Tuliowahi kufumania/kufumaniwa/kushuhudia fumanizi tupeane shuhuda hapa!!!

Ulifumaniwa nini???
Hiyo kitu ni mbaya sana aisee, usiombe yakukute, cha muhimu ni kujutia makosa thn usirejee tena. Kwani kipande cha nyama nilikitafuna Mara Bilioni 3 mdomoni nikiwaza nini nitafanyiwa na jamaa mwenye mke, ila nashkuru yaliisha salama na mpaka sasa najutia zambi zangu ila Mwenyezimungu ndio msamehevu kwetu.
 
Mke wa manager wangu kila siku akinikuta carteen au store ya ofisi ananishika dudu...sasa mimi najua kbs bwana ake malaya mbwa na mimi wake za watu tofauti...siku moja ananishika dudu tu mara mfanya kazi mwenzet katokea si akatangaza jengo zima namla mke wa boss...kila nikipita mdogo wangu unapotea achana na wake za watu
..mwisho wa siku boss akaNiita hapo nipo 22years old..sema kifua km dumu..dogo kwanini umetembea na mke wangu nkwambia bro sijawahi kutembea na mkeo achana na maneno ya watu....jamaa akaniendea bagamoyo kunichungulia mganga akamwambia hamna lolote ila mkeo kicheche...akarudi kwangu tena akaniambia kauli moja tu najua mke wangu anKusumbua kaa mbali nae....ningekula pale nhs ningekua na busha saiv...na cha ajabu mkewe akawa anfanya vile vile mara anilambe sikio nikaona hapa nimpige bonge la mkwaraaaaa na kweli akaacha..
 
daaaah nakumbuka siku iyo niko sinza muhuni naumwa na tumbo la kuharisha

Iko ivi kuna kademu cha nyumbani nachat naye wasap nampanga namna gani naweza kula tunda la adeni kumbe wakati na chat nae bhana dada ake si akachukua simu na huyu dada ake anaroho mbaya hakuna mfano

muhuni sijui ili wala lile............... tuma sms akajibu, tuma ya pili tena akajibu, apo muhuni niko na chupa yangu ya maji uku nacheck uefa tena ilikuwa juve na bayern..... german uko juve anaumia tu.........

sasa wakati naendelea kuchat nae nikaona tofauti katika ujibuji wa sms nikashikwa na wasiwasi.......mmh huyu ni yeye kweli nikataka kumuuliza swali akipatia ntajua ni yeye akizingua tu najua sie......ile nataka kuuliza tuu ghafla napigiwa simu na namba ngeni mpenzi command pweza usichat tena unachat na dada duuuuuuuuuuh.........

wakuu nilichoka tumbo lote likakata ghafla na kukumbuka yule demu alinitumia picha za uchi duuh duuh duuuh apo ndo nilichoka zaidi na dada ake ananijua fika na anamjua hadi mama anguu aaaaaaah wadau achane bhana ni shughuli usiombe ikakutokea apo niko mbali na home ningekuwa home je

Na yule demu alipigwa kipigo cha mwizi mpaka leo nikikumbuka iyo sitongozi kabisa watoto niko radhi nikaparamie mi mama tuu kuliko hivi vitoto vidogo
Hahaha huyu dada kama wa kwangu
 
Kwetu kuna mzee mtoto wake wa kiume akifumaniwa alikuwa anawaambia watu amekua huyo mwacheni analipa faini
 
yani hata hamu sikua nayo maana kwanza nilikua mjamzito na mtumbo huo nimechoooooka,
Pili bumbuwazi la akili maana dada ni mpole sana sikuamini kama ndo alikua anakatika pale.
Wanawake wapole ndio wanajua Mambo kwenye Sita kwa sita🤣🤣🤣🤣
 
Katka mapenz kuna ajali nying lkn usithubutu kupatwa na hii kitu inaitwa fumanizi maumivu/aibu yake haipimik kwa wote anaefumania na anaefumaniwa wote hupatwa na taharuk la aina yake.
.
Asikwambie mtu wake za watu huwa watam sana haswa pale unapompa kile ambacho amekosa kwa mume wake bas kwny mchezo wanajiachia sana na kwny maisha ya kawaida hawakugandi sana na hawana wivu kiviiiiile lkn hatar ya kutembea na hawa watu ni kubwa sana iki-range kulawitiwa mpaka kujeruhiwa au kuuwawa kabisa...
.
Miaka kama 10+ iliopita nikiwa a-level nilijikuta nikimega shem wng mke wa broo (family friend) huyu jamaa alikuwa yuko bize sana na kaz na pia alikuwa mtu wa tungi kila akirud him amelewa chakari hata story na mke wake hana so mke wake alikuwa mpweke sana na upweke wake ulikuwa unaonekana wazi mnyama nkaona fursa si ndio hii nkajitolea kumfariji baada ya mda nkamteka hisia kidogo kidogo akajaa nkaanza kula mzigo kimya kimya kwa siri mno lkn baada ya kama mwaka hv mazoea yakazid akaanza kuwa mzembe wa kuficha ile siri ikapelekea baadh ya watu kuanza kuhisi kitu na kuanza kunipeleleza lkn mpka hapo bro alikua hajui chochte walisubir wathibtishe kwanza ndio wamwambie...
.
.
Hiyo siku zikiwa zimebak siku mbili kabla ya kufungua shule nkamuaga kwny simu lkn hakuridhika akataka usku wake nkamuage physically nyumban kwake mume wake alikua safarin na alikuwa na ratiba ya kurud kesho yake...
.
.
Mishale ya saa1usk nkamchkua mshkaji wng ambaye ni mdogo wa kuzaliwa wa yule bro na kumbe ni mmoja kat ya watu wanaonichunguza mm sikuwa najua hilo... Tulivyofika tukakaribishwa vzr tukapiga story na Shem wetu mm nkaaga kesho natoweka kidogo akanitakia safar na masomo mema akatukaribisha msosi tukapiga then tukasepa na jamaa nkarud zng hom na jamaa akaenda kwao lkn ile ilikuwa geresha kumzuga mshkaji lkn baadae nlikuwa na ratiba ya kurud kula mzigo kwa shem...
.
.
Baadae kwny saa5hv nkajirudia (tulishakubaliana ukifika huo mda azime taa zote na aache milango waz ili niingie kwa urahis na bila kuonekana) nkaingia kama yalivyo makubaliano yetu nkamtawanya round tatu kwny saa7usk hv nkatoka zangu mle ndan nikiwa mwepesiiiii...
.
.
Nikiwa mita chache kutoka mlangon ghafla nikakutana na yule jamaa akiwa na ndg yake mwingne mwili woote ukanyongonyea nkaishiwa nguvu jamaa wakaanza kuniwakia "tulikuwa tunakutafuta siku nying lkn leo tumekukamata mubashara na unabahat umewah kutoka tumempigia simu baba na broo yuko njian anakuja lkn wamechelewa kufika mpka umetoka kwa usalama wako rudi huko ulikotoka laa sivyo tunapiga kelele ya mwizi" walinichimba booonge ya mkwara lkn nkajitahid kujitetea vya uongo na kweli jamaa wakaniruhusu niondoke na kesho yake alfajir nkasepa sculi hata bi mkubwa wng sikumuaga huku nyuma nkaacha boonge la zogo lkn walitaka kuzungumza kifamilia lkn yule mwanamke alikataa kata kata (mwenzangu alikua mtu mzima kidogo alijua nn cha kufanya mm nlikua bado kishohia nkambwela baadae alikuja kunilaumu sana)...

Baada ya yule kukataa ikabid niitwe tuhojiwe upya na yule mume wake akiwepo...
.
Mm siku ileile nilifika shule nkaripot fresh nikijua nmeponyoka kumbe ndio kwanzaaa kesi inaanza kesho yake asubuh na mapema nmetoka tu kuchkua uji wangu wa dona jamaa wakatia timu Mara naskia pharm D unaitwa nachek anaeniita namuona yule broo na kaka yao mkubwa nkasema leo nmekwisha lkn cha kushangaza jamaa hakunifanyia kitu kibaya tulienda mgahawa mmoja nje ya shule akaniambia nimwambie kila kitu na huo ndio msamaha wng maana makosa ni ya mke wake sio yng...

Basi mm nkafunguka kila kitu baadae akaniambia haya ulioyasema hapa nataka ukayaseme mbele ya yule mwanamke maana yy amegoma kukubali...
.
Nkajaribu kubisha kwenda nkaona jamaa amebadilika ghafla ameturn into beast nkanywea ikabid niende tu japo shingo upande lkn nkaenda nkawekwa mtu kati nkasomewa mashtaka nkaambiwa nikubali waniruhusu niwahi shule...

Nkakubali halaf yule bibie akakataa kata kata (kweli dunian kuna watu wanajua kubisha) jamaa wakaniambia we nenda kaz yako imeisha lkn usirudie tena sio kwa huyu tu bali kwa yeyote yule ogopa sana mke wa mtu utakujafanywa hamna...
.
.
Nkawaacha wakisuluhisha lkn yule bidada mpaka leo hii hajawah kukiri lile kosa alikuja kuniambia umeona uniaibishe lkn sitaikubali hiyo aibu maisha yng yote kama ni ndoa na ife lkn hilo kosa sikubali ng'oooo...
.
.
Walitengana kwa miez kama mitatu hv lkn bint hakukubali kosa baadae walikuja kurudiana maisha yakaendelea na wako pamoja mpka leo...
... ... ...
... ... ...
Hayo niliyashuhudia kwangu mm mwenyew je ww umeshuhudia kwa nan??? Share hapa
Katika maisha yako kamwe usijekubali kuwa ulizini na mtu hata kama umekutwa jifunze kukataa katakata m nimejifunza hichi kitu sasa we ukubali ukihic utasamehewa kumbe ndo unajifunga.
 
Hii thread imenikumbusha jambo ambalo siwezi kusahau kamwe

Nilifumaniwa red handed,
Mzee aliaga amesafiri kumbe hakuondoka, sasa kuna jamaa nilikua namzimia jirani yangu

Tukawa tunachat akanikaribisha ndani, nikaenda mida ya saa nne usiku, nimefika tu juu juu tukavamiana mechi ikaanza

Show ya kibabe (sitoisahau) kuja kushtuka ni saa nane ,
Ile natoka nafika getini Mr huyu hapa,

Sijui hata nilipita wapi Ila nilijikuta nipo kichakani nimejificha, Yule jamaa nae sijui alipita wapi hakukamatwa!

Mr akanivizia akanidaka nikazolewa mpaka ndani

Usiulize kilichofuata!
 
Nilikua nahisi Shemeji Yangu anakula binti wa Kazi,yaani Siku narudi kazini milango IPO wazi mtoto kalala chini na Nyumba IPO kimya,I got a second opinion labda dada katoroka chaajabu niliwakuta juu ya meza ya Jikoni ,anafanywaaa mpaka analia machozi,ilibidi nisimame kwa muda kuna wanapoishia walipokojoleana ndo wakaniona,shemeji alikimbia sikumuona kwa wiki kama 4,mpaka Mr aliporudi safari ndo akarudi nae,binti wa Kazi alikua ananifaa sana kwa mtoto na Kazi so sijamtimua nnae tu,tukikumbuka tunacheka basi
Hapo lazima waendeleee tu kama mtoto n mkubwa haina kwere usiwaletee noma maana hata ww unakulana vzr tu na huyo Mr wako ila wape tahadhal ila kama mtoto n mdogo watambemenda huyo dogo.
 
Hii thread imenikumbusha jambo ambalo siwezi kusahau kamwe

Nilifumaniwa red handed,
Mzee aliaga amesafiri kumbe hakuondoka, sasa kuna jamaa nilikua namzimia jirani yangu

Tukawa tunachat akanikaribisha ndani, nikaenda mida ya saa nne usiku, nimefika tu juu juu tukavamiana mechi ikaanza

Show ya kibabe (sitoisahau) kuja kushtuka ni saa nane ,
Ile natoka nafika getini Mr huyu hapa,

Sijui hata nilipita wapi Ila nilijikuta nipo kichakani nimejificha, Yule jamaa nae sijui alipita wapi hakukamatwa!

Mr akanivizia akanidaka nikazolewa mpaka ndani

Usiulize kilichofuata!
1)Duh,huyo jamaa baada ya huo mkasa ikawaje mkaendelea kujiiba au mlipotezeana???

2)Mr wako ni kwamba ulikuwa unampenda kweli au uliamua tu kuwa naye kwasababu?
 
Jamaa mmoja alikuwa na mchezo mchafu kama huo wa kula na wake za watu, kwa kuwa alikuwa mbabe karate ngumi jiwe wanaume waliokumbana na kasumba/kadhia hii kwa kupigiwa wake zao wakawa wanamgwaya jamaa kinoma..mtaani alishatembea na wake za watu kama nyumba tatu hivi, huku akijitapa kwamba yeye ni kijogoo na yeyote atakayejitokeza mbele yake anaburuza tu...Mungu si Athumani habari zikatapakaa kitaa kizima, vijana wakaunda nguvu kumfundisha adabu. Kila kijana mtaani akawa ana-trace nyendo za jamaa bila yeye kufahamu! Kama wahenga walivyosema za mwizi arobaini bhana...siku asiyoitarajia akiwa ndani kwa mtu na mali za watu, akawekwa mtu kati..mpaka naandika uzi huu, jamaa hawezi kutembea na sijui walimfanya kitu gani bhana ila baadhi wanasema vijana walikata mishipa inayounganisha visigino na msuli mkubwa wa mguu...shruba za wake za watu hizo...kaa mbali sana ikiwezekana kimbia kama alivyofanya Yusuph kwa Farao hah hah over....
Dah umenikumbusha kisa kimoja jamaa alikata mguu Na chensoo huko Moro sijui alifumaniwa yule?
 
Umeishia kati malizia utamu.
Hii thread imenikumbusha jambo ambalo siwezi kusahau kamwe

Nilifumaniwa red handed,
Mzee aliaga amesafiri kumbe hakuondoka, sasa kuna jamaa nilikua namzimia jirani yangu

Tukawa tunachat akanikaribisha ndani, nikaenda mida ya saa nne usiku, nimefika tu juu juu tukavamiana mechi ika
Show ya kibabe (sitoisahau) kuja kushtuka ni saa nane ,
Ile natoka nafika getini Mr huyu hapa,

Sijui hata nilipita wapi Ila nilijikuta nipo kichakani nimejifich
 
1)Duh,huyo jamaa baada ya huo mkasa ikawaje mkaendelea kujiiba au mlipotezeana???

2)Mr wako ni kwamba ulikuwa unampenda kweli au uliamua tu kuwa naye kwasababu?

Hapana we ended up
Japokuwa alikua ananitumia SMS za vitisho n.k ila nilimpuuzia

Nampenda hamna maelezo

Ila kipindi hicho tulikua tuna mgogoro fulani hivi uliotufanya kila mtu akawa busy na mambo yake
 
Kuna jamaa mmoja alimfumaniaga mke wake na lijamaa, cha kushangaza mama alifanyia uzinzi huo kwenye hotel yao aliyokuwa anaisimamia....
Wafanyakazi wa hotel si wakamstua mwenye mke...vitu vyako vinaliwa huku njoo haraka
Jamaa kufika akakutana na mgoni wake lijamaa flani ivi lina hela, bit alilompa mwenye mke...usipime
Akamtolea na bastola
Na akamwambia ole wako niisikie hii mtaani...kisha likaondoka
Ila wanawake tuna roho ngumu aisee
Yaani unafumania na unapigwa mkwara kwa mali yk mwenyewe duh.. Akiyamama nitakufa na mtu.
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom