My memeh
Senior Member
- Jul 12, 2021
- 106
- 128
🤓🤓🤓The way nilivyo ukiniangalia tu unajua huyu si msusaji..🤣
🤓🤓🤓The way nilivyo ukiniangalia tu unajua huyu si msusaji..🤣
🤣🤣 Wajutia sasaHiyo inaitwa ukisusa wenzako twaaalaah🧐
Na tayari umeshazaa nae au bado bado!Ninadate nae mmoja ni mtamu sana bado nipo nae. Siku moja mke wake kakuta sms za mme wake akinisihi nizae ndio aende kwetu alisara alinipigia simu Kama zote.
Sina mpango wa kuzaa naeNa tayari umeshazaa nae au bado bado!
wakiaanza kuleta story mnawakejeri...wakikaa kimyaaa mnawaulizia...wapeni Airtime...don't take too seriously...ndio maana huwa wanakula kauuzu...So sad.Pole sana.thaman zenu ni cheap sna
Mleta mada ulimpa style gani huyo mume wa mtu? Just for reference!
AhaahahaaaAaKwa hiyo mume wa mtu wa ndoa alikuambia atakuoa na ukaamini...?
Umenikumbusha juzi kati nimemfirimba mtoto mmoja wa kijitonyama mpaka amesahu chupi nimeificha kwenye buti ya gari wife asije akaionaHuku sahau chup yako?
Nywiiii