ilizungukwa na askari.

Mimi huku sina hili wala lile najikongoja peku peku narudi nyumbani usiku mida ya saa tisa inaenda sasa nikasema sipiti mbele ya geti acha nizungukie huku nyuma niruke ukuta nichome ndani eeeh bwana nilisikia nimedakwa alafu mtu anasema (oyaaaa mtu wetu huyu hukuuu) aseee nilichangiwa na wale askari wakunipiga kofi alinipiga,wakunipga teke alinipiga,bwana nilipigwa kisawa sawa BAHATI NZURI ilikua usiku so mtaani hawakuniuzisha sura sana ila nilichapika aseee.

Nikafikishwa magereza nikakuta mkuu wa magereza kaja akakuta natoa damu, akaanza wagombeza askari kwanini wamenipiga basi nikaskia wameambiwa waandike maelezo mimi nikaingizwa ndani kupewa first AID kisha nikaambiwa bwana saivi hata uuumwe mpk unye hospitali hupelekwi.

kesho yake pakakucha Bila kulaza DAMU nikapelekwa mahakamani kwa kosa la KUJARIBU KUTOROKA nikahukumiwa MIEZI MI 3 so nikarudi magereza nikavaa RASMI GWANDA la rangi ya CARROT na sare yangu ikashonewa kkwa nyuma kitambaa chekundu kuonyesha mimi ni Mfungwa mtoro so askari wakae makini na mimi. Basi bwana lile bata lakukaa ndani kama mahabusu likaisha nikaanza kupangiwa MAGENGE ya kkwenda kazini.

Siku ya kwanza kazini tulienda kulima bustani...(Bwana usisikie bustani ukafkiri ni bustani za nyumbani) mzeee hzo bustani ni kiboko unalima hadi unasema eheeeeeeeeeee kumekuchaaa....siku yakwanza ikaisha ikaja siku nyingine nikapangwa shambani Kaaaaaah jamn magereza Shkamooooo nililima hadi mikono ikawa na malenge lenge ya maji Nikasema kimoyo moyo MIMI BORA NIFEEEEE siwezi kukubali hizi kazi.

Siku nyingine tukapangwa kwenda kupasua kuni Nikasema LEO NATOROKA kama risasi nipigwe ila mimi leo Nasepaaaa..Tukapewa mashoka kazi ikaaanza pasua kuni pasua huku nachora ramani askari kakaaaje na nyapara kakaa wapi,basi kuna muda nyapara alitumwa na askari akatuacha wenyewe na kihere here wetu...Alafu kihere here alikua anavuta sigara kimya kimya so akili yake yote ilikua kwenye GOZO lake...aseeee NILIKURUPUKA KURUPUUUUU nikaingia poriniii kimbiaaaa mbeleee nikatokea barabarani kila boda boda hanitaki maana nina jezi Nikaona isiwe kesi Nikavua shati nkatupa huko nikabaki kifua wazi.

Huku nyuma niliwaacha distance sana maana sikuwaskia tena kwa mbio nilizochomoka hata DREAM LINER isingenipata kwa muda ule..basi huko barabarani nikawa najaribu bahati ya lift ila bahati yangu ilivyo mbaya tena asee mbele nilikutana na watu kibao wakawa wanasema MFUNGWA YULEE KATOROKAAA wakaniungia wakawa wananfukuza RAIA shaziiiii fukuzwaaaa aseee niliona kifo hiki hapa bahati nzuri ikapita gari ya magereza nikaisimamisha nikarukia ndani ili kuokoka kwa wale raia...askari akawa ananiuliza wewe UMETOROKA si ndio nikamjibu NDIO (akanipa kofiiiiii) akanambia leo tunaenda kuvunja hiyo miguuuu.

Asee hakunipeleka magereza alinipeleka kwa askari wengine walinipiga runguuuu,pigwaaa hadi miguuu ilivimba hadi nikaona sasa leo habari yangu kwishaa..Nikarudishwa magereza nimebebwa kama nmekufa askari wengine wakawa wanashangaa vipi huyo kibaka anaumwa?? wakasema hapana alikua ametoroka tena ndo tumemdaka basi Pona yangu ni mkuu wa magereza alikua pale akasema msimpige tena huyu mtoto atakua huyuko sawa kiakili,wala msimpeleke mahakamani HUYU AFANYE KAZI ZA NDANI TUUU MSIMTOE NNJE.

hiyo ndio ikawa pona yangu kuanzia siku hiyo mpk kifungo kinaisha na kesi yangu ikaja kuisha mwenzi wa 12 ambapo ni baada ya habari zangu kufika nyumbani kwamba mtoto wenu huko magereza atakufa basi ndio wazee imani ikawajia wakaingilia kati wakatoa mpunga kidogo HAKIMU akaja nihukumu miezi 6 kifungo cha nnje...

Ila ni moja ya kumbukumbu MBAYA SANA KATIKA MAISHA YANGU ambayo sitokaa niisahau...ku spend MWAKA MZIMA magereza ASEEE.

Sikuwahi kujua wanaume wanatongozwaje ila NILITONGOZWA na niliona huwa inakuaje..Sikuwahi kujua na kuona watu wakigombania mwanaume ila niliona.

HAYA NI MAJINA YA WANAUME LIVE ambao wakija uraiani WADADA MTAWAKIMBILIA NA KUTAKA MUWE NAO ila kule ndani ni mashoga...Nilikuta mtu anaitwa RAY C..BI KIDUDE, JAY DEE,CHA WOTE,nk nk

KWA MSIO JUA JELA MSIOGOPE MAANA kugeuzwa mwanamke ni wewe mwenyewe utataka ila hulazimishwi na mtu yeyote na wala nyapara hawezi kukulazimisha umpe TIGO ni wewe mwenyewe na roho yako ya huruma..

INAKUAJE MTU ANALIWA TIGO

Ukifika ukiwa mgeni kuna kitu wanaita KULEGEZA,,,kulegeza ni ile style wanayofanya manyapara ukifika tu akishatuthaminisha unafaaa,akikuona yeeesss hili toto zuri Anachofanya ni kukulegeza kwa style ya kukupa kazi..ebwana wee utafanyishwa kaziiii,utafanya kaziii yani hiyo haina kupumzika...tangu uamke hadi mnaenda kulala ni anakupa kazi.

muda wakulala ukifika anakupanga godoro lenye chawa kama woteeee..anakupanga sehemu ambazo ni mara 100 ulale jalalani ila sio ulale na hao watu ndio anapokupanga..Halafu sasa baada ya misoto yote hiyo Kuna siku utakua unamuona anakua mwema kwako..Mchana muda wakula anakwambia mdogo angu njoo ule..akikuta unafanyishwa kazi anakwambia ACHA KAPUMZIKE..wakati wakulala anakupanga kuzuriiiiiii.


Ukijifanya ukijifanya mzuri wa kupokea OFFER shauri yako ila raha ya MAGEREZA NI KWAMBA sio kama huku uraiani huku mdada akila vyako alafu hataki kutoa mzigo unaweza mfanya lolote,tofauti na magereza mtu ukila vya mtu Wakati wakutoa mzigo ukigoma HANA CHA KUKUFANYA ZAIDI TU atakua adui ako mileleeee.

So kama utajitia muoga muoga unataka kulipa fadhila watu wanazamisha PENSELI....

(msiogope magereza ila ukweli ni kwamba ili usiogope ni lazima ujue maisha ya kule ndani yakoje) SEMA KULE SOMETIME pamoja na mabaya ila kuna muda unasahau shida unaweka miguu juuu HASA ukishakua SHINDIKANA kama mimi nilivyokua basiiiii ugali unakula wakinyapara,harage la kuunga,maziwa kule ni daily yani daily kwa ajili ya watu wa TB so ukishakua mndewa UNAVUTA TU MAZIWA KILA DAY.

kasoro ya kule isiyozoeleka ni UHURU. ILA mengine yote yanazoeleka na yana muda hayadumu milele hata mateso ni ya muda tuuuu sema ndio tumetofautiana..

NOTE: SIO lazima kila anae ingia magereza apitie msoto,kuna wale wanaingia wanakuta ndugu zao,marafiki so shida hawapati na kingine kama hutaki shida ukiingia mule ndani hata kama huna ndugu wala rafiki basi Uwe na visitors kila jmos na jpili yani uwe unaletewa mavitu ya uraiani kama masabuni,machakula,masukari (hii ndio ilinifanya nisijue mateso ya magereza)

PAMOJA NA YOTE HAYO KAMA UPO URAIANI EPUKENI UGOMVI,SHIDA NA MTU,CHUKI,MANENO MABAYA YANI KAMA UNAWEZA KUISHI MAISHA YA KUEPUKA MAGEREZA BASI YAISHI HAYO MAISHA NA ISITOKEE UKAKUBALI KUINGIA.

KAMA UMEPATA TATIZO HATA KAMA UMESINGIZIWA KAMA UNAWEZA JISHUSHA JISHUSHE ILA USIINGIE MAGEREZA NA ENYI WAZAZI WENZANGU MSIJE MKAJIDANGANYA MAGEREZA INABADILI WATOTO TABIA SO MUWAPELEKE athubutuuuu KAMA MNATAKA WATOTO WENU WAWE MARA 20 YA HAPO WALIPO WAPELEKENI MAGEREZA WAKAKUTANE NA MAJAMBAZI WAPEWE TECHNIQUE ZA KAZI..KULE WATU WAPO SOCIAL KABISA YANI KUNA MUDA WATU WANAPIGA STORY NA WANAELEKEZANA JINSI YA KWENDA KUIBA BILA KUDAKWA..JINSI YA KUBAKA BILA KUACHA ALAMA,JINSI YA KU UA BILA KUACHA ALAMA...JAMANI MSIPELEKE MTU MNAEMPENDA MAGEREZA.

ENYI AKINA DADA MSIPELEKE WAUME ZENU MAGEREZA MAANA WAKITOKA HUKO WAKIJA NI WATAKUA KATILI KULIKO MWANZO MALIZANENI URAIANI ILA USIJE UKAFKIRI AU KUMTISHIA MTU KUMPELEKA MAGEREZA MAANA AKITOKA HUKO ATAKUA SIMBA MARA NNE.

ENYI MNAOWADAI WATU EPUKENI KUPELEKA WENZENU MAGEREZA MAANA WAKITOKA KUNA MAWILI AWE MPOLE AU AWE SIMBA AKUPOTEZE NA KIZAZI CHAKO..

KABLA YA KUINGIA MAGEREZA NILIKUA MUOGA HATA WAKU UA MMBU LAKINI SASA HIVI ADUI ZANGU HUWA NAWAZIKA MWNYEWE..SIKUSHTAKI POPOTE WALA SIKUPELEKI MAGEREZA WALA SIENDI POLISI KUKUTAFUTA NINACHOFANYA NI NAKUTAFUTA MWENYEWE NAKUZIKA KIMYA KIMYA SIKUWAHI KUWA NA HII ROHO ILA SASA HIVI NIMEKUA MBOGO + LION GOMBANA NA WOTE ILA SIO MIMI.

TUISHI HAPA URAIANI KAMA WAJINGA YANI ISHI KAMA MBUMBUMBU ILA ENJOY YOUR FREEDOM MAGEREZA NI PABAYA JAMANI...ISHI KAMA MJINGA ILA USIKUBALI WAKUCHOKONOE HADI MACHONI WANAPOZIDISHA..WAZIKE.

POLISI,MAGEREZA,NK HAMNA HAKI ANAEKUKERA AU KUKU UDHI KAMA HUWEZI MSAMEHE BASI USIMPELEKE MAGEREZA WALA HUKO POLISI MTAFUTE KIMYA KIMYA kata shingo mzike mahali TULIA.

nachukia mapolisi,nachukia watu wote wanaoPELEKA WATU magereza nawachukia mno.

(mliosoma yote mnajitahidi ki ukweli)
Pole sana mkuu, ila nawe ni jasiri, maana mmmh mpaka kutoroka mara mbili pamoja na kipigo ulichopata mara ya kwanza, una uthubutu mno

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hizo sio Jela zinaitwa Camp sizani Kama Bado zipo miaka ya nyuma ilikuwepo moja huko Mwanza wilaya ya sengerema unakuta Askari wawili na wafungwa 10 tu maisha yanaenda!!!
Ujuaji mwingi mbele ni kiza! Almost kila Gereza lina kambi dogo hasa maeneo ambayo yanahali nzuri ya Kilimo.
Unalijua Gereza la Uganda wewe au unabisha tu uonekane unabisha? Kasungamire unapajua wewe?

Gereza la Uganda ni Gereza kubwa sana lenye uwezo wa ku-accomodate wafungwa wengi kuliko hata Gereza la Butundwe mkoani Geita na maeneo yake ya kilimo ni mapana zaidi, lina nyumba za askari nyingi zaidi ila hufikia wakati wanabaki wafungwa wawili au hakuna kabisa!

#WaBugorora
 
Ujuaji mwingi mbele ni kiza! Almost kila Gereza lina kambi dogo hasa maeneo ambayo yanahali nzuri ya Kilimo.
Unalijua Gereza la Uganda wewe au unabisha tu uonekane unabisha? Kasungamire unapajua wewe?

Gereza la Uganda ni Gereza kubwa sana lenye uwezo wa ku-accomodate wafungwa wengi kuliko hata Gereza la Butundwe mkoani Geita na maeneo yake ya kilimo ni mapana zaidi, lina nyumba za askari nyingi zaidi ila hufikia wakati wanabaki wafungwa wawili au hakuna kabisa!

#WaBugorora
Taratibu Sasa,, hizo kambi/camps hazipo Kila Gereza zipo baadhi ya wilaya tu na ziliwekwa specific kwa uzalishaji na ufugaji Kasungamile na Butundwe sio kambi ni Magereza kabisa na kote huko nimefika Kasungamile ilikuwa na camp sawa na Gereza ukerewe ambayo ndio hiyo Bugurora!!! Kama upo Bugorora najua OC utakuwa unamfahamu au Madebele!!!
 
Kwa hiyo jela tumbo linaweza likamponza tako mkuu
Hilo ndy tamko la kwanza utakalopewa na wasamaria wema gerezani,siku ya kwanza kuingia gerezani.
Usile cha mtu ,,
Tena nasikia ukila cha mtu,,ikafika muda hutaki kukitoa Kitunguu manyoya,,,wanakuja wababe kukutanuwa miguu uliwe kwa hali yeyote ile...
Na ukiliwa siku moja juwa hakuna siri,,jela nzima watajuwa jamaa kaliwa,,na ukiliwa Mara moja ujuwe huna ujanja wa kumnyima tena yeyote kitunguu manyoya..
 
Mkuu sionaona mwenyewe yanayo wakuta Masheikh wa UAMSHO ila nakumbuka statement moja ilitolewa na Askari mmoja pale Tazara kuwa "tukipewa ruhusa na mkubwa wetu tunakupiga risasi sasa hivi "

Aisee nilikuwa mnyonge sana siku hiyo ningeuliwa bila ndugu yangu yeyote kujua wala wazazi wangu wasingekuwa na taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu story yako imenigusa mnooo kwani kosa lilikua ni nini
 
ACHENI IITWE MAGEREZA ISIKIENI TU KWENYE MARADIO NA ISOMENI KWENYE MAGAZETI ILA USIOMBE KUINGIA.

Ilikua kama utani bwana niliingia na kesi 1 hivi,nikajua nitatoka kesho kutwa maana si unajua wazazi maisha si haba,ndugu wako njema halafu nilidakwa mfukoni nikiwa na kama 1m alafu kilichonipa moyo ni GEREZANI ni mkoa huo huo na nyumbani kwetu so nikajua hata iweje mimi ndani simalizi 24hrs ntakua Nshatoka.

Utani utani masaa 24 yakaisha,wiki ikaisha, mara mwezi ukakata Maisha yakaanza hapo nipo gerezani kama MAHABUSU naendelea kwenda mahakamani na kurudishwa,taarifa zikafika kwa ndugu,wazazi,marafiki,wanafunzi wenzangu chuo kizima wakajua LAKINI nilichoambulia ni kuja kuonwa VISITORS DAY j.mosi na j.pili nahiyo ni kwa miezi ya mwanzo tu ambayo badae walikata mguu nikawa naishi kibishi.

Ki ukweli maisha yyake ni mabaya na hatari sana nakumbuka day 1 naingia Nilinyolewa AFRO langu nikawa paraaaaa nikaona fresh tu,usiku wakati wakulala kuna CELL ya RECEPTION/MAPOKEZI huko ndio wageni wote lazima mpite siku ya kwanza kwa ajili ya kufundishwa sheria za JELA na jinsi ya kuishi JELA..na sharti lao ni kila unachoambiwa unatakiwa ujibu NDIO BWANA MKUBWA

wakati wakufundishwa sheria sheria kuna muda nikaulizwa swali nikajibu NDIO
ALITOKEA nyapara mmoja sijui alitokea wapi alikua mbavu vibaya mno alafu alikua anaharufu ya kilevi Alinizaba KOFI moja hatari sana niliskia sikio linalia ng'wiiiiiiiiiiiii kisha akaniuliza tena swali...Nilijibu NDIO BWANA MKUBWAAAAAAAAA. (akasema safi sana)

Baada ya kujua sheria ukafika muda wakulala,style ya kulala inaitwa MCHONGOMA EEEh bwana eeeeh mfano wa mchongoma wenyewe kwa msio jua ni JINSI biskuti zinavyopangwa kwenye kibox chake halafu ni kwa ubavu mnalala basi nikaambiwa haya lala hapa nikapangwa na Jamaa mmoja ananuka,mchafu,ana damu raia walimpiga huko nnje yani full Kinyaa ila siku na jinsi nilijibanza.(kusema ukweli first day hadi week inakata sikuweza kulala) nilikua nakaa macho then tukiamka asubuhi naenda kulala nnje sakafuni maana mkitoka ndani hamna mtu anaebaki wote mnaenda MESSi.

basi asubuhi palivyOkucha siku ya kwanza Wageni wote tukaitwa kwa bwana jela Kuandikisha URITHI..hapa bwana sikua najua urithi ni nini? mimi nikawa najiuliza URITHI gani mimi naenda kuandikisha wakati sina nyumba,gari,wala baiskeli? basi tukaenda kwa bwana jela Kumbe bwana urithi unaoongelewa ni MWILI WAKO UKIFARIKI AKABIDHIWE NANI?? basi nikasema nikaulizwa kabila,elimu,nk nk. Kisha tukatoka.

Akili yangu inawaza sasa nimeandikishwa urithi ina mana humu ndani kufa ni muda wowote? asee nilikua na maswali mengi sana...Baada ya kutoka kwa bwana jela Wageni tukaitwa woteee KWENDA kuchambua marage,wakati tunachambua marage alikuja kiherehere (kiherehere ni cheo kama ilivyo unyapara) akatupoint watu kama 6 hivi kwa ajili ya kwenda kudeki mtaro ule mtaro ambao watu wanaswakia huko,wanatema makohozi,wanatema mate huo mtaro kwa jina lingine kule wanauita kile kiungo cha hawa wadada zetu kinachotumika sana kama TUSI (Ku....) haya tukapewa madekio tukadumbukizwa jaman jaman jaman acheni kabsaaaaa sio kwa kinyaaa kile nakumbuka siku ya kwanza nili tapika.

Basi tukadeki badae kazi zingine za kawaida zikaja KWA ufupi wageni mlioingia JANA siku ya leo huwa mtafanya kazi hadi mkione cha mtema kuniiiii..pona yenu ni wageni wataokuja LEO,maisha yaliendelea na nikiwa naendelea kwenda mahakamani,SIKU MOJA Nikiwa magereza Nikaumwa sana sana ikafikia hatua ya kulazwa basi ikabidi nipelekwe hospitali kulazwa na askari wa magereza so nikawa natibiwa kule nimepgwa dripu huku nina pingu yangu mkononi, askari wanabadilishana zamu tu...nikaendelea kukaa hospitali kama siku 3 siku ya nne kuamka nilikua mzima kabisa kabisa.

Sasa wazo la kutoroka likanijia nikasema leo iwe iwavyo sirudi magereza,,,,nakumbuka hiyo siku nilijitapisha nilijitapisha uongo,nikawa naomba kwenda choooni wakinipeleka wakati wakurudi Najidondosha najifanya nimezimia wananibeba nawaskia wanasema (huyu bado anaumwa sana sana) basi kuna muda nilijizimisha uongo wakanieka kitandani askari akasahau nifunga PINGU...nikawa nimejifanya nimelala sasa nkasubiri usiku uingie kwa kua wodini hospitali taa hazizimwi usiku nikasema usiku ukifika leo naamsha.

Usiku ukafika akapangwa zamu askari mmoja hivi mlokole mlokole nikamuita nikamwomba anipeleke chooni Akanipeleka akaniacha NIKAINGIA nikajifungia ndani..nikapanda juu ya ndoooo nikatokea dirishani NDUKIIIIIIIIIIII....mzeee nilikimbia nikafanikiwa kutoka nnje ya hospitali...Sina hata sh kumi mfukoni nikaita boda boda Nikamwambia nipeleke sehemu flani...Akawasha chombo akanipeleka kufika yale maeneo nikamwambia nisubiri nichukue hela nije tuondoke jamaa akawa ananisubiri pale nnje Eeeh bwana niliingia njia moja nikatokea mtaa wapili NDUKIIIIIIIIII....

Sasa nilivyo mjinga mjinga wakutupa Unakumbuka nilisema mwanzo gereza lipo mkoa ambao ndio nyumbani so usiku mida ya saa nane hivi nikaanza kujirudisha nyumbani mdogo mdogo nikiamini hamna atakae niona,kumbe wakati huo narudi nyumbani Kule hospitali walishajua nimetoroka na kwakua mshua wangu ni famous Walishajua huyu ng'ombe lazima karudi kwao,askari kama 20 hivi waliokua off wakatumwa home wakaulizia hadi wakafika..

Kufika wakamkuta bi mkubwa akawambia Huyu mtu hayupo huku wala hajafika,basi wakawa wanataka kuingia ndani wakanyimwa maana geti lilifungwa so wakawa pale nnje wanasubiri pakuche wafanye utaratbu wa kuingia ndani kunitafuta soo nyumba yetu nzima ilizungukwa na askari.

Mimi huku sina hili wala lile najikongoja peku peku narudi nyumbani usiku mida ya saa tisa inaenda sasa nikasema sipiti mbele ya geti acha nizungukie huku nyuma niruke ukuta nichome ndani eeeh bwana nilisikia nimedakwa alafu mtu anasema (oyaaaa mtu wetu huyu hukuuu) aseee nilichangiwa na wale askari wakunipiga kofi alinipiga,wakunipga teke alinipiga,bwana nilipigwa kisawa sawa BAHATI NZURI ilikua usiku so mtaani hawakuniuzisha sura sana ila nilichapika aseee.

Nikafikishwa magereza nikakuta mkuu wa magereza kaja akakuta natoa damu, akaanza wagombeza askari kwanini wamenipiga basi nikaskia wameambiwa waandike maelezo mimi nikaingizwa ndani kupewa first AID kisha nikaambiwa bwana saivi hata uuumwe mpk unye hospitali hupelekwi.

kesho yake pakakucha Bila kulaza DAMU nikapelekwa mahakamani kwa kosa la KUJARIBU KUTOROKA nikahukumiwa MIEZI MI 3 so nikarudi magereza nikavaa RASMI GWANDA la rangi ya CARROT na sare yangu ikashonewa kkwa nyuma kitambaa chekundu kuonyesha mimi ni Mfungwa mtoro so askari wakae makini na mimi. Basi bwana lile bata lakukaa ndani kama mahabusu likaisha nikaanza kupangiwa MAGENGE ya kkwenda kazini.

Siku ya kwanza kazini tulienda kulima bustani...(Bwana usisikie bustani ukafkiri ni bustani za nyumbani) mzeee hzo bustani ni kiboko unalima hadi unasema eheeeeeeeeeee kumekuchaaa....siku yakwanza ikaisha ikaja siku nyingine nikapangwa shambani Kaaaaaah jamn magereza Shkamooooo nililima hadi mikono ikawa na malenge lenge ya maji Nikasema kimoyo moyo MIMI BORA NIFEEEEE siwezi kukubali hizi kazi.

Siku nyingine tukapangwa kwenda kupasua kuni Nikasema LEO NATOROKA kama risasi nipigwe ila mimi leo Nasepaaaa..Tukapewa mashoka kazi ikaaanza pasua kuni pasua huku nachora ramani askari kakaaaje na nyapara kakaa wapi,basi kuna muda nyapara alitumwa na askari akatuacha wenyewe na kihere here wetu...Alafu kihere here alikua anavuta sigara kimya kimya so akili yake yote ilikua kwenye GOZO lake...aseeee NILIKURUPUKA KURUPUUUUU nikaingia poriniii kimbiaaaa mbeleee nikatokea barabarani kila boda boda hanitaki maana nina jezi Nikaona isiwe kesi Nikavua shati nkatupa huko nikabaki kifua wazi.

Huku nyuma niliwaacha distance sana maana sikuwaskia tena kwa mbio nilizochomoka hata DREAM LINER isingenipata kwa muda ule..basi huko barabarani nikawa najaribu bahati ya lift ila bahati yangu ilivyo mbaya tena asee mbele nilikutana na watu kibao wakawa wanasema MFUNGWA YULEE KATOROKAAA wakaniungia wakawa wananfukuza RAIA shaziiiii fukuzwaaaa aseee niliona kifo hiki hapa bahati nzuri ikapita gari ya magereza nikaisimamisha nikarukia ndani ili kuokoka kwa wale raia...askari akawa ananiuliza wewe UMETOROKA si ndio nikamjibu NDIO (akanipa kofiiiiii) akanambia leo tunaenda kuvunja hiyo miguuuu.

Asee hakunipeleka magereza alinipeleka kwa askari wengine walinipiga runguuuu,pigwaaa hadi miguuu ilivimba hadi nikaona sasa leo habari yangu kwishaa..Nikarudishwa magereza nimebebwa kama nmekufa askari wengine wakawa wanashangaa vipi huyo kibaka anaumwa?? wakasema hapana alikua ametoroka tena ndo tumemdaka basi Pona yangu ni mkuu wa magereza alikua pale akasema msimpige tena huyu mtoto atakua huyuko sawa kiakili,wala msimpeleke mahakamani HUYU AFANYE KAZI ZA NDANI TUUU MSIMTOE NNJE.

hiyo ndio ikawa pona yangu kuanzia siku hiyo mpk kifungo kinaisha na kesi yangu ikaja kuisha mwenzi wa 12 ambapo ni baada ya habari zangu kufika nyumbani kwamba mtoto wenu huko magereza atakufa basi ndio wazee imani ikawajia wakaingilia kati wakatoa mpunga kidogo HAKIMU akaja nihukumu miezi 6 kifungo cha nnje...

Ila ni moja ya kumbukumbu MBAYA SANA KATIKA MAISHA YANGU ambayo sitokaa niisahau...ku spend MWAKA MZIMA magereza ASEEE.

Sikuwahi kujua wanaume wanatongozwaje ila NILITONGOZWA na niliona huwa inakuaje..Sikuwahi kujua na kuona watu wakigombania mwanaume ila niliona.

HAYA NI MAJINA YA WANAUME LIVE ambao wakija uraiani WADADA MTAWAKIMBILIA NA KUTAKA MUWE NAO ila kule ndani ni mashoga...Nilikuta mtu anaitwa RAY C..BI KIDUDE, JAY DEE,CHA WOTE,nk nk

KWA MSIO JUA JELA MSIOGOPE MAANA kugeuzwa mwanamke ni wewe mwenyewe utataka ila hulazimishwi na mtu yeyote na wala nyapara hawezi kukulazimisha umpe TIGO ni wewe mwenyewe na roho yako ya huruma..

INAKUAJE MTU ANALIWA TIGO

Ukifika ukiwa mgeni kuna kitu wanaita KULEGEZA,,,kulegeza ni ile style wanayofanya manyapara ukifika tu akishatuthaminisha unafaaa,akikuona yeeesss hili toto zuri Anachofanya ni kukulegeza kwa style ya kukupa kazi..ebwana wee utafanyishwa kaziiii,utafanya kaziii yani hiyo haina kupumzika...tangu uamke hadi mnaenda kulala ni anakupa kazi.

muda wakulala ukifika anakupanga godoro lenye chawa kama woteeee..anakupanga sehemu ambazo ni mara 100 ulale jalalani ila sio ulale na hao watu ndio anapokupanga..Halafu sasa baada ya misoto yote hiyo Kuna siku utakua unamuona anakua mwema kwako..Mchana muda wakula anakwambia mdogo angu njoo ule..akikuta unafanyishwa kazi anakwambia ACHA KAPUMZIKE..wakati wakulala anakupanga kuzuriiiiiii.


Ukijifanya ukijifanya mzuri wa kupokea OFFER shauri yako ila raha ya MAGEREZA NI KWAMBA sio kama huku uraiani huku mdada akila vyako alafu hataki kutoa mzigo unaweza mfanya lolote,tofauti na magereza mtu ukila vya mtu Wakati wakutoa mzigo ukigoma HANA CHA KUKUFANYA ZAIDI TU atakua adui ako mileleeee.

So kama utajitia muoga muoga unataka kulipa fadhila watu wanazamisha PENSELI....

(msiogope magereza ila ukweli ni kwamba ili usiogope ni lazima ujue maisha ya kule ndani yakoje) SEMA KULE SOMETIME pamoja na mabaya ila kuna muda unasahau shida unaweka miguu juuu HASA ukishakua SHINDIKANA kama mimi nilivyokua basiiiii ugali unakula wakinyapara,harage la kuunga,maziwa kule ni daily yani daily kwa ajili ya watu wa TB so ukishakua mndewa UNAVUTA TU MAZIWA KILA DAY.

kasoro ya kule isiyozoeleka ni UHURU. ILA mengine yote yanazoeleka na yana muda hayadumu milele hata mateso ni ya muda tuuuu sema ndio tumetofautiana..

NOTE: SIO lazima kila anae ingia magereza apitie msoto,kuna wale wanaingia wanakuta ndugu zao,marafiki so shida hawapati na kingine kama hutaki shida ukiingia mule ndani hata kama huna ndugu wala rafiki basi Uwe na visitors kila jmos na jpili yani uwe unaletewa mavitu ya uraiani kama masabuni,machakula,masukari (hii ndio ilinifanya nisijue mateso ya magereza)

PAMOJA NA YOTE HAYO KAMA UPO URAIANI EPUKENI UGOMVI,SHIDA NA MTU,CHUKI,MANENO MABAYA YANI KAMA UNAWEZA KUISHI MAISHA YA KUEPUKA MAGEREZA BASI YAISHI HAYO MAISHA NA ISITOKEE UKAKUBALI KUINGIA.

KAMA UMEPATA TATIZO HATA KAMA UMESINGIZIWA KAMA UNAWEZA JISHUSHA JISHUSHE ILA USIINGIE MAGEREZA NA ENYI WAZAZI WENZANGU MSIJE MKAJIDANGANYA MAGEREZA INABADILI WATOTO TABIA SO MUWAPELEKE athubutuuuu KAMA MNATAKA WATOTO WENU WAWE MARA 20 YA HAPO WALIPO WAPELEKENI MAGEREZA WAKAKUTANE NA MAJAMBAZI WAPEWE TECHNIQUE ZA KAZI..KULE WATU WAPO SOCIAL KABISA YANI KUNA MUDA WATU WANAPIGA STORY NA WANAELEKEZANA JINSI YA KWENDA KUIBA BILA KUDAKWA..JINSI YA KUBAKA BILA KUACHA ALAMA,JINSI YA KU UA BILA KUACHA ALAMA...JAMANI MSIPELEKE MTU MNAEMPENDA MAGEREZA.

ENYI AKINA DADA MSIPELEKE WAUME ZENU MAGEREZA MAANA WAKITOKA HUKO WAKIJA NI WATAKUA KATILI KULIKO MWANZO MALIZANENI URAIANI ILA USIJE UKAFKIRI AU KUMTISHIA MTU KUMPELEKA MAGEREZA MAANA AKITOKA HUKO ATAKUA SIMBA MARA NNE.

ENYI MNAOWADAI WATU EPUKENI KUPELEKA WENZENU MAGEREZA MAANA WAKITOKA KUNA MAWILI AWE MPOLE AU AWE SIMBA AKUPOTEZE NA KIZAZI CHAKO..

KABLA YA KUINGIA MAGEREZA NILIKUA MUOGA HATA WAKU UA MMBU LAKINI SASA HIVI ADUI ZANGU HUWA NAWAZIKA MWNYEWE..SIKUSHTAKI POPOTE WALA SIKUPELEKI MAGEREZA WALA SIENDI POLISI KUKUTAFUTA NINACHOFANYA NI NAKUTAFUTA MWENYEWE NAKUZIKA KIMYA KIMYA SIKUWAHI KUWA NA HII ROHO ILA SASA HIVI NIMEKUA MBOGO + LION GOMBANA NA WOTE ILA SIO MIMI.

TUISHI HAPA URAIANI KAMA WAJINGA YANI ISHI KAMA MBUMBUMBU ILA ENJOY YOUR FREEDOM MAGEREZA NI PABAYA JAMANI...ISHI KAMA MJINGA ILA USIKUBALI WAKUCHOKONOE HADI MACHONI WANAPOZIDISHA..WAZIKE.

POLISI,MAGEREZA,NK HAMNA HAKI ANAEKUKERA AU KUKU UDHI KAMA HUWEZI MSAMEHE BASI USIMPELEKE MAGEREZA WALA HUKO POLISI MTAFUTE KIMYA KIMYA kata shingo mzike mahali TULIA.

nachukia mapolisi,nachukia watu wote wanaoPELEKA WATU magereza nawachukia mno.

(mliosoma yote mnajitahidi ki ukweli)
Mkuu ulikaa gerezani mwezi mmoja bila wazazi ndugu wala marafiki kufahamu?

Umesema umekaa jela miezi 12 kwa hiyo ulikaa miezi 9 jela kabla yakuja kuhukumiwa miezi 3 je hiyo miezi tisa nini kilikuwa kinafanyika ili uweze kutolewa au nduguzo walikuwa kimya tu?

Alafu baada yatukio la kwanza la kutoroka umesema ulipigwa ukiwa kwenu na bi mkubwa wako akiwa ina maana mzazi wako hakupata uchungu wa kuhangaikia kesi yako ili utoke maana kwa jinsi wazazi walivyo na uchungu na mtoto sidhani kama angetulia tu kuona mwanae anavyopigwa

Na umesema kosa lililokupeleka ni kujeruhi na kutishia kuua, ni kwa kiasi gani ulijeruhi? Mimi nahisi wewe ulikuwa mtu hatari sana ndio maana hata ndugu na wazazi hawakuwa na uchungu na wewe wakati upo gerezani
 
Tulivamiwa msikitini mimi binafsi nilienda kufanya ibada inaitwa Itiqafu yaani mnalala msikitini mkifanya ibada mbali mbali kumbe huo msikiti ulikuwa na mgogoro ndio upande mmoja ukaamua kwenda kuzusha oungo kuwa kuna magaidi yapo msikitini na Silaha nzito za kivita

Aisee kama unavyojua polisi huwa hawadharau taarifa za matukio kama haya wakaja kuvamia msikitini usiku wa manane hali ya kuwa wamejiandaa na Silaha nzito kwaajili ya kutukabili sisi

Wanasema walikuja na Defender nne askali wa difenda moja wakaja msikitini pale mlangoni Direct ambao walikuwa sio chini ya askari nane na mashine gun za maana nakumbuka kama sio wawili basi watatu walikuja na mashine zenye mikanda ya risasi

So wakatutoa nje na kutupekua hawakukuta kitu chochote cha hatari lakini baadhi yetu tulikuwa na laptop ikapidi tuchukuliwe kwa mahojiano zaidi

Tukapelekwa Central kwa ajili ya mahojiano

Wakti tunarudi kutoka Dar jamaa walituambia nyinyi kuna wenzenu wamewachoma lakn inaonyesha Hamna hatia na sisi tulishangaa sana pindi mlipokuja kuvamia hamkufanya reaction yeyote maana tulikuwa tumejipanga defender mbili zilikuja msikitini nyingine zilikuwa barabarani kwaajili ya kuongeza nguvu kama ungeitajika msaada

Kwaiyo Inshot ilikuwa hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
na kama ww ni mwarabu basi direct wakajua ndo wapanga njama wenyewe nyie

pole sana ingawa ndo naipitia saivi hiu thread ya last year

ilikua mwaka gani hili tukio mkuu
 
Mkuu ulikaa gerezani mwezi mmoja bila wazazi ndugu wala marafiki kufahamu?

Umesema umekaa jela miezi 12 kwa hiyo ulikaa miezi 9 jela kabla yakuja kuhukumiwa miezi 3 je hiyo miezi tisa nini kilikuwa kinafanyika ili uweze kutolewa au nduguzo walikuwa kimya tu?

Alafu baada yatukio la kwanza la kutoroka umesema ulipigwa ukiwa kwenu na bi mkubwa wako akiwa ina maana mzazi wako hakupata uchungu wa kuhangaikia kesi yako ili utoke maana kwa jinsi wazazi walivyo na uchungu na mtoto sidhani kama angetulia tu kuona mwanae anavyopigwa

Na umesema kosa lililokupeleka ni kujeruhi na kutishia kuua, ni kwa kiasi gani ulijeruhi? Mimi nahisi wewe ulikuwa mtu hatari sana ndio maana hata ndugu na wazazi hawakuwa na uchungu na wewe wakati upo gerezani
Wewe jamaa itakuwa unakichwa kizito sana yaani unasoma story hata hujaelewa chochote unakimbilia kucoment
 
Kuna jela ziko friendly sana Tanzania zina wafungwa watano, saba au hata wawili na zingine hazina kabisa.

Na wafungwa wake wana namba ndogondogo tu.
Acha hizi story za mtaani au umewahi kuingia hiyo jela utuambie ni wapi!
jela zote Africa ni Jehanamu ya Duniani
 
Hilo ndy tamko la kwanza utakalopewa na wasamaria wema gerezani,siku ya kwanza kuingia gerezani.
Usile cha mtu ,,
Tena nasikia ukila cha mtu,,ikafika muda hutaki kukitoa Kitunguu manyoya,,,wanakuja wababe kukutanuwa miguu uliwe kwa hali yeyote ile...
Na ukiliwa siku moja juwa hakuna siri,,jela nzima watajuwa jamaa kaliwa,,na ukiliwa Mara moja ujuwe huna ujanja wa kumnyima tena yeyote kitunguu manyoya..
Daah Mungu atusimamie tu huko sio sehemu salama
 
Hilo ndy tamko la kwanza utakalopewa na wasamaria wema gerezani,siku ya kwanza kuingia gerezani.
Usile cha mtu ,,
Tena nasikia ukila cha mtu,,ikafika muda hutaki kukitoa Kitunguu manyoya,,,wanakuja wababe kukutanuwa miguu uliwe kwa hali yeyote ile...
Na ukiliwa siku moja juwa hakuna siri,,jela nzima watajuwa jamaa kaliwa,,na ukiliwa Mara moja ujuwe huna ujanja wa kumnyima tena yeyote kitunguu manyoya..
Wazee hizi ni story za vijiweni watu wanaoliwa jela wengi ni wale wenye vifungo virefu wengi wao wanakuwa wamekata tamaa na hawana tumaini lolote
 
Tatizo lenu wabongo hasa nyie wachaga dharau

Sasa we endelea utajikuta unanyea debe kama Samwel mdodo
Sawa afisa usalama, sema mi nataka ukanifungie kwenye gereza la cate hotels japo kwa masaa machache tu mama unifundishe adabu kweri kweri 😂😂😂! Nimechezea mamlaka yako naomba ukanipe adhabu katika chumba maalumu pale Cate Hotel baadae.
 
Sawa afisa usalama, sema mi nataka ukanifungie kwenye gereza la cate hotels japo kwa masaa machache tu mama unifundishe adabu kweri kweri ! Nimechezea mamlaka yako naomba ukanipe adhabu katika chumba maalumu pale Cate Hotel baadae.
Haaahaaa

We jamaa tintalila nyingi, utafikiri umezaliwa uzaramoni

Anyway nataka unifungie sound ya maana kwenye Maserati yangu, bei gani chief?
 
Back
Top Bottom