Tuliowahi kufumania/kufumaniwa/kushuhudia fumanizi tupeane shuhuda hapa!!!

Pharm D

JF-Expert Member
Feb 17, 2017
1,230
2,938
Katka mapenz kuna ajali nying lkn usithubutu kupatwa na hii kitu inaitwa fumanizi maumivu/aibu yake haipimik kwa wote anaefumania na anaefumaniwa wote hupatwa na taharuk la aina yake.
.
Asikwambie mtu wake za watu huwa watam sana haswa pale unapompa kile ambacho amekosa kwa mume wake bas kwny mchezo wanajiachia sana na kwny maisha ya kawaida hawakugandi sana na hawana wivu kiviiiiile lkn hatar ya kutembea na hawa watu ni kubwa sana iki-range kulawitiwa mpaka kujeruhiwa au kuuwawa kabisa...
.
Miaka kama 10+ iliopita nikiwa a-level nilijikuta nikimega shem wng mke wa broo (family friend) huyu jamaa alikuwa yuko bize sana na kaz na pia alikuwa mtu wa tungi kila akirud him amelewa chakari hata story na mke wake hana so mke wake alikuwa mpweke sana na upweke wake ulikuwa unaonekana wazi mnyama nkaona fursa si ndio hii nkajitolea kumfariji baada ya mda nkamteka hisia kidogo kidogo akajaa nkaanza kula mzigo kimya kimya kwa siri mno lkn baada ya kama mwaka hv mazoea yakazid akaanza kuwa mzembe wa kuficha ile siri ikapelekea baadh ya watu kuanza kuhisi kitu na kuanza kunipeleleza lkn mpka hapo bro alikua hajui chochte walisubir wathibtishe kwanza ndio wamwambie...
.
.
Hiyo siku zikiwa zimebak siku mbili kabla ya kufungua shule nkamuaga kwny simu lkn hakuridhika akataka usku wake nkamuage physically nyumban kwake mume wake alikua safarin na alikuwa na ratiba ya kurud kesho yake...
.
.
Mishale ya saa1usk nkamchkua mshkaji wng ambaye ni mdogo wa kuzaliwa wa yule bro na kumbe ni mmoja kat ya watu wanaonichunguza mm sikuwa najua hilo... Tulivyofika tukakaribishwa vzr tukapiga story na Shem wetu mm nkaaga kesho natoweka kidogo akanitakia safar na masomo mema akatukaribisha msosi tukapiga then tukasepa na jamaa nkarud zng hom na jamaa akaenda kwao lkn ile ilikuwa geresha kumzuga mshkaji lkn baadae nlikuwa na ratiba ya kurud kula mzigo kwa shem...
.
.
Baadae kwny saa5hv nkajirudia (tulishakubaliana ukifika huo mda azime taa zote na aache milango waz ili niingie kwa urahis na bila kuonekana) nkaingia kama yalivyo makubaliano yetu nkamtawanya round tatu kwny saa7usk hv nkatoka zangu mle ndan nikiwa mwepesiiiii...
.
.
Nikiwa mita chache kutoka mlangon ghafla nikakutana na yule jamaa akiwa na ndg yake mwingne mwili woote ukanyongonyea nkaishiwa nguvu jamaa wakaanza kuniwakia "tulikuwa tunakutafuta siku nying lkn leo tumekukamata mubashara na unabahat umewah kutoka tumempigia simu baba na broo yuko njian anakuja lkn wamechelewa kufika mpka umetoka kwa usalama wako rudi huko ulikotoka laa sivyo tunapiga kelele ya mwizi" walinichimba booonge ya mkwara lkn nkajitahid kujitetea vya uongo na kweli jamaa wakaniruhusu niondoke na kesho yake alfajir nkasepa sculi hata bi mkubwa wng sikumuaga huku nyuma nkaacha boonge la zogo lkn walitaka kuzungumza kifamilia lkn yule mwanamke alikataa kata kata (mwenzangu alikua mtu mzima kidogo alijua nn cha kufanya mm nlikua bado kishohia nkambwela baadae alikuja kunilaumu sana)...

Baada ya yule kukataa ikabid niitwe tuhojiwe upya na yule mume wake akiwepo...
.
Mm siku ileile nilifika shule nkaripot fresh nikijua nmeponyoka kumbe ndio kwanzaaa kesi inaanza kesho yake asubuh na mapema nmetoka tu kuchkua uji wangu wa dona jamaa wakatia timu Mara naskia pharm D unaitwa nachek anaeniita namuona yule broo na kaka yao mkubwa nkasema leo nmekwisha lkn cha kushangaza jamaa hakunifanyia kitu kibaya tulienda mgahawa mmoja nje ya shule akaniambia nimwambie kila kitu na huo ndio msamaha wng maana makosa ni ya mke wake sio yng...

Basi mm nkafunguka kila kitu baadae akaniambia haya ulioyasema hapa nataka ukayaseme mbele ya yule mwanamke maana yy amegoma kukubali...
.
Nkajaribu kubisha kwenda nkaona jamaa amebadilika ghafla ameturn into beast nkanywea ikabid niende tu japo shingo upande lkn nkaenda nkawekwa mtu kati nkasomewa mashtaka nkaambiwa nikubali waniruhusu niwahi shule...

Nkakubali halaf yule bibie akakataa kata kata (kweli dunian kuna watu wanajua kubisha) jamaa wakaniambia we nenda kaz yako imeisha lkn usirudie tena sio kwa huyu tu bali kwa yeyote yule ogopa sana mke wa mtu utakujafanywa hamna...
.
.
Nkawaacha wakisuluhisha lkn yule bidada mpaka leo hii hajawah kukiri lile kosa alikuja kuniambia umeona uniaibishe lkn sitaikubali hiyo aibu maisha yng yote kama ni ndoa na ife lkn hilo kosa sikubali ng'oooo...
.
.
Walitengana kwa miez kama mitatu hv lkn bint hakukubali kosa baadae walikuja kurudiana maisha yakaendelea na wako pamoja mpka leo...
... ... ...
... ... ...
Hayo niliyashuhudia kwangu mm mwenyew je ww umeshuhudia kwa nan??? Share hapa
 
Katka mapenz kuna ajali nying lkn usithubutu kupatwa na hii kitu inaitwa fumanizi maumivu/aibu yake haipimik kwa wote anaefumania na anaefumaniwa wote hupatwa na taharuk la aina yake.
.
Asikwambie mtu wake za watu huwa watam sana haswa pale unapompa kile ambacho amekosa kwa mume wake bas kwny mchezo wanajiachia sana na kwny maisha ya kawaida hawakugandi sana na hawana wivu kiviiiiile lkn hatar ya kutembea na hawa watu ni kubwa sana iki-range kulawitiwa mpaka kujeruhiwa au kuuwawa kabisa...
.
Miaka kama 10+ iliopita nikiwa a-level nilijikuta nikimega shem wng mke wa broo (family friend) huyu jamaa alikuwa yuko bize sana na kaz na pia alikuwa mtu wa tungi kila akirud him amelewa chakari hata story na mke wake hana so mke wake alikuwa mpweke sana na upweke wake ulikuwa unaonekana wazi mnyama nkaona fursa si ndio hii nkajitolea kumfariji baada ya mda nkamteka hisia kidogo kidogo akajaa nkaanza kula mzigo kimya kimya kwa siri mno lkn baada ya kama mwaka hv mazoea yakazid akaanza kuwa mzembe wa kuficha ile siri ikapelekea baadh ya watu kuanza kuhisi kitu na kuanza kunipeleleza lkn mpka hapo bro alikua hajui chochte walisubir wathibtishe kwanza ndio wamwambie...
.
.
Hiyo siku zikiwa zimebak siku mbili kabla ya kufungua shule nkamuaga kwny simu lkn hakuridhika akataka usku wake nkamuage physically nyumban kwake mume wake alikua safarin na alikuwa na ratiba ya kurud kesho yake...
.
.
Mishale ya saa1usk nkamchkua mshkaji wng ambaye ni mdogo wa kuzaliwa wa yule bro na kumbe ni mmoja kat ya watu wanaonichunguza mm sikuwa najua hilo... Tulivyofika tukakaribishwa vzr tukapiga story na Shem wetu mm nkaaga kesho natoweka kidogo akanitakia safar na masomo mema akatukaribisha msosi tukapiga then tukasepa na jamaa nkarud zng hom na jamaa akaenda kwao lkn ile ilikuwa geresha kumzuga mshkaji lkn baadae nlikuwa na ratiba ya kurud kula mzigo kwa shem...
.
.
Baadae kwny saa5hv nkajirudia (tulishakubaliana ukifika huo mda azime taa zote na aache milango waz ili niingie kwa urahis na bila kuonekana) nkaingia kama yalivyo makubaliano yetu nkamtawanya round tatu kwny saa7usk hv nkatoka zangu mle ndan nikiwa mwepesiiiii...
.
.
Nikiwa mita chache kutoka mlangon ghafla nikakutana na yule jamaa akiwa na ndg yake mwingne mwili woote ukanyongonyea nkaishiwa nguvu jamaa wakaanza kuniwakia "tulikuwa tunakutafuta siku nying lkn leo tumekukamata mubashara na unabahat umewah kutoka tumempigia simu baba na broo yuko njian anakuja lkn wamechelewa kufika mpka umetoka kwa usalama wako rudi huko ulikotoka laa sivyo tunapiga kelele ya mwizi" walinichimba booonge ya mkwara lkn nkajitahid kujitetea vya uongo na kweli jamaa wakaniruhusu niondoke na kesho yake alfajir nkasepa sculi hata bi mkubwa wng sikumuaga huku nyuma nkaacha boonge la zogo lkn walitaka kuzungumza kifamilia lkn yule mwanamke alikataa kata kata (mwenzangu alikua mtu mzima kidogo alijua nn cha kufanya mm nlikua bado kishohia nkambwela baadae alikuja kunilaumu sana)...

Baada ya yule kukataa ikabid niitwe tuhojiwe upya na yule mume wake akiwepo...
.
Mm siku ileile nilifika shule nkaripot fresh nikijua nmeponyoka kumbe ndio kwanzaaa kesi inaanza kesho yake asubuh na mapema nmetoka tu kuchkua uji wangu wa dona jamaa wakatia timu Mara naskia pharm D unaitwa nachek anaeniita namuona yule broo na kaka yao mkubwa nkasema leo nmekwisha lkn cha kushangaza jamaa hakunifanyia kitu kibaya tulienda mgahawa mmoja nje ya shule akaniambia nimwambie kila kitu na huo ndio msamaha wng maana makosa ni ya mke wake sio yng...

Basi mm nkafunguka kila kitu baadae akaniambia haya ulioyasema hapa nataka ukayaseme mbele ya yule mwanamke maana yy amegoma kukubali...
.
Nkajaribu kubisha kwenda nkaona jamaa amebadilika ghafla ameturn into beast nkanywea ikabid niende tu japo shingo upande lkn nkaenda nkawekwa mtu kati nkasomewa mashtaka nkaambiwa nikubali waniruhusu niwahi shule...

Nkakubali halaf yule bibie akakataa kata kata (kweli dunian kuna watu wanajua kubisha) jamaa wakaniambia we nenda kaz yako imeisha lkn usirudie tena sio kwa huyu tu bali kwa yeyote yule ogopa sana mke wa mtu utakujafanywa hamna...
.
.
Nkawaacha wakisuluhisha lkn yule bidada mpaka leo hii hajawah kukiri lile kosa alikuja kuniambia umeona uniaibishe lkn sitaikubali hiyo aibu maisha yng yote kama ni ndoa na ife lkn hilo kosa sikubali ng'oooo...
.
.
Walitengana kwa miez kama mitatu hv lkn bint hakukubali kosa baadae walikuja kurudiana maisha yakaendelea na wako pamoja mpka leo...
... ... ...
... ... ...
Hayo niliyashuhudia kwangu mm mwenyew je ww umeshuhudia kwa nan??? Share hapa
Me nilinusurika kwa mke wa kigogo m1 iv uku napoish.... Tatizo men wengine hawajali kbsa wake zao ktk hii kitu MUGEGEDO... asa wanawaoa wa nn cjui! Kuwaweka ndan tu kam mapambo au vp.... Mwsho wa cku wakisaidiwa wanageuka mbogo, ah....

Na nshachoka coz kuna mwingine tena apa kitaa tokea may mosi ni ful kunisumbua tu n ata cjui my number alipata wapi.... Nna ham sana nioe then nionyeshe mfano hawa ppo namna ya kuwahandle tho dahhh.... Utamu wa ngoma ingia uichezeee
 
Usiombe ikukute hata kuwe na baridi joto linakua la Hatar ishawahi nikuta 2012 ila niliisove usiku ule ule kwa pesa nyingi na nikatoweka kitaa wiki nzima
Jamaa alikuwa njaa mbele nn
 
Mke wa manager wangu kila siku akinikuta carteen au store ya ofisi ananishika dudu...sasa mimi najua kbs bwana ake malaya mbwa na mimi wake za watu tofauti...siku moja ananishika dudu tu mara mfanya kazi mwenzet katokea si akatangaza jengo zima namla mke wa boss...kila nikipita mdogo wangu unapotea achana na wake za watu
..mwisho wa siku boss akaNiita hapo nipo 22years old..sema kifua km dumu..dogo kwanini umetembea na mke wangu nkwambia bro sijawahi kutembea na mkeo achana na maneno ya watu....jamaa akaniendea bagamoyo kunichungulia mganga akamwambia hamna lolote ila mkeo kicheche...akarudi kwangu tena akaniambia kauli moja tu najua mke wangu anKusumbua kaa mbali nae....ningekula pale nhs ningekua na busha saiv...na cha ajabu mkewe akawa anfanya vile vile mara anilambe sikio nikaona hapa nimpige bonge la mkwaraaaaa na kweli akaacha..
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom