Tuliowahi kujifunza kifaransa tukutane hapa

Nilisoma AZANIA ,,nilikikataa kifaransa,,matokeo YAKE nilikwenda France. Kwa bahati mbaya nilikaa jela,,huko ndipo nilipojuwa kifaransa cha kuongea,,, na kuandika kidogo ,ila huniteti chochote...bila kujuwa kifaransa MAISHA yalikuwa magumu mno...baada ya miezi 6 nikaanza PARLE BIEN...hadi sasa nipo bongo natamani nipate wa kuongea nae nisije nikasahau lugha,,,..JE PARLE TRES BIEN....

Sent using Jamii Forums mobile app
Je suit e tudiant a lecole de secondaire dazania ausii,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guten morgen. Und wie geht es dir?
Hiyo lugha naifahamu maneno machache sana mkuu, as i grew up kwenye familia ambayo wazee walikuwa fluent kwenye hiyo lugha, wakitaka kukujadili ukiwa nao, wanaswitch tu huko halafu baada ya mjadala wanarudi kwenye ile tuliyozoea, so kwa hasira nikaamua na mimi ni pambane na French.
 
Hiyo lugha naifahamu maneno machache sana mkuu, as i grew up kwenye familia ambayo wazee walikuwa fluent kwenye hiyo lugha, wakitaka kukujadili ukiwa nao, wanaswitch tu huko halafu baada ya mjadala wanarudi kwenye ile tuliyozoea, so kwa hasira nikaamua na mimi ni pambane na French.

hahahah,,, mimi ndio nimeanza kujifunza kijerumani mkuu. Nataka mpaka corona inaisha niwe fluent speaker.
 
hahahah,,, mimi ndio nimeanza kujifunza kijerumani mkuu. Nataka mpaka corona inaisha niwe fluent speaker.
Pambana mkuu, nadhani pale Goethe Institute wanafundisha lugha kama nitakua sijakosea, mimi napambana na French mkuu.
 
Imenisaidia maonesho ya sabasaba. Niliongea ingawa broken kwa wafaransa flani hivi lakini nilichukua ujiko kwa KE kibao za kibongo nilivyowatafsiria.

Nikawaambia msinichukulie poa. Maza mmoja wa kichaga akanipa mito miwili ya zawadi maana hawakuwaelewa wale wafaransa wanataka nini.
 
Back
Top Bottom