kipwate
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 517
- 509
umetisha mkuuuu utarudia tena haka ka mchezoWanawake wanaroho ngumu sana. Ilikuwa 20/5/2005, kuna dada mmoja aliningangania nimsindikize kwake jioni ya siku hiyo, tunaheshimiana sana. Nilimsindikiza mpk kwake akanipikia chai, ilikuwa kipindi cha baridi arusha. Story ikanoga hadi msosi ukanikuta hapo... Saa 4 usiku hivi akanishawishi nilale coz bwanake ameenda kahama kuchukua mchele hivo akaniambia anaogopa kulala peke yao yeye na mtoto tu. Nilikataa kwa mda baadae nilipoona inagonga saa 5 ilibidi nikubali... Akanipatia chumba cha kulala cha wageni. Tunaheshimiana na huyo dada maanake hata story za matusi hatuongelea... Wakati nimelala hivi kuna kitu akakileta pale chumbani, hapo nilianza kumtania nami pia naogopa kulala hapo mwenyewe, akacheka mi ckucheka ili nionekane niko serious na uoga. Alipoona nimemaanisha nibaki nae, akasema bas atarudi baadae km nusu saa hivi... Nikaona haji nikamfuata chumbani kwake, akanishangaa sana nimebadilika tabia na hakutegemea km niko hivo... Nikajitoa ufahamu nikalala karibu yake kumsumbua akaniachia mzigo, nilipiga moja, cha pili nikaomba nihame nae kule chumbani kwangu ili tuwe huru dhidi ya mtt wake. Tulipofika sasa aibu yote tuliweka mfukoni tulipiga show ya uhakika kila mtu akawa hoi usingizi ukatuchukua mpk saa ngp sijui. Nilishtuka mtu anagonga mlango, sauti ni ya mme wake msukuma, mwili ulikufa ganzi nilitamani ardhi ipasuke afu hapo niko uchi na sijui nguo niliweka upande... Yule dada akaniambia nitulie ondoa hofu, akanishika mkono huku amenikusanyia nguo na viatu vyangu kifuani nijikaze nisiheme ovyo akanisimamisha nyuma ya mlango afu akaninongoneza kitu. Afu akafungua mlango wakasalimiana na msukuma wake afu akamwomba amsindikize choo cha nje. Nilipoona wanavuta hatua mi nikatoka kwakunyata, nguo kifuani huku nikiwa uchi kabisa, nilifika geto, geto langu liko umbali km kilomita mbili hivi, nikiwa uchi hivo hivo nikiwa naona km sinema vile.