Dah nimecheka kinoma
Hamjui ni kosa kisheria kumdukua mtu bila kibali kutoka mamlaka husika na je mnafahamu kunakitu kinaitwa risk management je mmezingatia haya kabla hamjaanza hii biashara?Ujumbe wao kwangu suku ya leo.
''Unajua kabisa umekiuka masharti ya mkopo wa TALA kwa kukaa muda mrefu bila kulipa lakini bado hukamilishi mkopo huu, hii ni kama unafikiri kuna siku tutaacha kukudai,ukweli ni kwamba tutaendelea kukupa taarifa kila siku huku hatua nyingine zikiendelea kuhakikisha tunakufuatilia kiundani, miamala yako, mawasiliano yako, na kuhakikisha unapatikana haijalishi ni lini, hakikisha unalipa leo deni lako la TALA kabla hatujakufikia kwani hatutakuwa na huruma''
Acha uogaHabari wana jamvi wenzangu, hivi karibuni kumeibuka wakopeshaji wengi wa mitandaoni, wakiwemo hawa marafiki pendwa wa TALA.
Lakini kinyume na matarajio yao kume kuwa na wimbi kubwa la wakopeshwaji ambao wana yakimbia madeni yao au hata kubadili simu kabisa.
Sasa kitu cha kushangaza mimi mwenyewe nimejikuta nikiwa muhanga wa jambo hilo na hasa baaada ya kupata taarifa nyeti kutoka kwenye jukwaa humu kwamba jamaa wana kwepa kodi ya serikali, hivyo nikaona kumbe hawa jamaa sio waaminifu ngoja na mimi nijaribu kukwepa deni lao ili wajaribu kuangalia ni kwa kiasi gani serikali inaumia kwa kitendo chao hicho cha kukwepa kodi pia.
Lakini pamoja na yote wame kuwa wakinitumia sms kwamba tutakufuata hapo ulipo kama usipo lipa hela yetu leo, kitu ambacho hawajakifanya kila itwayo leo, je nikweli wana ubavu wa kunifuata mpaka home au kwa kazi?
Mlowahi kufuatwa tupeni mbinu na namna bora ya kukabiliana na maswali yao kama wanavyo sema kwamba watakuja na madalali wa yono.
Ndani ya maandishi yako nimesoma na nikaelewa tu kwamba kwasasa hauna hiyo pesa ya kuwalipa hao Tala..tehHawa jamaa walinikopesha kule branch 20,000/= Tala 30,000/= shida yao wanatuma message za vitisho utadhani niliwalazimisha sasa nawatangazia rasmi kupitia JF kuwa nawashukuru kwa kunipa hii elfu 50 (jumla) na kwakuwa mmenivunjia heshima kwa kuniita tapeli hampati hata mia.
Nawasilisha.
Hata nikiwanayo siwalipiNdani ya maandishi yako nimesoma na nikaelewa tu kwamba kwasasa hauna hiyo pesa ya kuwalipa hao Tala..teh
Okay, wahenga tumesha kuelewa kwamba haunaHata nikiwanayo siwalipi
Kwa maana hiyo wewe ulikuwa tayari kuwalipa ila kauli yao ndiyo mbaya.
Pole sana kwa udhalilishaji huo.Ningewalipa mkuu mwezi wa 8
Kaazi kweli kweliHawa jamaa walinikopesha kule branch 20,000/= Tala 30,000/= shida yao wanatuma message za vitisho utadhani niliwalazimisha sasa nawatangazia rasmi kupitia JF kuwa nawashukuru kwa kunipa hii elfu 50 (jumla) na kwakuwa mmenivunjia heshima kwa kuniita tapeli hampati hata mia ili nihalalishe jina mlilonipa.
Sijaribiwi mimi.
Nawasilisha.
Kumbe wanabandika majina kweliUtaungwa kwenye kessi ya mkurugenzi wa vodacom ha ha ha mkuu hata mie nadaiwa na watu kibao wanadaiwa kifo Cha wengi harusi na.mdeni huwa hafungwi si wenzio majina yetu yalibandikwa kwenye gazeti la nipashe na wala hatujali relax
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ni Talaka
OK kumbe tala ni google?