Tuliowahi kufumania/kufumaniwa/kushuhudia fumanizi tupeane shuhuda hapa!!!

Well mine is quite different

During my teen years. Nilikuwa natoka na katoto ka geti kali. Nakumbuka nilikuwa form 3 hivi. Mtoto alikuwa anakaa mbezi mimi naishi Ukonga. Sasa siku hio nilienda kwao just tu chill. Aliniambia mama yake kasafiri kaenda msibani na baba yake alikuwa na semina bagamoyo.
Sasa kijana nilikuwa nje ya nyumba yao nikishukudia gari la dingi yake likiondoka.

The moment the ghost was clear, demu akanipa green light nikaenda. Tukawa sitting room, nikiwa na shangaa madhari ya hilo jumba. Manzi akaniletea juisi nn tukawa tumekaa tunapiga story za hapa na pale.

Things got tense, nilimuomba twende upstairs ila akakomaa akasema hakuna haja, no one is in the house. Kijana nikaendelea kufanya exploration of her exquisite body.

Kumbe bwana yule mzee sijui nn, akarudi. Sasa since anaendeshwa na dereva, we couldn't hata sikia car engine sound. Ghafla footsteps za entrance tukazisikia, aiseee jamani hii adisiwa tu.

Nakumbuka tulikuwa topless, mimi niliweza ruka nyuma ya sofa, while manzi akakimbia jikoni. Kumbe ndio sofa la mzee bwana, mzee akaingia akamuita mtoto wake, akaja huku akitetemeka akamuuliza vipi? Demu akajikaza, mzee akasema hajisikii vizuri akakaa na kumuomba dogo aende aweke begi, yeye akakaa kwenye sofa.

Ilikuwa kama saa tano asubuhi. Kidume nyuma ya sofa, pembeni ni flower vessels tu ndio zinanificha, nilisali sala zote pale. Demu alijitahidi kumuondoa mzee pale kwenye sofa ila wapi. Ikagonga saa kumi na mmoja jioni, mzee hatoki. Mara aangalie CNN mara african magic.

Nikiwa najificha niliwaza usiku ukiingia nikafumwa humu nitaambiwa mimi mwizi, jamani nilitamani rewind siku ianze upya wapi, nikajisemea kabla ya giza kuingia nitajisalimisha kuliko usiku wakiingia walinzi niitwe mwizi. Basi manzi alivyomuona dingi wake kasinzia alikuja nyuma nakuniambia ninyate mpaka nje, mara kwanza niliogopa na kugoma. Ila aliniambia thats the only choice i have, kidume nikainuka nikanyata huku nikisikia sauti za kukoroma. Aiseee nilivyotoka kwenye hio nyumba, nilikimbia huku machozi yananitoka mpaka kituoni............: 23/7/2006
Yaan kama kuna uchawi
 
Hii ningefumwa cjui ingekua vp maan mwenye watoto ni mchaga alf ni moto balaa mtaan wanamuogopa

Nilipata dem mtoto wa huyo mzee sa alkua anaenda kazini asubuhi na kurud saa 10 jioni.
huyo dem alkua na ndugu yake wa kike so kwa hyo nyumba mama na mzee wakienda kazini wanabak hao madem wawili na kitot kidogo ka mwaka mmoja hv
Sa nilijenga mazoea ya kwenda kwao mara kwa mara na mshkji wangu mmoja hv tukifika tunawagana hao madem kila mmoja na wake

ikifka around saa 9:30 tunasepa

hapo tushapikiwa tumekula maan dem kwao walkua na uwezo inshort wakishua full kuchinjiwa kuku mixer pilau ndo maan tukazoe yaan kwa week ukitoa siku za weeknd tulkua tunaacha kwenda siku moja tuu

Siku ya fumanizi kama kawaida tukafika mida ya saa 5 asubuhi tukakuta wake zetu wanafua tulipo fika wakaacha tukazama ndani

sa yule mshkj wangu akamchukua dem wake akaenda nae chumban mi nkabaki sitting room dem kalalia mapaja namchezea nywele mida ya saa 6 hv naona mtu anafungua geti nikapotezea nikajua watoto tuu wanachezea
mara gari inakuja weeee full kuhaha dem ikabidi atufiche choo cha nje faster
kumbee mzee alirud kukagua fundi alkua anatengeneza vioo vya nyumbaa
akaanza kufoka mnafua nguo mda wote huo
huku anasogea maeneo ya choo cha njee
mi uvumilivu ukanishndaa nikamwambia mshkji mi napanda juu ya dari ukikamatwa usinitaje
na hv niko mrefu nikakanyaga sink la choo nikasukuma kitundu cha sling board huyo nikajivuta juu
mshkj wang hapo namchungulia kafunga mikono anaomba mungu mara kwa mbali nikasikia "hiki choo mnakitumia wakat bdo hakijakamilka mbna mlango kama umefunguliwa?
Kitasa kikasukumwa rafik angu ikabid akae nyuma ya mlango maana mlango unafunguliwa kwa kwenda ndani
sema aliusukuma haukufika mwisho akachungulia jicho moja akabana akasepa akarud kazini
nikashuka mzee mzima hapo jamaa angu chapa chapa kalowa jasho
Ikabidi tukae tupumzike ile kupumzka stori zikanoga mara maza mtu huyu hapa kafka ye alkua hana gari
bahat nzur tulikaa njee..maza katupiga jicho hatar
maza kazama ndani dem katuambia akiulza semeni wageni wa kaka ake
maza kutka nje kaanza na sisi "na nyie?
si wageni wa wa bwana flan maza kajibu "sasa huyo mnaetafta si mmemkosa mnasubir nn tena"
Hapo hapo tukanyanyuka mbeleee

SIKURUDI TENA NA MAPENZ YAKAFA SIKU CHACHE BADAE SITOKAA NISAHAU SIKU HII
MAAN SIJUI INGEKUAJ
Yaan kama kuna uchawi utakuta hana hata kawaida ya kukagua choo lakn siku hiyo kakagua
 
Wanawake wanaroho ngumu sana. Ilikuwa 20/5/2005, kuna dada mmoja aliningangania nimsindikize kwake jioni ya siku hiyo, tunaheshimiana sana. Nilimsindikiza mpk kwake akanipikia chai, ilikuwa kipindi cha baridi arusha. Story ikanoga hadi msosi ukanikuta hapo... Saa 4 usiku hivi akanishawishi nilale coz bwanake ameenda kahama kuchukua mchele hivo akaniambia anaogopa kulala peke yao yeye na mtoto tu. Nilikataa kwa mda baadae nilipoona inagonga saa 5 ilibidi nikubali... Akanipatia chumba cha kulala cha wageni. Tunaheshimiana na huyo dada maanake hata story za matusi hatuongelea... Wakati nimelala hivi kuna kitu akakileta pale chumbani, hapo nilianza kumtania nami pia naogopa kulala hapo mwenyewe, akacheka mi ckucheka ili nionekane niko serious na uoga. Alipoona nimemaanisha nibaki nae, akasema bas atarudi baadae km nusu saa hivi... Nikaona haji nikamfuata chumbani kwake, akanishangaa sana nimebadilika tabia na hakutegemea km niko hivo... Nikajitoa ufahamu nikalala karibu yake kumsumbua akaniachia mzigo, nilipiga moja, cha pili nikaomba nihame nae kule chumbani kwangu ili tuwe huru dhidi ya mtt wake. Tulipofika sasa aibu yote tuliweka mfukoni tulipiga show ya uhakika kila mtu akawa hoi usingizi ukatuchukua mpk saa ngp sijui. Nilishtuka mtu anagonga mlango, sauti ni ya mme wake msukuma, mwili ulikufa ganzi nilitamani ardhi ipasuke afu hapo niko uchi na sijui nguo niliweka upande... Yule dada akaniambia nitulie ondoa hofu, akanishika mkono huku amenikusanyia nguo na viatu vyangu kifuani nijikaze nisiheme ovyo akanisimamisha nyuma ya mlango afu akaninongoneza kitu. Afu akafungua mlango wakasalimiana na msukuma wake afu akamwomba amsindikize choo cha nje. Nilipoona wanavuta hatua mi nikatoka kwakunyata, nguo kifuani huku nikiwa uchi kabisa, nilifika geto, geto langu liko umbali km kilomita mbili hivi, nikiwa uchi hivo hivo nikiwa naona km sinema vile.

Dah watu mnapitia mengi katika maisha
 
Wanawake wanaroho ngumu sana. Ilikuwa 20/5/2005, kuna dada mmoja aliningangania nimsindikize kwake jioni ya siku hiyo, tunaheshimiana sana. Nilimsindikiza mpk kwake akanipikia chai, ilikuwa kipindi cha baridi arusha. Story ikanoga hadi msosi ukanikuta hapo... Saa 4 usiku hivi akanishawishi nilale coz bwanake ameenda kahama kuchukua mchele hivo akaniambia anaogopa kulala peke yao yeye na mtoto tu. Nilikataa kwa mda baadae nilipoona inagonga saa 5 ilibidi nikubali... Akanipatia chumba cha kulala cha wageni. Tunaheshimiana na huyo dada maanake hata story za matusi hatuongelea... Wakati nimelala hivi kuna kitu akakileta pale chumbani, hapo nilianza kumtania nami pia naogopa kulala hapo mwenyewe, akacheka mi ckucheka ili nionekane niko serious na uoga. Alipoona nimemaanisha nibaki nae, akasema bas atarudi baadae km nusu saa hivi... Nikaona haji nikamfuata chumbani kwake, akanishangaa sana nimebadilika tabia na hakutegemea km niko hivo... Nikajitoa ufahamu nikalala karibu yake kumsumbua akaniachia mzigo, nilipiga moja, cha pili nikaomba nihame nae kule chumbani kwangu ili tuwe huru dhidi ya mtt wake. Tulipofika sasa aibu yote tuliweka mfukoni tulipiga show ya uhakika kila mtu akawa hoi usingizi ukatuchukua mpk saa ngp sijui. Nilishtuka mtu anagonga mlango, sauti ni ya mme wake msukuma, mwili ulikufa ganzi nilitamani ardhi ipasuke afu hapo niko uchi na sijui nguo niliweka upande... Yule dada akaniambia nitulie ondoa hofu, akanishika mkono huku amenikusanyia nguo na viatu vyangu kifuani nijikaze nisiheme ovyo akanisimamisha nyuma ya mlango afu akaninongoneza kitu. Afu akafungua mlango wakasalimiana na msukuma wake afu akamwomba amsindikize choo cha nje. Nilipoona wanavuta hatua mi nikatoka kwakunyata, nguo kifuani huku nikiwa uchi kabisa, nilifika geto, geto langu liko umbali km kilomita mbili hivi, nikiwa uchi hivo hivo nikiwa naona km sinema vile.
Aiseee
 
Nilikua nahisi Shemeji Yangu anakula binti wa Kazi,yaani Siku narudi kazini milango IPO wazi mtoto kalala chini na Nyumba IPO kimya,I got a second opinion labda dada katoroka chaajabu niliwakuta juu ya meza ya Jikoni ,anafanywaaa mpaka analia machozi,ilibidi nisimame kwa muda kuna wanapoishia walipokojoleana ndo wakaniona,shemeji alikimbia sikumuona kwa wiki kama 4,mpaka Mr aliporudi safari ndo akarudi nae,binti wa Kazi alikua ananifaa sana kwa mtoto na Kazi so sijamtimua nnae tu,tukikumbuka tunacheka basi
Aisee mpaka machozii utamu huoo haukutamani kuuonja na wewe??? ujue kwa nin analiaaa
 
Well mine is quite different

During my teen years. Nilikuwa natoka na katoto ka geti kali. Nakumbuka nilikuwa form 3 hivi. Mtoto alikuwa anakaa mbezi mimi naishi Ukonga. Sasa siku hio nilienda kwao just tu chill. Aliniambia mama yake kasafiri kaenda msibani na baba yake alikuwa na semina bagamoyo.
Sasa kijana nilikuwa nje ya nyumba yao nikishukudia gari la dingi yake likiondoka.

The moment the ghost was clear, demu akanipa green light nikaenda. Tukawa sitting room, nikiwa na shangaa madhari ya hilo jumba. Manzi akaniletea juisi nn tukawa tumekaa tunapiga story za hapa na pale.

Things got tense, nilimuomba twende upstairs ila akakomaa akasema hakuna haja, no one is in the house. Kijana nikaendelea kufanya exploration of her exquisite body.

Kumbe bwana yule mzee sijui nn, akarudi. Sasa since anaendeshwa na dereva, we couldn't hata sikia car engine sound. Ghafla footsteps za entrance tukazisikia, aiseee jamani hii adisiwa tu.

Nakumbuka tulikuwa topless, mimi niliweza ruka nyuma ya sofa, while manzi akakimbia jikoni. Kumbe ndio sofa la mzee bwana, mzee akaingia akamuita mtoto wake, akaja huku akitetemeka akamuuliza vipi? Demu akajikaza, mzee akasema hajisikii vizuri akakaa na kumuomba dogo aende aweke begi, yeye akakaa kwenye sofa.

Ilikuwa kama saa tano asubuhi. Kidume nyuma ya sofa, pembeni ni flower vessels tu ndio zinanificha, nilisali sala zote pale. Demu alijitahidi kumuondoa mzee pale kwenye sofa ila wapi. Ikagonga saa kumi na mmoja jioni, mzee hatoki. Mara aangalie CNN mara african magic.

Nikiwa najificha niliwaza usiku ukiingia nikafumwa humu nitaambiwa mimi mwizi, jamani nilitamani rewind siku ianze upya wapi, nikajisemea kabla ya giza kuingia nitajisalimisha kuliko usiku wakiingia walinzi niitwe mwizi. Basi manzi alivyomuona dingi wake kasinzia alikuja nyuma nakuniambia ninyate mpaka nje, mara kwanza niliogopa na kugoma. Ila aliniambia thats the only choice i have, kidume nikainuka nikanyata huku nikisikia sauti za kukoroma. Aiseee nilivyotoka kwenye hio nyumba, nilikimbia huku machozi yananitoka mpaka kituoni............: 23/7/2006
Aisere ilikuwa hatarii...machozi tena??? sasa kituoni kufanya nini??
 
mi siku hiyo nilienda kwa mke wa mtu sikujua km mume wake karudi na dem hakunitonya kufika pale nikaanza kuita babee kumbe jamaa lipo likatoka limevua shati acha tu nikajikuta naomba maji ya kunywa na ilikuwa baridi balaa!yakaishia hapo baadae jamaa likanibana tukiwa wanaume tu ila nilikataa katakata hadi maza akaitwa sitasahau na nikakoma wake za watu
Aisee kama nakuonaa...
 
Raha ni pale watu walio nje wanataka ufungue mlango,
Raha zaidi uko juu ghorofani na juu ya dari kuna zege !

Nabahati mbaya jama keshakuonya ukamkatalia .
Mbaya zaidi mwenye mke anaongea kwa lugha yenye upole lakini unamjua ni mtu hatari,

Hapo ndo utajua mwanaume ni yule anayetangulia hotelini na kupanga na mhudumu ili akija na mwanamke aseme kuna chai na maandazi tu!
 
Hii ningefumwa cjui ingekua vp maan mwenye watoto ni mchaga alf ni moto balaa mtaan wanamuogopa

Nilipata dem mtoto wa huyo mzee sa alkua anaenda kazini asubuhi na kurud saa 10 jioni.
huyo dem alkua na ndugu yake wa kike so kwa hyo nyumba mama na mzee wakienda kazini wanabak hao madem wawili na kitot kidogo ka mwaka mmoja hv
Sa nilijenga mazoea ya kwenda kwao mara kwa mara na mshkji wangu mmoja hv tukifika tunawagana hao madem kila mmoja na wake

ikifka around saa 9:30 tunasepa

hapo tushapikiwa tumekula maan dem kwao walkua na uwezo inshort wakishua full kuchinjiwa kuku mixer pilau ndo maan tukazoe yaan kwa week ukitoa siku za weeknd tulkua tunaacha kwenda siku moja tuu

Siku ya fumanizi kama kawaida tukafika mida ya saa 5 asubuhi tukakuta wake zetu wanafua tulipo fika wakaacha tukazama ndani

sa yule mshkj wangu akamchukua dem wake akaenda nae chumban mi nkabaki sitting room dem kalalia mapaja namchezea nywele mida ya saa 6 hv naona mtu anafungua geti nikapotezea nikajua watoto tuu wanachezea
mara gari inakuja weeee full kuhaha dem ikabidi atufiche choo cha nje faster
kumbee mzee alirud kukagua fundi alkua anatengeneza vioo vya nyumbaa
akaanza kufoka mnafua nguo mda wote huo
huku anasogea maeneo ya choo cha njee
mi uvumilivu ukanishndaa nikamwambia mshkji mi napanda juu ya dari ukikamatwa usinitaje
na hv niko mrefu nikakanyaga sink la choo nikasukuma kitundu cha sling board huyo nikajivuta juu
mshkj wang hapo namchungulia kafunga mikono anaomba mungu mara kwa mbali nikasikia "hiki choo mnakitumia wakat bdo hakijakamilka mbna mlango kama umefunguliwa?
Kitasa kikasukumwa rafik angu ikabid akae nyuma ya mlango maana mlango unafunguliwa kwa kwenda ndani
sema aliusukuma haukufika mwisho akachungulia jicho moja akabana akasepa akarud kazini
nikashuka mzee mzima hapo jamaa angu chapa chapa kalowa jasho
Ikabidi tukae tupumzike ile kupumzka stori zikanoga mara maza mtu huyu hapa kafka ye alkua hana gari
bahat nzur tulikaa njee..maza katupiga jicho hatar
maza kazama ndani dem katuambia akiulza semeni wageni wa kaka ake
maza kutka nje kaanza na sisi "na nyie?
si wageni wa wa bwana flan maza kajibu "sasa huyo mnaetafta si mmemkosa mnasubir nn tena"
Hapo hapo tukanyanyuka mbeleee

SIKURUDI TENA NA MAPENZ YAKAFA SIKU CHACHE BADAE SITOKAA NISAHAU SIKU HII
MAAN SIJUI INGEKUAJ
Mzee angewatafunaaa aiseee...
 
Nilikua nahisi Shemeji Yangu anakula binti wa Kazi,yaani Siku narudi kazini milango IPO wazi mtoto kalala chini na Nyumba IPO kimya,I got a second opinion labda dada katoroka chaajabu niliwakuta juu ya meza ya Jikoni ,anafanywaaa mpaka analia machozi,ilibidi nisimame kwa muda kuna wanapoishia walipokojoleana ndo wakaniona,shemeji alikimbia sikumuona kwa wiki kama 4,mpaka Mr aliporudi safari ndo akarudi nae,binti wa Kazi alikua ananifaa sana kwa mtoto na Kazi so sijamtimua nnae tu,tukikumbuka tunacheka basi
Pole
 
Kuna jamaa alikua anamegewa wife kumkaba wife akasema yote basi akamwambia mkewake amuite huyo jamaa ili afumanie basi akaweka mtego akajificha chini ya uvungu wa kitanda.Mke akamwita mchepuko wake jamaa kufika kabla ya mechi wakawa wanapiga story kidogo;
Mke:mbona una ngeu nyingi huku mwilini?
Mchepuko:Mimi ni bigwa wa kufumaniwa ila nikifumaniwa lazima niue sasa hizi alama juzi nimeua jamaa mmoja.
Jamaa akaanza kula mzigo mume yuko chini ya uvungu mkewake akaanza kuita Baba watoto si utoke sasa?
Mwenye mke:mama watoto mwache ale tu hakitaisha atanibakishia!
Hii kawaha mkuu
 
Hiyo kitu ni mbaya sana aisee, usiombe yakukute, cha muhimu ni kujutia makosa thn usirejee tena. Kwani kipande cha nyama nilikitafuna Mara Bilioni 3 mdomoni nikiwaza nini nitafanyiwa na jamaa mwenye mke, ila nashkuru yaliisha salama na mpaka sasa najutia zambi zangu ila Mwenyezimungu ndio msamehevu kwetu.
 
Nilikua nahisi Shemeji Yangu anakula binti wa Kazi,yaani Siku narudi kazini milango IPO wazi mtoto kalala chini na Nyumba IPO kimya,I got a second opinion labda dada katoroka chaajabu niliwakuta juu ya meza ya Jikoni ,anafanywaaa mpaka analia machozi,ilibidi nisimame kwa muda kuna wanapoishia walipokojoleana ndo wakaniona,shemeji alikimbia sikumuona kwa wiki kama 4,mpaka Mr aliporudi safari ndo akarudi nae,binti wa Kazi alikua ananifaa sana kwa mtoto na Kazi so sijamtimua nnae tu,tukikumbuka tunacheka basi
Mkikumbuka mkiwa na nani ndio mnacheka?
 
Back
Top Bottom